let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
kile kidada kikondakita cha magari,baada ya picha zake kuwa circulated kwenye sosho midia ghafla tu kakaanza ipondea Ndoa,kanaamini sasa kila kitu kanaweza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unazaa na mwanaume ambae hamjuani vzuri unatarajia nn??Kwani waliokuwa single mothers walikuwa tayari?
Aiseee yule papuchi yake kajua kuitembezea bakoraHuyu Rihanna naona kadiri age inavyosegea anakuwa mature enough tatizo ni ule mshangazi J.Lo kila mwaka anafunga ndoa na kutalikiana
Kuna article moja iliwahi andikwa, hawa wasanii wa kubwa wanaimba sana na wanahimiza sana “single ladies”, strong woman, thot behavior, umalaya”Haya ni maneno aliyoongea billionea Rihanna kwenye moja ya interview zake ambayo ilizua hisia tofauti tofauti miongoni mwa mashabiki zake.
" Sitaweza kuachana na mme wangu hata kama akinichiti kwa sababu wanangu wanamuhitaji baba yao na pia hata mimi nahitaji niwe na familia iliyotimia."
"Nilipofunga ndoa na kupata watoto, sitaki kabisa kuwa na talaka kwa sababu sifikiri kama niko tayari kuwa single mother. Napendelea familia kamili hata kama najua naweza kujitosheleza na kulea wanangu kama nikitaka lakini, hicho sicho ninacho kitamani wala kukitaka.
Wanangu daima watamuhitaji baba yao, watahitaji uwepo wake. Na kuwa single parent hii sio utamaduni wa watu weusi na mimi ni mwanamke mweusi niliyekuzwa kwa misingi ya kuthamini thamani ya watu weusi."- Rihanna🗣️
View attachment 3091192
Kumbe kama mtu hajauliza mama hajambo, hii ni dalili mbaya 🤣🤣🤣🤣🤣We unazaa na mwanaume ambae hamjuani vzuri unatarajia nn??
We unazaa na mwanaume ambae hajawahi hata kukuuliza "mama hajambo", "baba unaendeleaje", unategemea nn??
We unazaa na mwanaume ambae hamjawahi kuongea maswala ya ndoa, wala ukiingiza story za ndoa yeye anakaa kimya, unategemea nn??
Mwanaume anayekupenda na mwenye malengo na wewe lazima atataka kujua hali ya nyumbani ikoje, anajua akiuliza hivo utafunguka utaanza kunisimulia "ooh sijui mama anaumwa" "baba sina alifariki nimebaki na mama" "baba yupo ila yupo mwenyew mama alimwacha"Kumbe kama mtu hajauliza mama hajambo, hii ni dalili mbaya 🤣🤣🤣🤣🤣
Hayo yote kaanzisha Mwarabu alipoleta talaka kwenye mafundisho ya dini yake.Hivi anajua kama manerumango wazaramo wanaachika kila leo
Kafiri, tafadhali usianze, mara ukaharibu uzi wa watu. Dini yetu Uislam haina kosa lolote wala kasoro yoyote.Hayo yote kaanzisha Mwarabu alipoleta talaka kwenye mafunisho ya dini yake.
Mzungu nae katuletea talaka kwenye mahakama zake huku kwenye dini anaikataa. Mnafiki tu.
Kabla ujio wao mwafrika hakuwa na talaka
Inachapwa sio poaAiseee yule papuchi yake kajua kuitembezea bakora
We unazaa na mwanaume ambae hamjuani vzuri unatarajia nn??
We unazaa na mwanaume ambae hajawahi hata kukuuliza "mama hajambo", "baba unaendeleaje", unategemea nn??
We unazaa na mwanaume ambae hamjawahi kuongea maswala ya ndoa, wala ukiingiza story za ndoa yeye anakaa kimya, unategemea nn??
Sasa mama mkwe muhimu bwana utatafuna mbususu ya binti wa watu huku mama yke anaumwa kesho akisema hakuenjoy utamuona malaya kumbe ulikula kibuduKumbe kama mtu hajauliza mama hajambo, hii ni dalili mbaya 🤣🤣🤣🤣🤣
Nimekutana na sampuli zile za “nipe mtoto tu nitalea mwenyewe”
And hiyo rate inazidi kuongezeka.
But then si wote wanaotaka, kuna case inatokea so yah but mambo si mazuri kwa ground
Ebu rudia tena sauti ipo chini sanaNasimama na bilionea rihanna, kwa mkapa hatoki mtu.....
Anahela na amejitambua huyu. Kwa haya aliyosema kama n yeye basi ni role model wa kina dada wengi wanaotaka kuolewa.Haya ni maneno aliyoongea billionea Rihanna kwenye moja ya interview zake ambayo ilizua hisia tofauti tofauti miongoni mwa mashabiki zake.
" Sitaweza kuachana na mme wangu hata kama akinichiti kwa sababu wanangu wanamuhitaji baba yao na pia hata mimi nahitaji niwe na familia iliyotimia."
"Nilipofunga ndoa na kupata watoto, sitaki kabisa kuwa na talaka kwa sababu sifikiri kama niko tayari kuwa single mother. Napendelea familia kamili hata kama najua naweza kujitosheleza na kulea wanangu kama nikitaka lakini, hicho sicho ninacho kitamani wala kukitaka.
Wanangu daima watamuhitaji baba yao, watahitaji uwepo wake. Na kuwa single parent hii sio utamaduni wa watu weusi na mimi ni mwanamke mweusi niliyekuzwa kwa misingi ya kuthamini thamani ya watu weusi."- Rihanna🗣️
View attachment 3091192
Single maza wengi ni wale malaya waliokubali kuzalishwa hovyo bila kuwa kwenye ndoa achana na wajane na hao wataliakana na waume zaoKwa taarifa yako wengi hawako tayari
Ni wamekosa namna tu...either umri kwenda,kifo cha baba mtoto ama kuachana na baba watoto wao
Hakuna mwanamke anayefurahi kulea mtoto peke yake
Sio huku kwetu akishazishika tu hela utasikia'usinibabaishe,naweza kukulisha na kukuvisha,na hata ukiamua kuondoka usifikiri ntapata shida'...Haya ni maneno aliyoongea billionea Rihanna kwenye moja ya interview zake ambayo ilizua hisia tofauti tofauti miongoni mwa mashabiki zake.
" Sitaweza kuachana na mme wangu hata kama akinichiti kwa sababu wanangu wanamuhitaji baba yao na pia hata mimi nahitaji niwe na familia iliyotimia."
"Nilipofunga ndoa na kupata watoto, sitaki kabisa kuwa na talaka kwa sababu sifikiri kama niko tayari kuwa single mother. Napendelea familia kamili hata kama najua naweza kujitosheleza na kulea wanangu kama nikitaka lakini, hicho sicho ninacho kitamani wala kukitaka.
Wanangu daima watamuhitaji baba yao, watahitaji uwepo wake. Na kuwa single parent hii sio utamaduni wa watu weusi na mimi ni mwanamke mweusi niliyekuzwa kwa misingi ya kuthamini thamani ya watu weusi."- Rihanna🗣️
View attachment 3091192
Kina mobeto 😹Hiyo nipe mtoto nitalea mwenyewe nasikia wapo kweli wa namna hiyo,nafikiri sababu kubwa huwa wanakuwa wameshajichokea na wanaona umri umeenda
Lakini wapo waliokuwa single mothers sababu ya ndoa kuvunjika,kifo cha baba na mambo kama hayo