Rihanna vs Beyonce nani ni malkia wa muziki?

Rihanna vs Beyonce nani ni malkia wa muziki?

Kwenye kuperfom wewe unaangalia nini ?

1. Vocal
2. Choreography
3. Creativity ya performance nzima kuanzia dancers, backvocals, staging, lights, storyline, etc

Mkuu unampenda sana Riri ila kwenye performance bado sanaa ndio maana hata kwenye superbowl, watu waliinjoi hitsongs na announcement ya mimba,. Hata alipopeform grammys baada ya miaka mingi, haikuwa news..

Compare to Beychella, ilikuwa big news jinsi alivyofanya cultural representation, reunion ya destiny child, performance na solange & jay Zee, zile customes and bands, vocals, show kubwa na bado alikuwa maternity period etc .

Ukiangalia ile documentary ndo utamuelewa yule mwanamke, she is a beast on stage, riri anaweza kuwa na hits nyingi ila stage wise, bado sana hata kwa gaga au bruno mars
 
Kwa hiyo kuwa kiongozi wa kundi ndio tayari ni mkali kuliko Riri ? Na kwa nini utake Riri awe na kundi wakati yeye mwenyewe anajiweza na anatisha ?

Hata Beyonce kama kundi lingekuwa na umuhimu kwake angeendelea nalo mbona alitemana nalo sasa ?

Hapa tuna angalia ukali wa ngoma baina yao waiwili sio tuviji kundi.
beyonce yuko juu ya rihanna, full stop
 
1. Vocal
2. Choreography
3. Creativity ya performance nzima kuanzia dancers, backvocals, staging, lights, storyline, etc

Mkuu unampenda sana Riri ila kwenye performance bado sanaa ndio maana hata kwenye superbowl, watu waliinjoi hitsongs na announcement ya mimba,. Hata alipopeform grammys baada ya miaka mingi, haikuwa news..

Compare to Beychella, ilikuwa big news jinsi alivyofanya cultural representation, reunion ya destiny child, performance na solange & jay Zee, zile customes and bands, vocals, show kubwa na bado alikuwa maternity period etc .

Ukiangalia ile documentary ndo utamuelewa yule mwanamke, she is a beast on stage, riri anaweza kuwa na hits nyingi ila stage wise, bado sana hata kwa gaga au bruno mars
Unargue na watoto wadogo wanaotanguliza mbele mahaba badala ya facts.

Usitegemee kueleweka.
 
Duh! huu sasa ni ushabiki! Kama wa timu kiba na Diamond.

Rihanna tunampenda sana, tena Africa ndio tunampenda zaidi. Lakini Bey ni bey aiseee! Bey ni zaidi ya Noma!
Ety! Ushabiki usichokijua Beyonce anachomzidi Rihanna ni sura tu, lakini kwenye mziki hamsogelei hata kidogo tena ameachwa mbali kimafanikio na Rihanna.
 
Ety! Ushabiki usichokijua Beyonce anachomzidi Rihanna ni sura tu, lakini kwenye mziki hamsogelei hata kidogo tena ameachwa mbali kimafanikio na Rihanna.
😂😂😂😂😂😂King tuko pamoja ila riri n pisi na nusuu kuanzia sura,shape malkia wa nyuki abaki mzingani.
 
Back
Top Bottom