Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maamuzi yanakuwa mazito sababu uliyempa madaraka ni mpwa wako, mtoto wa jamaa yako. Shemeji yako!Hata ya Sasa Haina hicho kipengele shida ni kwamba utekelezaji wa Katiba hasa kuchukua maamuzi inategemea utashi wa Rais
Nyie chawa wake si mumwambieHata ya Sasa Haina hicho kipengele shida ni kwamba utekelezaji wa Katiba hasa kuchukua maamuzi inategemea utashi wa Rais
Kwani hujaskia kwamba mchakato wa Katiba Mpya umeanza?Nyie chawa wake si mumwambie
Mzabuni wa billions hakuwa na vifaa vya kisasa, ndio maana tukampa mzabuni wa trion., ha ha haaa ukipata nafasi we piga tu hata kama hutazikwa nazo, wanaobaki ndio watakaoendelea kulamba asali.Hii taarifa kubwa kabisa na ya kusikitisha iliyotolewa na CAG leo tarehe 29.03.2023 mbele ya Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania DR.Samia suluhu hassani kwamba ununuzi wa mabehewa kuna ubadhilifu mkubwa ulifanyika ambapo zaidi ya mabilion ya fedha yamekwapuliwa.
Mimi kwa maoni yangu ni vizuri raisi pamoja kwamba amesema wampishe basi watu hao kunakila sababu ya kukamatwa na kuhojiwa kuhusiana na ubadhilifu huo , pesa zaumma haziwezi kuwa zinakwapuliwa halafu watu wapo na wanaona sawa kwa waliyoyafanya. hii haikubaliki hata kidogo[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 2570240
Kwa taarifa Yako ndio Tanzania ilivyo kuanzia kwenye siasa Hadi kwenye vitengo nyeti vya serikali..Maamuzi yanakuwa mazito sababu uliyempa madaraka ni mpwa wako, mtoto wa jamaa yako. Shemeji yako!
Ila kama ni nobodys child kafanya blunder kumfyeka ni chap chap tu.
Kuna haja ya kuungana na wafaransaKwa taarifa Yako ndio Tanzania ilivyo kuanzia kwenye siasa Hadi kwenye vitengo nyeti vya serikali..
Hii tabia ni ya kipuuzi sana,Ili hatua zichukukiwe lazima watu wakiamshe huko kitaa
Hata ukienda huko Kwa Machadema nako yamepeana hivyo hivyo Sasa hapa sio kutegemea Wanasiasa ni watu wenyewe kuliamsha ndio mabadiliko yatakuja.Kuna haja ya kuungana na wafaransa
Ujue Kwa nini inafanyika hivyo,huyo mwenye bei kubwa Huwa anatoa mlungula mrefu Kwa Timu ya wafanya zabuni kuanzia client Kwa CEO,PMU na evaluators..Aisee kuna watu hawana hata aibu,yaani wanakwapua hela ndefu kiasi hicho?
Mchemba, Mbarawa, yule aliyepelekwa kuwa gavana wa BOT na kadogosi awakwepiCAG: TRC ilimkataa mzabuni wa tsh bilion 616.4 na kumpa mzabuni wa tsh trilion 1.119 bila sababu za msingi
Haya madudu haya alafu watu wamechukua chubuu maana wanajua hakuna watakachofanywa yataishia mdomoni tu alafu imetoka hio pesa wanazila, sitaki kutukana ila pumbavu stupid haiwezekani
Niliwahi kusema ile siku yule msemaji wa TRC anaongelea story za kubadili contract toka kule alikolipa Magufuli kwa kusingizia alikuwa hana capacity ya ku deliver kwa wakati.Mzabuni wa billions hakuwa na vifaa vya kisasa, ndio maana tukampa mzabuni wa trion., ha ha haaa ukipata nafasi we piga tu hata kama hutazikwa nazo, wanaobaki ndio watakaoendelea kulamba asali.
Wakibainika Rais asiwachekee,Fukuza wote hao na TAKUKURU wafanye kazi Yao.Mchemba, Mbarawa, yule aliyepelekwa kuwa gavana wa BOT na kadogosi awakwepi
Mchemba, Mbarawa, yule aliyepelekwa kuwa gavana wa BOT na kadogosi awakwepi
Kadogosa mdogo sana kwenye hiliTunategemea baada ya ziara ya Kamala ,haya majizi kina Kadogosa yafukuzwe kazi mara Moja.
Mkuu waza ukipewa 3 billions unakula wewe na mke na wanao hadi mnakufa. Leo hii mtu anaiba 400Billions. Kweli???Aisee kuna watu hawana hata aibu,yaani wanakwapua hela ndefu kiasi hicho?
Bunge lijalo Hawa wakaliwe kooni Hadi waeleze Kwa nini wanafanya hivi ikibidi wafukuzwe..
Nilisahau na huyu mkerewe aliyekuwa NBC na Justin alikuwa TADB😂