Ripoti ya CAG 2021-2022: TRC ilimkataa mzabuni wa Tsh bilion 616.4 na kumpa mzabuni wa tsh trilion 1.119 bila sababu za msingi

Ripoti ya CAG 2021-2022: TRC ilimkataa mzabuni wa Tsh bilion 616.4 na kumpa mzabuni wa tsh trilion 1.119 bila sababu za msingi

Tungetegemea sasa kuona wanasiasa wanaitisha maandamano kesho kushinikiza wezi wa mali za umma wachukuliwe hatua kali ikiwemo wale waliotajwa kwenye report ya CAG.

Tulitegemea kesho watu waingie barabarani kushinikiza mawaziri wenye hizo wizara wote wajiuzuru nafasi zao na kuchunguzwa dhidi ya tuhumu za ubadhirifu.
Nasemaje Pumbavu haiwezekani..
 
Hata ukienda huko Kwa Machadema nako yamepeana hivyo hivyo Sasa hapa sio kutegemea Wanasiasa ni watu wenyewe kuliamsha ndio mabadiliko yatakuja.
Hao pia wezi wakitaka waunde serikali ya mseto wizara moja unachanganya watu Wana itikadi tofauti hata wageni ili wasiwe wanazoeana .
 
Kama mgeni akaingia leo hii bongoland halafu akasikia sifa kedekede kwenye vyombo vya habari kuhusu uongozi atajua tuko kwenye nchi ya ahadi, lakini akiingia field ndo atajua kumbe tuko kwenye dunia yetu ya mwisho tena ya wajingaaa na wapumbavuu.
 
Yote hii ni mikakati yao tu wasituzuge
Hela wanaiba wao halafu wanantuma CAG aongee tu
Wamewafanya mazuzu tu na majitu ya kuburuzwa kwa lolote wanalosema

Haiwezekani miaka yote ripoti chafu ila hakuna wa kufungwa
Sisi wote wapumbavu bali kuna mengi wanaficha hata kama wanakusanya kuendelea kushika dola

Hatuna shida ya report waendelee kuiba tu
 
Mshaambiwa urefu wa kamba ndiyo kigezo.
 
Back
Top Bottom