Ripoti juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini: hakuna gazeti hata moja lililoandika habari hiyo!

Ripoti juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini: hakuna gazeti hata moja lililoandika habari hiyo!

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,597
Reaction score
16,394
Jana vyombo vya habari vya kimataifa vilitangaza taarifa iliyotolewa na taasisi ya kimataifa ya human right watch juu ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaoendelea nchni. Nimepita magazeti karibu yote habari hiyo haikuandikwa popote. Paskali mara nyingi huwa unajitokeza kutetea wanahabari wenzio tunaposema hakuna professionalism na uhuru wa habari nchini. Tunaomba ujitokeze tena utufafanulie hili.
 
Jana vyombo vya habari vya kimataifa vilitangaza taarifa iliyotolewa na taasisi ya kimataifa ya human right watch juu ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaoendelea nchni. Nimepita magazeti karibu yote habari hiyo haikuandikwa popote. Paskali mara nyingi huwa unajitokeza kutetea wanahabari wenzio tunaposema hakuna professionalism na uhuru wa habari nchini. Tunaomba ujitokeze tena utufafanulie hili.
1-Wanahabari si kwamba hawana taarifa.Ni aidha wanajipendekeza kwa kisingizio feki cha uzalendo kwa nchi au wamenyamazishwa kwa mlungula na vitisho.
2-Paskali ni m-CCM na serikali inaongozwa na CCM.Hawezi kujichoma na pasi ya moto jichoni.
 
Jana vyombo vya habari vya kimataifa vilitangaza taarifa iliyotolewa na taasisi ya kimataifa ya human right watch juu ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaoendelea nchni. Nimepita magazeti karibu yote habari hiyo haikuandikwa popote. Paskali mara nyingi huwa unajitokeza kutetea wanahabari wenzio tunaposema hakuna professionalism na uhuru wa habari nchini. Tunaomba ujitokeze tena utufafanulie hili.
Paskali unapaswa kumtag kabisa ili aje kutema madini hapa Pascal Mayalla
 
Jana vyombo vya habari vya kimataifa vilitangaza taarifa iliyotolewa na taasisi ya kimataifa ya human right watch juu ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaoendelea nchni. Nimepita magazeti karibu yote habari hiyo haikuandikwa popote. Paskali mara nyingi huwa unajitokeza kutetea wanahabari wenzio tunaposema hakuna professionalism na uhuru wa habari nchini. Tunaomba ujitokeze tena utufafanulie hili.
Ukiona hivyo hakuna hicho kitu hata mimi sikioni nitaandika nini?
 
1-Wanahabari si kwamba hawana taarifa.Ni aidha wanajipendekeza kwa kisingizio feki cha uzalendo kwa nchi au wamenyamazishwa kwa mlungula na vitisho.
2-Paskali ni m-CCM na serikali inaongozwa na CCM.Hawezi kujichoma na pasi ya moto jichoni.
Tatizo lakwaza je hiyo report inamnufaisha nani? Kama ni mwananchi wa kawaida vyombo vya habari havinufaiki sana na Wananchi wa kawaida kwenye kuuza habari zao kuliko matangazo wanayo pewa na wizara mbalimbali pamoja na serikali kwa ujumla. Kwa mfano gazeti la uhuru ukienda ofisi zote za serikali utalikuta nchi nzima sasa ikiandika habari zinazo husu ukiukwaji wa haki za binadamu na mara nyingi habari hizi zinaegemea upande wa serikali nani atakuwa mteja wake mkubwa. Ukitaka kujua kuwa usipo pata matangazo uwezi kuendesha vjombo cha habari, Chukulia Tanzania Daima la Mbowe lipo wapi
 
Jana vyombo vya habari vya kimataifa vilitangaza taarifa iliyotolewa na taasisi ya kimataifa ya human right watch juu ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaoendelea nchni. Nimepita magazeti karibu yote habari hiyo haikuandikwa popote. Paskali mara nyingi huwa unajitokeza kutetea wanahabari wenzio tunaposema hakuna professionalism na uhuru wa habari nchini. Tunaomba ujitokeze tena utufafanulie hili.
Sasa hapo paskali hapo anahusika vipi mkuu ikiwa ripoti haikutolewa na vyombo vyovyote basi ujue ndio hivyo wenye mchi wameamua hivyo..
 
Tatizo lakwaza je hiyo report inamnufaisha nani? Kama ni mwananchi wa kawaida vyombo vya habari havinufaiki sana na Wananchi wa kawaida kwenye kuuza habari zao kuliko matangazo wanayo pewa na wizara mbalimbali pamoja na serikali kwa ujumla. Kwa mfano gazeti la uhuru ukienda ofisi zote za serikali utalikuta nchi nzima sasa ikiandika habari zinazo husu ukiukwaji wa haki za binadamu na mara nyingi habari hizi zinaegemea upande wa serikali nani atakuwa mteja wake mkubwa. Ukitaka kujua kuwa usipo pata matangazo uwezi kuendesha vjombo cha habari, Chukulia Tanzania Daima la Mbowe lipo wapi
Tukiwa na wanahabari wote wana mitazamo uliyoiandika,twaaafaaa!
 
Jana vyombo vya habari vya kimataifa vilitangaza taarifa iliyotolewa na taasisi ya kimataifa ya human right watch juu ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaoendelea nchni. Nimepita magazeti karibu yote habari hiyo haikuandikwa popote. Paskali mara nyingi huwa unajitokeza kutetea wanahabari wenzio tunaposema hakuna professionalism na uhuru wa habari nchini. Tunaomba ujitokeze tena utufafanulie hili.
Wanabar Makada? ndio maana kwa sasa hivi Idhaa za Kiswahili za Kinataifa kama BBC, VOA, DWD na wengineo wanaendelea kuchukua Wakenya pekee.
 
Alisema kuwa sheria zile zilizopelekea hadi baadhi ya watu wakakimbia nchi na kwenda uhamishoni bado zipo.
 
Jana vyombo vya habari vya kimataifa vilitangaza taarifa iliyotolewa na taasisi ya kimataifa ya human right watch juu ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaoendelea nchni. Nimepita magazeti karibu yote habari hiyo haikuandikwa popote. Paskali mara nyingi huwa unajitokeza kutetea wanahabari wenzio tunaposema hakuna professionalism na uhuru wa habari nchini. Tunaomba ujitokeze tena utufafanulie hili.
Tanzania ukiwatoa Chief Odemba na Kikeke hakuna waadishi wa habari wengine, wengine ni mafisadi tupu na matapeli
 
Mwaka huu na mwakani ni kipindi cha wanahabari kuvuna pesa kupitia kampeni na chaguzi zake, kwahiyo ustarajie waache kulamba miguu ya watoa pesa
 
Jana vyombo vya habari vya kimataifa vilitangaza taarifa iliyotolewa na taasisi ya kimataifa ya human right watch juu ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaoendelea nchni. Nimepita magazeti karibu yote habari hiyo haikuandikwa popote. Paskali mara nyingi huwa unajitokeza kutetea wanahabari wenzio tunaposema hakuna professionalism na uhuru wa habari nchini. Tunaomba ujitokeze tena utufafanulie hili.
Ukisikia kuwa colonized mentally ndio huku sasa! Wao mambo wanayo penda kuandika ni ya akina Pdidy...!
 
Back
Top Bottom