Ripoti juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini: hakuna gazeti hata moja lililoandika habari hiyo!

Wanabar Makada? ndio maana kwa sasa hivi Idhaa za Kiswahili za Kinataifa kama BBC, VOA, DWD na wengineo wanaendelea kuchukua Wakenya pekee.
Sahihi.Wanahabari wa Tanzania wana maono na mipango hafifu sana kwa sababu ya ukada,kisingizio cha uzalendo feki,uoga na kuogopa vitisho,kupenda bahasha,weledi hafifu,kutofuata maadili.ndoto za kupata utajiri na ujinga sugu.Wanalemaza tasnia yao (crippling the industry)kwa mikono na uwezo mdogo wa akili zao.Nini kimewashinda hadi washindwe kukopi na kupeisti taarifa walizoandaliwa na wenye uwezo na akili chanya?
 
Kwahiyo njaa ndiyo inafanya habari ngumu wasiziandike.
 
Tuna Nchi ya kipumbavu mno wapendwa
 
Sahihi kabisa mdau mkubwa wa biashara za habari ni serikali inabajeti kabiasa.
Mdau mkubwa wa biashara za habari mwenye bajeti kubwa ya habari ambaye umiliki na uendeshaji wa sectors muhimu za uzalishaji mali zimemshinda hadi akaamua kuziuza au kukodisha kwa wenye akili timamu?
 
Sasa hapo paskali hapo anahusika vipi mkuu ikiwa ripoti haikutolewa na vyombo vyovyote basi ujue ndio hivyo wenye mchi wameamua hivyo..
Maana yake haviko huru
 
Unataka watoe habari inayoelezea ukiukwaji wa haki za binadamu wakati mama mwenye nyumba ameshajitanabaisha kwa wanainchi wake kwamba serikali yake ni serikali inayojali watu na Haina uonevu Wala ukandamizaji wa aina yeyote...

Unataka Wana habari wamchonganishe mama na wanae?? Wewe vipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…