Ripoti Kamili ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018

Ripoti Kamili ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018

Wale wenye kusubiri MATUKIO ili waseme basi tukio ni hilo hapo. Someni hiyo ripoti, tafute na zusheni ubovu na kisha muusemee kwa nia na lengo la kuichafua serikali hii. Nasema hivyo kwani siku hizi HAWANA HOJA tena bali wanagoja MATUKIO ili wapate cha kusema kwani vile vihoja vyao walivyoviona in the 3rd and 4th phase governments vimevyekeelwa mbali na kutekelezwa na hili LI AWAMU LA TANO! Hongera sana Rais Magufuli kwa kazi nzuri ya kuongoza na kuisimamia serikali hii ya Awamu ya Tano. Keep it up.
We mpuuzi nin?Unataka watu wasijadili report ya ukaguzi wa hesabu za serikali?
 
Kuridhisha = satisfactory

Shaka = Doubtful...

Hawa wote wako level moja..

Ila kwa vile tu ukiwa ccm unakuwa kima..wanajiona wako safi.

CHADEMA wakiklia doubt wanaweza wazidi Nyie ambao mmeambiwa mnaridhish.

ZERO BRAINS
 
"Viongozi wa Kisiasa"; hawa ndio akina nani ambao CAG anabainisha kwamba hawana sheria inayo-guide terminal benefits (mafao) zao ilhali walalahoi tunatungiwa kila aina ya sheria, kanuni, vikokotoo, n.k. tena kwa jasho letu halali?
Dhaifu Ndugai na genge lake lote, pale makao makuu na wale wa ccm., unavyoona hata polepole kanenepa unafiri kuna ukamilifu ndani yake ni udhaifu tu mkuu.
 
Riport inasemaje kuhusu ACT WAZALENDO imeunga mkono hoja za mlamba viatu yule msajili wa vyama au imemuumbua?
 
Kuridhisha = satisfactory

Shaka = Doubtful...

Hawa wote wako level moja..

Ila kwa vile tu ukiwa ccm unakuwa kima..wanajiona wako safi.

CHADEMA wakiklia doubt wanaweza wazidi Nyie ambao mmeambiwa mnaridhish.

ZERO BRAINS
Tunahitaji chama mbadala wa CCM ambacho kinafuata sheria za mapato na matumizi lakini ukiangalia hapa unakuta vyama karibu vyote ni walewale wapigaji
 
CHADEMA Kwani mnakwama wapi?

View attachment 1067463
Hii inatia matumaini na ni ushindi kwa katiba kwani kuna wapuuzi wachache walitaka kuwaaminisha umma CAG hana umuhimu nchini.

Wito sasa, wale wote wanaowatendea watanzania uchafu wapewe majukwaa wajieleze kwa nini wanatuingiza katika hasara sisi wananchi.

Na maelezo yao yasipoturidhisha tuwahukumu sawasawa na makosa yao.
Hii ni pamoja na kuwanyang'anya majukumu tuliyowapa kwa kutowapigia kula waende wakaendekeze wizi majumbani mwao.

Nguvu hii ya kutowachagua tunayoa ila huenda hatujaamua tu. Ni vyema sasa tukaamua na kuwaeleza ujinga wanaotufanyia umetosha ili wale wanaotupigania tuwape nafasi bila kuangalia vyama vyao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Man of the match
fb5557929d84b789c477115921988103.jpeg


Sent using My bundle
 
Kwa wenye taaluma zao naomba watufafanulie report hii ya CAG,kuna hatua katika kupambana na wizi wa Mali ya umma au la tuko nyuma sana,ningependa mihemuko ya vyama na chuki binafsi tuiweke kando,lengo ni kuitumia report hii kujisahihisha na kulijenga taifa letu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom