Ripoti ya CAG 2021-2022: TRC ilimkataa mzabuni wa Tsh bilion 616.4 na kumpa mzabuni wa tsh trilion 1.119 bila sababu za msingi

Ripoti ya CAG 2021-2022: TRC ilimkataa mzabuni wa Tsh bilion 616.4 na kumpa mzabuni wa tsh trilion 1.119 bila sababu za msingi

Alisema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake , na yeye asituchanganye bhana
 
Hata ya Sasa Haina hicho kipengele shida ni kwamba utekelezaji wa Katiba hasa kuchukua maamuzi inategemea utashi wa Rais
Maamuzi yanakuwa mazito sababu uliyempa madaraka ni mpwa wako, mtoto wa jamaa yako. Shemeji yako!

Ila kama ni nobodys child kafanya blunder kumfyeka ni chap chap tu.
 
Hii taarifa kubwa kabisa na ya kusikitisha iliyotolewa na CAG leo tarehe 29.03.2023 mbele ya Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania DR.Samia suluhu hassani kwamba ununuzi wa mabehewa kuna ubadhilifu mkubwa ulifanyika ambapo zaidi ya mabilion ya fedha yamekwapuliwa.

Mimi kwa maoni yangu ni vizuri raisi pamoja kwamba amesema wampishe basi watu hao kunakila sababu ya kukamatwa na kuhojiwa kuhusiana na ubadhilifu huo , pesa zaumma haziwezi kuwa zinakwapuliwa halafu watu wapo na wanaona sawa kwa waliyoyafanya. hii haikubaliki hata kidogo[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2570240
Mzabuni wa billions hakuwa na vifaa vya kisasa, ndio maana tukampa mzabuni wa trion., ha ha haaa ukipata nafasi we piga tu hata kama hutazikwa nazo, wanaobaki ndio watakaoendelea kulamba asali.
 
Maamuzi yanakuwa mazito sababu uliyempa madaraka ni mpwa wako, mtoto wa jamaa yako. Shemeji yako!

Ila kama ni nobodys child kafanya blunder kumfyeka ni chap chap tu.
Kwa taarifa Yako ndio Tanzania ilivyo kuanzia kwenye siasa Hadi kwenye vitengo nyeti vya serikali..

Hii tabia ni ya kipuuzi sana,Ili hatua zichukukiwe lazima watu wakiamshe huko kitaa
 
Kwa taarifa Yako ndio Tanzania ilivyo kuanzia kwenye siasa Hadi kwenye vitengo nyeti vya serikali..

Hii tabia ni ya kipuuzi sana,Ili hatua zichukukiwe lazima watu wakiamshe huko kitaa
Kuna haja ya kuungana na wafaransa
 
Aisee kuna watu hawana hata aibu,yaani wanakwapua hela ndefu kiasi hicho?
Ujue Kwa nini inafanyika hivyo,huyo mwenye bei kubwa Huwa anatoa mlungula mrefu Kwa Timu ya wafanya zabuni kuanzia client Kwa CEO,PMU na evaluators..

Hii sio Mpya Serikalini wanafanya sana ila Hawa wamezidi upumbavu Wenzao Huwa wanahakikisha yule contractor wanaemtaka anakuwa lowest bidder..

Kuna taasisi Fulani iliwahi fanya haya ya kumchukua mkandarasi wa bei kubwa visingizio Huwa ni kwamba wanasema wa bei ndogo eti hana uwezo.
 

CAG: TRC ilimkataa mzabuni wa tsh bilion 616.4 na kumpa mzabuni wa tsh trilion 1.119 bila sababu za msingi​


Haya madudu haya alafu watu wamechukua chubuu maana wanajua hakuna watakachofanywa yataishia mdomoni tu alafu imetoka hio pesa wanazila, sitaki kutukana ila pumbavu stupid haiwezekani
Mchemba, Mbarawa, yule aliyepelekwa kuwa gavana wa BOT na kadogosi awakwepi
 
Mzabuni wa billions hakuwa na vifaa vya kisasa, ndio maana tukampa mzabuni wa trion., ha ha haaa ukipata nafasi we piga tu hata kama hutazikwa nazo, wanaobaki ndio watakaoendelea kulamba asali.
Niliwahi kusema ile siku yule msemaji wa TRC anaongelea story za kubadili contract toka kule alikolipa Magufuli kwa kusingizia alikuwa hana capacity ya ku deliver kwa wakati.

Wakampa kampuni ingine nilijua to from there lazma tuje kusikia upigaji wa maana. Yani sahizi sio kama zama za Jakaya watu walikuwa wanaiba sana 100M-1B!

Sahizi watu wanajichotea 50 Billions->>Trillions. Watu wanalamba asali sio mchezo. Imagine wamelamba 400B hapo wakigawana hata watu 20 kila mtu hakosi Billions za kutosha.

Tambua tu kuwa you need no more than 3 billions kuishi mpaka kufa very comfortably. Imagine umekula mgao wa 50 Billions sio mchezo.
 
Behind the scene wanasiasa, wabunge na wafanyabiashara wakubwa ambao wanamiliki malori ya mizigo na mabasi ya kubeba abiria, hawawezi kukubali TRC isimame na ukiangalia wao ndio wamejenga urafiki wa kinafiki na mama ili mambo yao yaende huku waki ihujumu TRC.

Hii nchi muda uendavyo ndivyo tunavyo mkumbuka Mwendazake zake.Ukitaka kuiongoza hii nchi hutakiwi kucheka na kima.
 
Mchemba, Mbarawa, yule aliyepelekwa kuwa gavana wa BOT na kadogosi awakwepi
Screenshot_20230329-195651.png
 
Back
Top Bottom