RIHANNA: Sipo tayari kuwa single mother hata kama najitosheleza kulea mwenyewe

RIHANNA: Sipo tayari kuwa single mother hata kama najitosheleza kulea mwenyewe

Kwa taarifa yako wengi hawako tayari

Ni wamekosa namna tu...either umri kwenda,kifo cha baba mtoto ama kuachana na baba watoto wao

Hakuna mwanamke anayefurahi kulea mtoto peke yake
Ni kwl mkuu na inafikia mahali wanatafuta hata mwanaume wa kulea zu Aishi nae kama mume inashindikanika.....
 
We unazaa na mwanaume ambae hamjuani vzuri unatarajia nn??

We unazaa na mwanaume ambae hajawahi hata kukuuliza "mama hajambo", "baba anaendeleaje", unategemea nn??

We unazaa na mwanaume ambae hamjawahi kuongea maswala ya ndoa, wala ukiingiza story za ndoa yeye anakaa kimya, unategemea nn??

Kujuana vizuri na mengineyo uliyoandika si uhakika kwamba mwanaume atakaa hapo siku zote. Maisha hubadilika, watu hubadilika.
 
Kujuana vizuri na mengineyo uliyoandika si uhakika kwamba mwanaume atakaa hapo siku zote. Maisha hubadilika, watu hubadilika.
Bora uzae na mwanaume ambaye hana interest ya kukujua wewe kiundani wala ya kuwajua wazazi wako OR
Uzae na mwanaume anayeonesha interest ya kukufahamu zaidi, sio wewe tuu bali hata na wazazi wako?

Who is more promising??
 
Haya ni maneno aliyoongea billionea Rihanna kwenye moja ya interview zake ambayo ilizua hisia tofauti tofauti miongoni mwa mashabiki zake.

" Sitaweza kuachana na mme wangu hata kama akinichiti kwa sababu wanangu wanamuhitaji baba yao na pia hata mimi nahitaji niwe na familia iliyotimia."

"Nilipofunga ndoa na kupata watoto, sitaki kabisa kuwa na talaka kwa sababu sifikiri kama niko tayari kuwa single mother. Napendelea familia kamili hata kama najua naweza kujitosheleza na kulea wanangu kama nikitaka lakini, hicho sicho ninacho kitamani wala kukitaka.

Wanangu daima watamuhitaji baba yao, watahitaji uwepo wake. Na kuwa single parent hii sio utamaduni wa watu weusi na mimi ni mwanamke mweusi niliyekuzwa kwa misingi ya kuthamini thamani ya watu weusi."- Rihanna🗣️

View attachment 3091192
Hongera kwake kwa kujitambua.
 
Hivi ni jukumu la mwanamke kupigania ndoa eeh! Kuna kauli za wanaume na wanawake unazisikia unabaki tu kusema hiiiiii🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️
Wanapambana kutokomeza single mama wanasahau kutokomeza ushoga😅😅😅😅😅mwanaume wa karne ni kituko show
 
Kwani waliokuwa single mothers walikuwa tayari?

Yeye aombee bwana ake asimuache tu kwasababu akiamua kumuacha hakuna kitu atafanya
Hamna mwanaume anamuacha mwanamke bila sababu,chanzo cha wanawake kuachwa ni wao wenyewe na tabia zao mbovu.
Daima mwanamke huivunja ndoa take kwa mikono yake mwenyewe.
 
Huyu kaondoa ile mindset mbovu ya wanaoamini kuwa single mother dawa yake ni kutafuta pesa tu.

@Mtibeli
 
Rihanna anajua sana thamani ya mwanaume, hata akichit asap rocky wala haachwi, hasa kule afurika kila leo wanakagua simu za wapenzi wao wakati rihanna bilionea hagusi kabisa simu ya mume wake
Rihanna hajasema haya maneno, hii ni story ya kutunga
 
Bora uzae na mwanaume ambaye hana interest ya kukujua wewe kiundani wala ya kuwajua wazazi wako OR
Uzae na mwanaume anayeonesha interest ya kukufahamu zaidi, sio wewe tuu bali hata na wazazi wako?

Who is more promising??
Namba mbili anachukua points ila maana yangu ni kwamba hata huyo namba mbili anaweza badilika mbeleni. Haujawahi ona watu walifikia hadi ndoa ila ghafla wakaja telekeza familia zao? Binadamu anaweza badilika muda wowote hata kama alikua mwema kiasi gani.
 
