Ripoti Kamili ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018

Mwenyezi Mungu akupe uwezo mkubwa zaidi wa kusimamia maslahi ya wanyonge mtukufu CAG.
Mioyo ya wananchi ilikuwa inakufa lakini sasa imepata mwanga mpya kutoka kwako.
Mungu mbariki bwana huyu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taifa hili lishukuru kuwa na kiongozi muadilifu CAG Assad, anayefanya kazi kwa haki, na kuwafahamisha bila kuficha walipa kodi matokeo ya tathmini za ukaguzi wao.
 
wewe huna akili za kuelewa ripoti ya CAG Mkuu uwezo wako wewe ni uzushi , majungu na umbea
 
Mm ni mtumishi katika wilaya fulan hapa TZ. Naomba kuuliza wanajukwaa hivi CAG anakagua na idara na taasisi zilizopo chini ya halmashauri zetu mfano shule za serikali msingi na sekondari na vituo vya afya, zahanati au hospitali kwani kuna manunuzi katika hizo taasisi nimeshudia ukiukwaji mkubwa wa sheria ya manunuzi unavyofanywa ni balaa. Je CAG huwa anakagua na hizi taasisi au ni lini ataanza kukagua?
 
Assad badala ya kuwa mwanataaluma wa kutoa facts za mahesabu ya serikali, yeye amekuwa mwanasiasa wa kukosoa bunge. Assad siyo CAG wa kwanza Tanzania, wamekuwapo wengi sana waliomtangulia lakini yeye naona kawa wa kwanza kufanya kazi ya CAG kuwa ni political. Angetoa facts halafu awaachie wanasiasa washindane kuliko yeye mwenyewe ndiye kuwa kinara wa malumbano. Wakati mwingine anasababisha hata hesabu zake zitiliwe mashaka kwa vile anakuwa kama ana agenda binafsi !!.
 
Huyu profesa ni moja ya watu wachache waliobaki wnaotumia elimu yao vizuri, wengine wote ni kama hawakusoma wamegeuka kua cult. Jamaa anawapa makavu iwe bunge, rais, ccm, chadema ukibugi anakwambia ukweli bila kuficha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…