Rihanna vs Beyonce nani ni malkia wa muziki?

Rihanna vs Beyonce nani ni malkia wa muziki?

Ukiachana na hao wawili hili kuwaterm malkia wa music inabidi tuwaweke kwenye Genre zao bhn na sio kuwafanyia Generalization na kuja na majibu kwamba fulani ni malkia wa muziki,

Cha kwanza kati ya hao wawili hao wote ni wasanii wazuri na bahati nzuri wote wanaimba Soul/Pop lakini hiyo miziki ina malkia zake na sio hao:

1.Queen of soul ni marehemu Aretha Franklin hii dunia nzima wanajua hivyo na hili taji analo na kila mtu kakubali yeyr kupewa hilo taji.

2.Queen of Pop ni Madonna na kila mtu kakubali yeye anastahili kuwa hapo

3.Queen of Rock and Roll ni marehemu Tina Turner na kila mtu kakubali yeye kuwa hapo

4.Kwenye Rnb sasa ndio watu huwa wanashindwa nani apewe Taji ingawa Mary J blige, Beyonce, Mariah Carey ndio ambao wanatajawa kuwa ndio vinara wa kike wa huu muziki uliokufa kifo cha mende, huku kwa upande wa wanaume R Kelly, Jaheim, Tyrese, Ne yo, Usher wakitajwa kuwa ni vinara katika muziki huu
Nakubali. Haya turudi kwa Rihanna na Beyonce
 
Tatizo umeanzisha mpambano wa wasanii huku ukiwa na majibu yako mfukoni....
Ndo maana umeshusha List ya Ngoma za Rihanna wakati za Beyonce ujazitaja japo umeuplaod hiyo Ngoma aliimba na WizKid...
Anyway Kura yangu inaenda Kwa Beyonce maana kila nimisikilizaga haya mangoma yake hua nakumbuka mbali Sana...
1. Ego pia Kuna Ego remix akiwa na Kanye West
2. Halo
3. Beautiful Liar
4. Single Ladies
5. Crazy in love
6. Run the world
7. My power
8. Break my soul
9. Diva
10. If I were a boy
11. XO
12. Survivor [emoji91]

Kwa hizo Pini itoshe kusema Tu Beyonce ni hatari sana
Lile goma aliloimba na shatta wale wa Ghana, king .....
 
Mtanange huu unawakutanisha warembo hawa ambao wametikisa mziki wa U.S.A na duniani kwa ujumla.

Hapa tunatazama ni msanii gani anapaswa kupewa taji la malkia wa mziki kwa ukali wa ngoma alizonazo.

Kwangu binafsi naenda na badgirlriri sioni Beyonce akimsogelea Rihanna kwenye taji lake la umalkia wa mziki kwa mikwaju ya moto aliyo nayo Riri hitsongs za kushiba ila nahumeshimu Beyonce.

Ngoma hizi Riri aliumiza mbaya mbovu:-
i, Wild thoughts ya dj Khalled
ii, Work
iii, What's my name
iv, Rehab
v, What now
vi, Put it up ya Chris Breezy
Vii, Fly ya Minaj
Viii, Monster ya mtu mzima slim shady
Ix, Live your life ya mwamba T.I
X, Man down
Xi, Diamonds
Xii, Talk that talk
Xiii, Umbrella
Xiv, They way you lie
Xv, Needed me
Xvi, Run this town ya mtu mzima jigga
Xvii, Lemon ya N.E.R.D
Xviii, Rude boy
Xix, Te amo
Xx, Royalty ya mtu mzima Kendrick
Na nyengine nyingi

Wewe kwako nani anapaswa kuwa malkia kati ya hawa warembo wawili wa mziki wa mambele ?
Whitney Houston forever👑

Ila kati ya Beyonce na Rihanna, i will go with Rihanna.
 
