Konda wa bajaj
JF-Expert Member
- Sep 10, 2024
- 604
- 918
NA HAO TUNAENDA KUWAPA WIZARA ILI WAKAE KIMYA.Tanzania ukiwatoa Chief Odemba na Kikeke hakuna waadishi wa habari wengine, wengine ni mafisadi tupu na matapeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NA HAO TUNAENDA KUWAPA WIZARA ILI WAKAE KIMYA.Tanzania ukiwatoa Chief Odemba na Kikeke hakuna waadishi wa habari wengine, wengine ni mafisadi tupu na matapeli
Sahihi.Wanahabari wa Tanzania wana maono na mipango hafifu sana kwa sababu ya ukada,kisingizio cha uzalendo feki,uoga na kuogopa vitisho,kupenda bahasha,weledi hafifu,kutofuata maadili.ndoto za kupata utajiri na ujinga sugu.Wanalemaza tasnia yao (crippling the industry)kwa mikono na uwezo mdogo wa akili zao.Nini kimewashinda hadi washindwe kukopi na kupeisti taarifa walizoandaliwa na wenye uwezo na akili chanya?Wanabar Makada? ndio maana kwa sasa hivi Idhaa za Kiswahili za Kinataifa kama BBC, VOA, DWD na wengineo wanaendelea kuchukua Wakenya pekee.
Ndiyo kitakachotokea, Paschal Mayala sahivi yupo Channel 10NA HAO TUNAENDA KUWAPA WIZARA ILI WAKAE KIMYA.
Kwahiyo njaa ndiyo inafanya habari ngumu wasiziandike.Tatizo lakwaza je hiyo report inamnufaisha nani? Kama ni mwananchi wa kawaida vyombo vya habari havinufaiki sana na Wananchi wa kawaida kwenye kuuza habari zao kuliko matangazo wanayo pewa na wizara mbalimbali pamoja na serikali kwa ujumla. Kwa mfano gazeti la uhuru ukienda ofisi zote za serikali utalikuta nchi nzima sasa ikiandika habari zinazo husu ukiukwaji wa haki za binadamu na mara nyingi habari hizi zinaegemea upande wa serikali nani atakuwa mteja wake mkubwa. Ukitaka kujua kuwa usipo pata matangazo uwezi kuendesha vjombo cha habari, Chukulia Tanzania Daima la Mbowe lipo wapi
Tuna Nchi ya kipumbavu mno wapendwaJana vyombo vya habari vya kimataifa vilitangaza taarifa iliyotolewa na taasisi ya kimataifa ya human right watch juu ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaoendelea nchni. Nimepita magazeti karibu yote habari hiyo haikuandikwa popote. Paskali mara nyingi huwa unajitokeza kutetea wanahabari wenzio tunaposema hakuna professionalism na uhuru wa habari nchini. Tunaomba ujitokeze tena utufafanulie hili.
Wapendwa tunaouishi upumbavu!🤣🤣🤣🤣🤣🙏Tuna Nchi ya kipumbavu mno wapendwa
Na uhuni na uzayuni....Wapendwa tunaouishi upumbavu!🤣🤣🤣🤣🤣🙏
Sahihi kabisa mdau mkubwa wa biashara za habari ni serikali inabajeti kabiasa.Kwahiyo njaa ndiyo inafanya habari ngumu wasiziandike.
Desperate situation. Vululuvululu hadi vumbi kwenye kope.Na uhuni na uzayuni....
Post za Diamond na Pdidy watajibu.Watu hawajali. Nilipost jana kwenye kundi la wanazuoni nikauliza je, watu wanajali habari hizi siku hizi?
Hata wao hawakujali, maana hawakujibu.
Tuna safari ndefu ya kwenda.Sahihi kabisa mdau mkubwa wa biashara za habari ni serikali inabajeti kabiasa.
Mdau mkubwa wa biashara za habari mwenye bajeti kubwa ya habari ambaye umiliki na uendeshaji wa sectors muhimu za uzalishaji mali zimemshinda hadi akaamua kuziuza au kukodisha kwa wenye akili timamu?Sahihi kabisa mdau mkubwa wa biashara za habari ni serikali inabajeti kabiasa.
Chawa wa uchafuniSisi ni nchi huru siyo km nyumbu.
Maana yake haviko huruSasa hapo paskali hapo anahusika vipi mkuu ikiwa ripoti haikutolewa na vyombo vyovyote basi ujue ndio hivyo wenye mchi wameamua hivyo..