Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
- #41
NimeipendaRihanna,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NimeipendaRihanna,
PamojaRi Ri babe....
VizuriBeyonce my all time queen🥰
Ile ngoma yake ya best thing I never had
Huwa naiplay hata Mara nne mfululizo
NakubaliRihanna ni Moto wa kuotea mbali
Rihanna ana hits nyingi kuliko queen B
👍Rihanna ni Moto wa kuotea mbali
Rihanna ana hits nyingi kuliko queen B
Mwenye hit songs nyingi ni nani? Jibu lake Rihanna beyonce is overrated"Hapa tunaangalia ukali wa ngoma pekee sio uzuri wa sura wala umbo"
Jibu lako hilooooo
Eti Rihanna ana performance zaidi ya Beyonce labda Beyonce wa NamtumboRihanna moto wa kuotea mbali nembo ya Barbados nchi inamtambua.
Jaman rihanna anaparfomane kalii sanaa kwenye stage tena zaidi ya be. Sema be ana fundi mzuri wa nguo.
Hard ft young jeezy.
Weeeeee acha kabisa au umemuona rihanna wa ASAP rock ambae yuko busy na family plus biashara zake.Eti Rihanna ana performance zaidi ya Beyonce labda Beyonce wa Namtumbo
Acha ujinga wako mwaka huu kafanya Superbowl show ya kijinga.Weeeeee acha kabisa au umemuona rihanna wa ASAP rock ambae yuko busy na family plus biashara zake.
Mtafute rihanna kitu alifanya Rio de genaro (brasil) mwenyewe stejin na sio moja ziko nyingi tuu rihanna na T.I few to mention.
Rihanna ni fire[emoji3059][emoji3059][emoji23]
We n tutusa mtu mjamzito anakaribia kuingia leba alafu akupe show ya maana.Acha ujinga wako mwaka huu kafanya Superbowl show ya kijinga.
Katafute Superbowl show ya mwaka Jana ya Dr Drew, Eminem, 50 cent, Snoop na Marry J bridge halafu ulete mrejesho
kwa afrik hasa kibongo bongo rihan mziki wake unasikilizwa sanaKusema kuwa mziki wa Rihanna unapendwa zaidi Afrika sio kweli ila mziki wa Rihanna umepasua anga kwa sehemu kubwa duniani tofauti na Beyonce
Rihanna anabamiza mpaka huko U.S
Msitafute excuse kwa kwelii unamaanisha marketing ya beyonce haikuona umuhimu wa kupromote nyimbo zake Africa ila rihanna chini ya jay z mume wa be kaona alafu asimuambie ma msap kuhusu africa.kwa afrik hasa kibongo bongo rihan mziki wake unasikilizwa sana
beyonce watu wanamjua jina tu ila nyimb zake weng hawazofhm
Duh! huu sasa ni ushabiki! Kama wa timu kiba na Diamond.Usimlinganishe Rihanna (cardilac escalede) na Beyonce(Toyota V8). Tafadhali sana mleta mada muombe msamaha Rihanna.
Bora angesemea angle nyingine lakini kwenye swala la performance Beyonce ni level zingine kabisaEti Rihanna ana performance zaidi ya Beyonce labda Beyonce wa Namtumbo