Ukiachana na hao wawili hili kuwaterm malkia wa music inabidi tuwaweke kwenye Genre zao bhn na sio kuwafanyia Generalization na kuja na majibu kwamba fulani ni malkia wa muziki,

Cha kwanza kati ya hao wawili hao wote ni wasanii wazuri na bahati nzuri wote wanaimba Soul/Pop lakini hiyo miziki ina malkia zake na sio hao:

1.Queen of soul ni marehemu Aretha Franklin hii dunia nzima wanajua hivyo na hili taji analo na kila mtu kakubali yeyr kupewa hilo taji.

2.Queen of Pop ni Madonna na kila mtu kakubali yeye anastahili kuwa hapo

3.Queen of Rock and Roll ni marehemu Tina Turner na kila mtu kakubali yeye kuwa hapo

4.Kwenye Rnb sasa ndio watu huwa wanashindwa nani apewe Taji ingawa Mary J blige, Beyonce, Mariah Carey ndio ambao wanatajawa kuwa ndio vinara wa kike wa huu muziki uliokufa kifo cha mende, huku kwa upande wa wanaume R Kelly, Jaheim, Tyrese, Ne yo, Usher wakitajwa kuwa ni vinara katika muziki huu

Cha kuongezea

Mary J blidge anajulikana kama malkia wa hip hop soul, genre aliyoisongesha mjini ambayo ni breed ya hip hop and soul music

Ashanti ni princess of RnB

Mariah Carey, Whitney Houston na Celine Deon wanajulikana kama "The vocal Trinity".. Kwenye sauti hawashindanishwi na wengine kwenye Era yao

Beyonce japo watu baadhi wanabisha ila kwa sasa ndio the best stage performing Artist alive, na wengine wanamuita "Queen of stage" Japo inspiration kubwa kaipata kwa Tina Turner
 
Huu mtanange wa Riri Vs Beyonce haujawahi kuisha 😁😁

Beyonce ni monster kwa stage maana ni perfectionist kama MJ, vocal kali na ana tuzo nyingi kuliko Riri. Pia ile innocence na kuweka maisha yake extremely private imemsababishia kuwa na heshima, hadhi na influence kwa fans "beyhive".ukiachana na kuwa na powercouple "Hollywood"

Rihanna ana mafanikio makubwa financially kama msanii wa kike tajiri zaidi lakini pia ametengeneza na kuuza more hit records kuliko Beyonce. Riri ana ile Bad b*tch persona inayomfanya kupendwa sana na wengi lakini haimpi hadhi kubwa tofauti na bey

Binafsi yangu namkubali zaidi Riri lakini kwa influence and musical impact, hamkaribii bey hivyo, queen Bey apewe 😁😁
 
Beyonce:;sababu yupo kwenye game muda mrefu na anakubalika sehemu nyingi duniani lakini kwa Rihanna muziki wake unapendwa na waafrica zaidi ya Beyonce, Chunguza hilo utagundua waafrica hasa Tanzania nyimbo za Rihanna ni maarufu zaidi kuliko za Bey
Kusema kuwa mziki wa Rihanna unapendwa zaidi Afrika sio kweli ila mziki wa Rihanna umepasua anga kwa sehemu kubwa duniani tofauti na Beyonce
Rihanna anabamiza mpaka huko U.S
 
Huu mtanange wa Riri Vs Beyonce haujawahi kuisha 😁😁

Beyonce ni monster kwa stage maana ni perfectionist kama MJ, vocal kali na ana tuzo nyingi kuliko Riri. Pia ile innocence na kuweka maisha yake extremely private imemsababishia kuwa na heshima, hadhi na influence kwa fans "beyhive".ukiachana na kuwa na powercouple "Hollywood"

Rihanna ana mafanikio makubwa financially kama msanii wa kike tajiri zaidi lakini pia ametengeneza na kuuza more hit records kuliko Beyonce. Riri ana ile Bad b*tch persona inayomfanya kupendwa sana na wengi lakini haimpi hadhi kubwa tofauti na bey

Binafsi yangu namkubali zaidi Riri lakini kwa influence and musical impact, hamkaribii bey hivyo, queen Bey apewe 😁😁
Sawa
 
Back
Top Bottom