Una kitu utafika mbali, ntafute tuyajenge bibie.Hakuna mwanamke anayependa kulea mtoto/watoto peke yake. Kuna vitu vinatokea, viko nje ya uwezo wa mtu. Kuna mwanaume anaondoka anaenda kuoa mwingine, utamfata? Kuna kufa, kuna kutokuelewana kabisa kimtazamo, baada ya kupata watoto. Tuombe uzima, muda ni msema kweli.
Kuna mtu anaachaga gari ya hela 🤣Kwani waliokuwa single mothers walikuwa tayari?
Yeye aombee bwana ake asimuache tu kwasababu akiamua kumuacha hakuna kitu atafanya
Uliyasema wewe au 🤣Rihanna hajasema haya maneno, hii ni story ya kutunga
Point yake ni hiyo hiyo sema hujamuelewa,isipokuwa yeye anakwenda mbali zaidi kwamba pamoja na kwamba ana hela za kufanya chochote bado ni jambo ambalo hilo hayuko tayari nalo kitu ambacho wengi hiyo ni sababu ya kudai talaka.Kwani waliokuwa single mothers walikuwa tayari?
Yeye aombee bwana ake asimuache tu kwasababu akiamua kumuacha hakuna kitu atafanya
We jamaa wewe....😂😂😂"Najitosheleza, sihitaji mwanaume, najiamini"
Alisikika mdangaji akiwa na wenzake kwenye jukwaa la wanawake tunaweza.
Mmh na ulivyoona inamake sense kbsa kwko.Kuna filamu yake ametoa mpya nimesahau jina ukiitazama ameelezea vyema kwanini mahusiano yake ni ya namna hio.
Kuna mtu ana mke mmoja toka mwaka 1990 lakini michepuko aliyopitia ni zaidi ya 100, Au mwanamke ana mme alkini nje michepuko 20...Mmh na ulivyoona inamake sense kbsa kwko.
safi kabisaHaya ni maneno aliyoongea billionea Rihanna kwenye moja ya interview zake ambayo ilizua hisia tofauti tofauti miongoni mwa mashabiki zake.
" Sitaweza kuachana na mme wangu hata kama akinichiti kwa sababu wanangu wanamuhitaji baba yao na pia hata mimi nahitaji niwe na familia iliyotimia."
"Nilipofunga ndoa na kupata watoto, sitaki kabisa kuwa na talaka kwa sababu sifikiri kama niko tayari kuwa single mother. Napendelea familia kamili hata kama najua naweza kujitosheleza na kulea wanangu kama nikitaka lakini, hicho sicho ninacho kitamani wala kukitaka.
Wanangu daima watamuhitaji baba yao, watahitaji uwepo wake. Na kuwa single parent hii sio utamaduni wa watu weusi na mimi ni mwanamke mweusi niliyekuzwa kwa misingi ya kuthamini thamani ya watu weusi."- Rihanna🗣️
View attachment 3091192
Hii ndo chanzo KikuyuNimekutana na sampuli zile za “nipe mtoto tu nitalea mwenyewe”
And hiyo rate inazidi kuongezeka.
But then si wote wanaotaka, kuna case inatokea so yah but mambo si mazuri kwa ground
Me pia nakubali alichosemaHaya ni maneno aliyoongea billionea Rihanna kwenye moja ya interview zake ambayo ilizua hisia tofauti tofauti miongoni mwa mashabiki zake.
" Sitaweza kuachana na mme wangu hata kama akinichiti kwa sababu wanangu wanamuhitaji baba yao na pia hata mimi nahitaji niwe na familia iliyotimia."
"Nilipofunga ndoa na kupata watoto, sitaki kabisa kuwa na talaka kwa sababu sifikiri kama niko tayari kuwa single mother. Napendelea familia kamili hata kama najua naweza kujitosheleza na kulea wanangu kama nikitaka lakini, hicho sicho ninacho kitamani wala kukitaka.
Wanangu daima watamuhitaji baba yao, watahitaji uwepo wake. Na kuwa single parent hii sio utamaduni wa watu weusi na mimi ni mwanamke mweusi niliyekuzwa kwa misingi ya kuthamini thamani ya watu weusi."- Rihanna🗣️
View attachment 3091192
Hivi ni jukumu la mwanamke kupigania ndoa eeh! Kuna kauli za wanaume na wanawake unazisikia unabaki tu kusema hiiiiii🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
[/QUOT