Ripoti Kamili ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018

Kila mtu na utawala wake bhana[emoji23][emoji23][emoji23] mwache atambe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi waliosomaga CBN,ngoja tusubiri wachambuzi waweke kila kitu sawa kwanza


'You can do anything but not everything'
 
Najitahidi kuanzisha threads zenye kuleta sehemu muhimu za kuangalia ambapo CAG amebaini upigaji mkubwa.
... itasaidia sana Mkuu; utakuwa umetimiza wajibu muhimu wa kuwa "raia mwema" kwa nchi yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…