[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahWamarekani wa Buza sijui mtakuja kufuta comments zenu humu??
Mtu kufuta picha za mtu wake haimaanishi wameachana.
View attachment 2188839
Any way nendeni tu mkaendelee kumshambulia mume wa Maunda zoro maana huku kwa Rihana na Asap mlijiingiza chaka mapenzi bado ya moto.
Sijui mtaambia nini watu π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
Billionea asingecheat?
Mhh sawa ila siri ya mtungi aijuaye kata.Idk but jamaa katulia ukilinganisha na hawa wasanii kutwa na wanawake
Na yule mwarabu aisee walidumuMmmh mbovuu[emoji57][emoji57]
Asap bana anajiokotea tu daaah!
Haya muuza viatu huyu, sasa si huwaga anagonga na mama ntilie huyu!
Sema Riri hana bahati na mapenzi, ukweli usemwe, kuanzia Chris brown, mwarabu, drake sasa na huyu marastaa...
Rihanna arudi kwa Drake huyu jamaa nahisi alimpenda sana Riri kuliko wengine
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Tatizo muarabu anataka kula firigisi kila siku.Na yule mwarabu aisee walidumu
[emoji23][emoji23]Yaan mababy mamas wote HOV aliowapiga mimba akasepa wameungana wanampeleka mahakamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lilivyo lijanja hata DNA halitaki maana mitoto yote inafanana na yy anajua anaumbuka hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Wanaendana halafu kuna vitabia wanashare..unajua Rihanna ni mraibu mkubwa wa drugs hasa Mirungi na ganja na hapa Asap nae ndio kwake,sasa mahusiano yale mengi ya nyima Rihanna alidate na humble guy ambao sio wahuni nadhan kwa Asap kakutana na new lifestyle anapenda zile wanavuta ganja kwanza then ndio wanaingia kunyanduana basi kwake yeye ni burudan toshaIla couple ya Asap na Riri mie naipenda kweli.
Firigisi ndo nn jmn [emoji848]Tatizo muarabu anataka kula firigisi kila siku.
Si kila mtu anautajiri wake walee watoto tu,jay mtu mbadi kma diddyMarastaa malayaa sana...watu walikuwa wanashangaa [emoji1787][emoji1787]
Sasa Kuna bomu Beyonce kalikalia siku likilipuka dunia itatetema, yaan amemeza moto fire [emoji91]
Jay z ana watoto mia nje na wote anajifanya sio wake[emoji1787][emoji1787]
Bey ana roho ngumu sana
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Diddy ndio chiboko yao yani utakula raha upendavyo bt ndoa hakuna na mali zake zote zinajina la mama yake....anajua wanawake wanatamani ndoa kwake ili watajirike badae na talakaYaan mababy mamas wote HOV aliowapiga mimba akasepa wameungana wanampeleka mahakamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lilivyo lijanja hata DNA halitaki maana mitoto yote inafanana na yy anajua anaumbuka hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
yeeeeee Chineke what ze faki,byutifuli mwarabu like zisi Yu wanti to kompea wisi RiRi,Asap asingechomoa hapa cheki mtoto wa kiarabu huyuView attachment 2188077