Kweli. Ss hao wengine wakoje ikiwa ninaowajua ni # 9! Mauongo mengine yanatia kinyaa ...dah!Basi Africa imeoza
Ungesema weledi wa mikono ya chuma angalau angalau ningemielewa ukiangalia hapo yupo mali,Burkinabee,Niger,tiiiiziii hao wote hawacheki na nyau,Wow,kuku wala bata.Kwakuwa kwetu tuliyaona awamu ileeee pamoja na misimu yote ya chafuzi,huwo weledi umeshuka kutoka mbinguni leo,teka kamata poteza mara hii tumesahauuu,tumesahaulishwaaaa amaaaπJeshi la Polisi Tanzania latajwa miongoni mwa Majeshi Bora yanayotumia Uweledi kwenye utendaji wake.
Tanzanian Police imeshika namba 9 kwenye 10 Bora huku Majirani zetu hakuna hata mmja anaetufikia.
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1767202964836352353?t=ihB0XlMJQnrIOOJVjxH8Dg&s=19
My Take
Hongera Jeshi la Polisi Tanzania ndio maana hata Machadema wanapoandamana walitegemea muwape kiki kwa.kuwapiga mabomu lakini wameachwa wamepoteana ππ
Ndiyo Wanayoweza Hayo Sasa Hivi Wote Wapo Barabarani3D number plates
Labda walichukua sample wakiwa mazoezini huko, lakini ukweli polisi wetu ni rubbishJeshi la Polisi Tanzania latajwa miongoni mwa Majeshi Bora yanayotumia Uweledi kwenye utendaji wake.
Tanzanian Police imeshika namba 9 kwenye 10 Bora huku Majirani zetu hakuna hata mmja anaetufikia.
Kwa ninikwa
Ziara ya Mwenyezi wetu yenyewe imewaanika kuhusika kwenye utekaji wa raia! Rushwa kwa polisi usalama barabarani ni kama uji na mgonjwa. Kuna malalamiko mengi tu ya polisi kubambikia watu kesi bado mtu ukipelekwa polisi huko kituoni ni majanga matupu!Kwa nini?
Mambo madogo hayo mbonaZiara ya Mwenyezi wetu yenyewe imewaanika kuhusika kwenye utekaji wa raia! Rushwa kwa polisi usalama barabarani ni kama uji na mgonjwa. Kuna malalamiko mengi tu ya polisi kubambikia watu kesi bado mtu ukipelekwa polisi huko kituoni ni majanga matupu!
Rubbish kulinganisha na polisi wa wapi?Labda walichukua sample wakiwa mazoezini huko, lakini ukweli polisi wetu ni rubbish
Mchungaji apigwa na wananchi wa Kigoma kwa kuzuia waganga wa kienyeji "Kamchape" wasiingie eneo la kanisa kutafuta uchawi
Mchungaji avamiwa na wananchi na kupigwa vikali baada ya kugoma kukubali watu wenye imani potofu kuingia kwenye viwanja vya kanisa kutoa uchawi. waganga hao wa kienyeji wanakusanya 5,000/ kwa kila nyumba, kama malipo ya kuwatoa wachawi wote. Mchungaji aligoma kuwapa hela na aligoma kuwaruhusu...www.jamiiforums.com
Umefanywa na UVCCMUtafiti wa CHAWA, au?
Anashushia kitu roho inapendachap chap afande Shirima wa Kibosho akijipongeza baada ya kusikia hizi taarifa akiwa na yeye ni mmoja wapo.π
View attachment 2932867
Nilisikia pia jwtz ni la sita kwa ubora duniani π€£Jeshi la Polisi Tanzania latajwa miongoni mwa Majeshi Bora yanayotumia Uweledi kwenye utendaji wake.
Tanzanian Police imeshika namba 9 kwenye 10 Bora huku Majirani zetu hakuna hata mmja anaetufikia.
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1767202964836352353?t=ihB0XlMJQnrIOOJVjxH8Dg&s=19
My Take
Hongera Jeshi la Polisi Tanzania ndio maana hata Machadema wanapoandamana walitegemea muwape kiki kwa.kuwapiga mabomu lakini wameachwa wamepoteana ππ
Hapa aisee! Hiyo ni doa tosha,inatosha kuwaondolea huo welediMambo madogo hayo mbona
Polisi ya wapi Haina madoa? US yenyewe Ina madoa ya kuua weusiHapa aisee! Hiyo ni doa tosha,inatosha kuwaondolea huo weledi
Je tunaweza kuitumia hii takwimu kwenye kampeni za uchaguzi zinazokuja?Jeshi la Polisi Tanzania latajwa miongoni mwa Majeshi Bora yanayotumia Uweledi kwenye utendaji wake.
Tanzanian Police imeshika namba 9 kwenye 10 Bora huku Majirani zetu hakuna hata mmja anaetufikia.
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1767202964836352353?t=ihB0XlMJQnrIOOJVjxH8Dg&s=19
My Take
Hongera Jeshi la Polisi Tanzania ndio maana hata Machadema wanapoandamana walitegemea muwape kiki kwa.kuwapiga mabomu lakini wameachwa wamepoteana ππ
Huu ni uchawa...Jeshi la Polisi Tanzania latajwa miongoni mwa Majeshi Bora yanayotumia Uweledi kwenye utendaji wake.
Tanzanian Police imeshika namba 9 kwenye 10 Bora huku Majirani zetu hakuna hata mmja anaetufikia.
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1767202964836352353?t=ihB0XlMJQnrIOOJVjxH8Dg&s=19
My Take
Hongera Jeshi la Polisi Tanzania ndio maana hata Machadema wanapoandamana walitegemea muwape kiki kwa.kuwapiga mabomu lakini wameachwa wamepoteana ππ