Dunia ni saw gulio kuna bidhaa za kila aina,kila mtu hununua atakacho kulngana na uwezo wake.Maneno,mtizamo na maisha ya Rihana Fenty ni moj ya bidhaa muhm saana kwa wanawake wanatak kujifunza uasili wa maisha ya familia bila kujali ukwas wao.
Pamoja nakwamb kesho ya mtu ni fumbo lkn kauli hiyo ya Rihana ameonyesha ktu cha tofaut saan hasa kwa status alyo nayo.
 
Uko sahih kabsaa ...na hilo jambo watu wengi wanapata ugumu kulielew kama ilvo vgumu kuielew saut ya Mungu.Kiufup ugomvi/ukorof wa mwanamke mwanaume kuuhimiri ni ngumu saan,ndo maana hutulazmu kukmbia.
Ndugu zangu nawaambia hivi Hakuna mwanaume ambaye anaweza telekeza Damu yake hakuna ni vile tu wanaugulia moyoni kuwa mbali na mtoto/watoto wake! Wanaume huwa tunakua proud na damu zetu najisikia faraja kuitwa baba!

Shida inakuja kwa hawa wanawake Mtoto wa kwanza ni Wako pure kabisa mnafanana kila kitu mpaka kutembea, kucheka, everything mapenzi yanakua moto moto mwanzo.Sasa wanaume kuweni waangalifu kuanzia mtoto wa pili na kuendelea hapo ndipo mchanganyo unapotokea.

Wanaume wengi wanalea sio damu zao unakuta mtoto hafanani na yoyote yule, matukio ya ushirikina, kelele, goldiggers..e.t.c
Almanusura nipigwe na tukio hilo sikubaki nikasepa zangu sitaki ujinga. Huyo mwingine first born hana shida.
 
Haya ni maneno aliyoongea billionea Rihanna kwenye moja ya interview zake ambayo ilizua hisia tofauti tofauti miongoni mwa mashabiki zake.

" Sitaweza kuachana na mme wangu hata kama akinichiti kwa sababu wanangu wanamuhitaji baba yao na pia hata mimi nahitaji niwe na familia iliyotimia."

"Nilipofunga ndoa na kupata watoto, sitaki kabisa kuwa na talaka kwa sababu sifikiri kama niko tayari kuwa single mother. Napendelea familia kamili hata kama najua naweza kujitosheleza na kulea wanangu kama nikitaka lakini, hicho sicho ninacho kitamani wala kukitaka.

Wanangu daima watamuhitaji baba yao, watahitaji uwepo wake. Na kuwa single parent hii sio utamaduni wa watu weusi na mimi ni mwanamke mweusi niliyekuzwa kwa misingi ya kuthamini thamani ya watu weusi."- Rihanna🗣️

View attachment 3091192
Dah

Mtoto kaakisi original sura ya baba hadi kaharibu

Dah
 
Ya
Huyu kaondoa ile mindset mbovu ya wanaoamini kuwa single mother dawa yake ni kutafuta pesa tu.

@Mtibeli
Yaan ujue jamii zetu za kiafrika wanawake wengi wana athriwa na umaskin wakdhan kuwa kupata pesa ni kila ktu na ndoa ni ktu cha ziada.Aidha wengi hata wakipat vipesa wanaona kuwasapot waume za ndoa zsonge mbele wanaona kama wanapotez pesa mwishowe wakibak sngo wanapoteza heshma na aman kulko wangepambania ndoa zao.
 
Haya ni maneno aliyoongea billionea Rihanna kwenye moja ya interview zake ambayo ilizua hisia tofauti tofauti miongoni mwa mashabiki zake.

" Sitaweza kuachana na mme wangu hata kama akinichiti kwa sababu wanangu wanamuhitaji baba yao na pia hata mimi nahitaji niwe na familia iliyotimia."

"Nilipofunga ndoa na kupata watoto, sitaki kabisa kuwa na talaka kwa sababu sifikiri kama niko tayari kuwa single mother. Napendelea familia kamili hata kama najua naweza kujitosheleza na kulea wanangu kama nikitaka lakini, hicho sicho ninacho kitamani wala kukitaka.

Wanangu daima watamuhitaji baba yao, watahitaji uwepo wake. Na kuwa single parent hii sio utamaduni wa watu weusi na mimi ni mwanamke mweusi niliyekuzwa kwa misingi ya kuthamini thamani ya watu weusi."- Rihanna🗣️

View attachment 3091192
Billionea kabisa huyu anajua umuhimu wa baba kwenye familia ila ngedere mmoja wa ngerengere anakaza ubongo kuwa anayamudu maisha atalea mwenyewe kisa ana ajira ya kuwa teller NMB🤣
 
Back
Top Bottom