mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,773
- 2,183
Zitto na Mnyika tuelezeni kurasa gani zina details za upigaji!Wacha nisubirie summary, maana kusoma hayo mavitabu itanifanya nijiisi nipo first year nasomea UE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zitto na Mnyika tuelezeni kurasa gani zina details za upigaji!Wacha nisubirie summary, maana kusoma hayo mavitabu itanifanya nijiisi nipo first year nasomea UE
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena kwa saini kuuuubwa, Musa Assad,dakeki
Kila mtu na utawala wake bhana[emoji23][emoji23][emoji23] mwache atambeProfesa mchokozi sana! Kwenye hiyo barua ya uwasilishaji wa ripoti naona "akimkumbusha" Mkuu wa Nchi kwamba "Ripoti hii ya jumla itawasilishwa katika kikao cha Bunge cha mwezi Aprili 2019". Akijua mwenye kuiwasilisha Bungeni ni Rais mwenyewe sijui kwanini katumia neno "itawasilishwa" badala ya "unaombwa kuwasilisha"?
Itawasilishwa imekaa kama order zaidi japo ya kistaarabu flani hivi. Yaani alimaanisha "jogoo awike asiwike" ripoti lazima iende Bungeni ama kwa Rais mwenyewe kuipeleka au "kwa namna nyingine" maana ndivyo isemavyo KATIBA ya Jamhuri ya Watu wa Tanzania! Raha sana! Halafu Ndugai na Bunge lake wanataka kuleta utani!
Ndugai sijui ataendelea kucheza ngoma za Kisukima mpaka lini ........ mpaka namuonea huruma!!Udhaifu wa Bunge umekuwa maradufu,heri ya jana
.....
....... Duh! Hatari sana!
Mnaanza kujirudi taratibu eenh!Siikumbuki ndoto vzr lkn ukiona hamna tukio basi ujue ripoti haina madhara kwa wale jamaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
... sio hivyo Mkuu. Profesa Assad anajitambua; anajua mamlaka aliyo nayo tofauti na watendaji wengi ambao kazi kujipendekeza, kujikomba, kusifia, n.k. badala ya kuweka professionalism mbele.Kila mtu na utawala wake bhana[emoji23][emoji23][emoji23] mwache atambe
Sent using Jamii Forums mobile app
....Najitahidi kuanzisha threads zenye kuleta sehemu muhimu za kuangalia ambapo CAG amebaini upigaji mkubwa.
... itasaidia sana Mkuu; utakuwa umetimiza wajibu muhimu wa kuwa "raia mwema" kwa nchi yako.Najitahidi kuanzisha threads zenye kuleta sehemu muhimu za kuangalia ambapo CAG amebaini upigaji mkubwa.
... sio hivyo Mkuu. Profesa Assad anajitambua; anajua mamlaka aliyo nayo tofauti na watendaji wengi ambao kazi kujipendekeza, kujikomba, kusifia, n.k. badala ya kuweka professionalism mbele.
Zitto na Mnyika tuelezeni kurasa gani zina details za upigaji!
Subiri mikeka inakuja mingi tuuuu, huyu ndie..... Wa wanyongeni.Zitto na Mnyika tuelezeni kurasa gani zina details za upigaji!