RIHANNA: Sipo tayari kuwa single mother hata kama najitosheleza kulea mwenyewe

RIHANNA: Sipo tayari kuwa single mother hata kama najitosheleza kulea mwenyewe

Hakuna mwanamke anayependa kulea mtoto/watoto peke yake. Kuna vitu vinatokea, viko nje ya uwezo wa mtu. Kuna mwanaume anaondoka anaenda kuoa mwingine, utamfata? Kuna kufa, kuna kutokuelewana kabisa kimtazamo, baada ya kupata watoto. Tuombe uzima, muda ni msema kweli.
Una kitu utafika mbali, ntafute tuyajenge bibie.
 
Yule Rastaman wake akiamua kumuacha, nn atafanyaa nn?
Akae kwa kutuliaa, muhimu wazeeke Pa1. Lol
 
Kwani waliokuwa single mothers walikuwa tayari?

Yeye aombee bwana ake asimuache tu kwasababu akiamua kumuacha hakuna kitu atafanya
Point yake ni hiyo hiyo sema hujamuelewa,isipokuwa yeye anakwenda mbali zaidi kwamba pamoja na kwamba ana hela za kufanya chochote bado ni jambo ambalo hilo hayuko tayari nalo kitu ambacho wengi hiyo ni sababu ya kudai talaka.
 
"Najitosheleza, sihitaji mwanaume, najiamini"

Alisikika mdangaji akiwa na wenzake kwenye jukwaa la wanawake tunaweza.
We jamaa wewe....😂😂😂
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Mmh na ulivyoona inamake sense kbsa kwko.
Kuna mtu ana mke mmoja toka mwaka 1990 lakini michepuko aliyopitia ni zaidi ya 100, Au mwanamke ana mme alkini nje michepuko 20...

Tatizo ni kwamba wao ni mastaa, hivyo habari zao zinajulikana na kuzingatiwa, lakini huku mtaani watu walishakuwa kwenye mahusiano na watu zaidi ya 50, ni vile hawajulikani .. kawaida sana..
 
Haya ni maneno aliyoongea billionea Rihanna kwenye moja ya interview zake ambayo ilizua hisia tofauti tofauti miongoni mwa mashabiki zake.

" Sitaweza kuachana na mme wangu hata kama akinichiti kwa sababu wanangu wanamuhitaji baba yao na pia hata mimi nahitaji niwe na familia iliyotimia."

"Nilipofunga ndoa na kupata watoto, sitaki kabisa kuwa na talaka kwa sababu sifikiri kama niko tayari kuwa single mother. Napendelea familia kamili hata kama najua naweza kujitosheleza na kulea wanangu kama nikitaka lakini, hicho sicho ninacho kitamani wala kukitaka.

Wanangu daima watamuhitaji baba yao, watahitaji uwepo wake. Na kuwa single parent hii sio utamaduni wa watu weusi na mimi ni mwanamke mweusi niliyekuzwa kwa misingi ya kuthamini thamani ya watu weusi."- Rihanna🗣️

View attachment 3091192
safi kabisa
 
Ila familia ni baba na mama asee, Rihanna mdingi wake ni mlevi wa kupindukia, mpenda kamari, ashatapeli sana kutumia jina la mwanae ile ana post poster za Riri anakula viingilio kumbe ata hayupo barbados muda huo

Yooote hayo anampenda baba ake sana, nafkri ameona umuhimu wa bb maishani ila sema za ukweli mabinti hupenda sana baba zao unconditional love. She wants that for her kids 👍
 
Haya ni maneno aliyoongea billionea Rihanna kwenye moja ya interview zake ambayo ilizua hisia tofauti tofauti miongoni mwa mashabiki zake.

" Sitaweza kuachana na mme wangu hata kama akinichiti kwa sababu wanangu wanamuhitaji baba yao na pia hata mimi nahitaji niwe na familia iliyotimia."

"Nilipofunga ndoa na kupata watoto, sitaki kabisa kuwa na talaka kwa sababu sifikiri kama niko tayari kuwa single mother. Napendelea familia kamili hata kama najua naweza kujitosheleza na kulea wanangu kama nikitaka lakini, hicho sicho ninacho kitamani wala kukitaka.

Wanangu daima watamuhitaji baba yao, watahitaji uwepo wake. Na kuwa single parent hii sio utamaduni wa watu weusi na mimi ni mwanamke mweusi niliyekuzwa kwa misingi ya kuthamini thamani ya watu weusi."- Rihanna🗣️

View attachment 3091192
Me pia nakubali alichosema
 
Hivi ni jukumu la mwanamke kupigania ndoa eeh! Kuna kauli za wanaume na wanawake unazisikia unabaki tu kusema hiiiiii🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️
[/QUOT
 
Back
Top Bottom