Tetesi: Rihanna na Asap Rocky wameachana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah
 
My age mate ..role model wangu...mpaka majanga kwenye mapenz tuaendana.Alee mtoto aachane nae huyo rasi
 
Na yule mwarabu aisee walidumu
 
[emoji23][emoji23]
 
Ila couple ya Asap na Riri mie naipenda kweli.
Wanaendana halafu kuna vitabia wanashare..unajua Rihanna ni mraibu mkubwa wa drugs hasa Mirungi na ganja na hapa Asap nae ndio kwake,sasa mahusiano yale mengi ya nyima Rihanna alidate na humble guy ambao sio wahuni nadhan kwa Asap kakutana na new lifestyle anapenda zile wanavuta ganja kwanza then ndio wanaingia kunyanduana basi kwake yeye ni burudan tosha
 
Si kila mtu anautajiri wake walee watoto tu,jay mtu mbadi kma diddy
 
Rumors, Rihanna amethibitisha mwenyewe hizo ni habari za uongo. Kuna tweet ilisambaa ya uongo.
 
Diddy ndio chiboko yao yani utakula raha upendavyo bt ndoa hakuna na mali zake zote zinajina la mama yake....anajua wanawake wanatamani ndoa kwake ili watajirike badae na talaka
 


Amina Muaddi, shoe designer wa Fenty aliyekuwa anadaiwa kuvunja mahusiano ya Robbin Fenty na Rakim Mayers. Amethibitisha mwenyewe kuwa hizo habari ni za uongo.
 
After all the rumors of the break-up between A$AP Rocky and Rihanna, shoemaker star Amina Muaddi went to Instagram to tell her story.

"I've always believed that an unfounded lie spread on social media doesn't reserve any response or clarification, especially one that is so vile," Mauddi said.

"I initially assumed that this fake gossip -fabricated with such malicious intent- would not be taken seriously. However, in the last 24h, I've been reminded that we live in a society that is quick to speak on the topic regardless of factual basis and that nothing is off-limits."

"Not even during what should be one of the most beautiful and celebrated times in one's life. Therefore, I have to speak up as this is not only directed towards me but it is related and affection for."

"While Rih is continuing to live her serene, best-dressed pregnancy life and I go back to my business. I wish everyone a beautiful Easter weekend," Maudi finished.
 
NA WATU WENYE UMAARUFU/PESA/ELIMU/CHEO/UMBILE ZILE TABIA ZA UKIKE KIKE HAWANA, WANAKUWA WANAUME TOLEO LA PILI.
KITANZI PEKEE CHA KUWA NA MWANAUME NI TABIA (UTII, UNYENYEKEVU, USIKIVU, ) AMBAPO ZAMA HIZI HABARI HIZI NI KAMA UNYANYASAJI WA KIJINSIA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…