k2206
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 702
- 705
Tatizo lilianzia hapa[emoji1][emoji1][emoji1]"Najua mnakula . Lakini jipimie, jipimieni " by Samia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo lilianzia hapa[emoji1][emoji1][emoji1]"Najua mnakula . Lakini jipimie, jipimieni " by Samia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usikivu wa serikali na Samia mwenyewe ni upi? Hii ripoti siyo mpya, Samia anayo siku nyingi, je amekuwa akisubiri nini kuchukuwa hatua kwa wahusika? Hakuna cha kuwajibishana hapo, imepita hiyo, hakuna Cha serikali sikivu wala Samia imara.Chini ya serikali sikivu na imara ya Dr.SSH.ni imani ya waTanzania walio wengi kwamba,
hakuna muhuusika hata moja alie tajwa kwenye report ya CAG na kulalamikiwa na waheshimiwa wabunge atasalimika na mkono wa Sheria, wote watawajibika na kuwajibishwa kulingana na makosa yao...
Mkuu Petro E. Mselewa, kwanza asante kwa bandiko hili Ripoti ya CAG: Bunge limehitimisha mjadala leo, nini kitafuata? Waliohusika na ufisadi na ubadhirifu watafanywaje?Kwa siku kadhaa, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Spika Dkt. Tulia Ackson limejadili Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali(CAG).
Kimsingi, Wabunge wengi wameuona, wameusemea na kuukaripia ufisadi na ubadhirifu mkubwa ulioainishwa kwenye Ripoti ya CAG. Wabunge wamesikika hata wakishauri adhabu kali wapewe wahusika.
Bunge limehitimisha mjadala wa Ripoti husika. Nini kitafuata? Wahusika wa ufisadi na ubadhirifu huo mkubwa watafanywa nini na ni nani hasa mchukua hatua hizo?
Kiukweli, sisi walipa kodi wa nchi hii tungependa kuona hatua kali zinachukuliwa dhidi ya mafisadi na wabadhirifu waliotajwa au kuhusishwa na mambo hayo ndani ya Ripoti ya CAG.
Tunalipa kodi kwa maendeleo yetu. Kutumiwa isivyo kwa kodi na wale tuliowapa dhamana ya matumizi ya kimaendeleo ya kodi zetu kunaumiza sana. Tunatamani na kutaka hatua zichukuliwe. Wabunge wameona na kusema; wachukua hatua wafanye hivyo.
Yaan unavyoandika naona moyoni unavyoweweseka na unachokiandikaChini ya serikali sikivu na imara ya Dr.SSH.ni imani ya waTanzania walio wengi kwamba,
hakuna muhuusika hata moja alie tajwa kwenye report ya CAG na kulalamikiwa na waheshimiwa wabunge atasalimika na mkono wa Sheria, wote watawajibika na kuwajibishwa kulingana na makosa yao...
sure,Yaan unavyoandika naona moyoni unavyoweweseka na unachokiandika
Usikivu wa Dr.SSH unadhirika zaidi na uko wazi na bayana.Usikivu wa serikali na Samia mwenyewe ni upi? Hii ripoti siyo mpya, Samia anayo siku nyingi, je amekuwa akisubiri nini kuchukuwa hatua kwa wahusika? Hakuna cha kuwajibishana hapo, imepita hiyo, hakuna Cha serikali sikivu wala Samia imara.
Ngoja tuone,kama kuna usikivu upande wa Serikali,kwasababu sauti ya bunge ni sauti ya wananchi,kudharau maoni ya bunge ni kutudharau sisi wananchi
Subiria MV kivukoni JNIA mkuuKwa siku kadhaa, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Spika Dkt. Tulia Ackson limejadili Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali(CAG).
Kimsingi, Wabunge wengi wameuona, wameusemea na kuukaripia ufisadi na ubadhirifu mkubwa ulioainishwa kwenye Ripoti ya CAG. Wabunge wamesikika hata wakishauri adhabu kali wapewe wahusika.
Bunge limehitimisha mjadala wa Ripoti husika. Nini kitafuata? Wahusika wa ufisadi na ubadhirifu huo mkubwa watafanywa nini na ni nani hasa mchukua hatua hizo?
Kiukweli, sisi walipa kodi wa nchi hii tungependa kuona hatua kali zinachukuliwa dhidi ya mafisadi na wabadhirifu waliotajwa au kuhusishwa na mambo hayo ndani ya Ripoti ya CAG.
Tunalipa kodi kwa maendeleo yetu. Kutumiwa isivyo kwa kodi na wale tuliowapa dhamana ya matumizi ya kimaendeleo ya kodi zetu kunaumiza sana. Tunatamani na kutaka hatua zichukuliwe. Wabunge wameona na kusema; wachukua hatua wafanye hivyo.
Subutu ..imetaja mgongo wa CCM .Cha kwanza ilitakiwa Baraza la Mawaziri livunjwe na baadhi wakamatwe na kufikishwa mahakamani kwa uhujumu uchumi haswa hawa(Majaliwa, Makamba, Ummy, Bashe, Mwigulu, Nape, Angela, Aweso, Kijachu, Jafo, Mbarawa na Masauni).
P hivi nani hajui kwamba Bilioni 4 za Polisi anayeidhinisha ni IGP. Badala ya kumleta ajibu, anazawadiwa Ubalozi.Mkuu Petro E. Mselewa, kwanza asante kwa bandiko hili Ripoti ya CAG: Bunge limehitimisha mjadala leo, nini kitafuata? Waliohusika na ufisadi na ubadhirifu watafanywaje?
Very objective, mimi msimamo wangu kuhusu Bunge letu, kwenye hoja ya bunge kuisimamia serikali, bado haujabadilika ni ule ule wa bunge lililopita Wabunge Wetu wa Ajabu!, Wanaachaje Bunge Lijipendekeze Kwa Serikali!, Wanajua Wajibu Wao?. Check 'n' Balance Itoke Wapi?
Na hapa Je, Bunge letu ni Bunge Butu?. Angalia Bunge la Uingereza lenye meno linavyong'ata Serikali. Je, Kuna ubaya tukiiga?
Japo Rais Samia ametoa maelekezo makali kwa maofisa masuhuli, hii ni kesi ya nyani kumpelekea ngedere!.
Kilichopaswa kufanywa on the first place ni kila aliyetajwa kwenye ripoti ya CAG, alipaswa apishe kwanza, akiwa cleared ndipo arudishwe!.
P
Hatari snSubutu ..imetaja mgongo wa CCM .
Hata hao ccm wenyewe hawana imani naesure,
naweweseka sana kwasababu hakuna yeyote alietajwa kwenye repoti ya CAG hata moja, ambae yuko salama.
Lazima hatua stahiki za kisheria zichukuliwe.
wanachi wanashauku na wana imani na serikali sikivu chini ya Rais Dr.SSH...
Imani ni kwa Mwenyezi Mungu pekee....Hata hao ccm wenyewe hawana imani nae
We jitoe ufahamu ila ndo ushanielewaImani ni kwa Mwenyezi Mungu pekee....
sasa endelea kuamini wanadamu upate makwazo na maradhi ya Moyo.We jitoe ufahamu ila ndo ushanielewa
Igizo ndiyo limeishia hapo subiri episode nyingineKwa siku kadhaa, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Spika Dkt. Tulia Ackson limejadili Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali(CAG).
Kimsingi, Wabunge wengi wameuona, wameusemea na kuukaripia ufisadi na ubadhirifu mkubwa ulioainishwa kwenye Ripoti ya CAG. Wabunge wamesikika hata wakishauri adhabu kali wapewe wahusika.
Bunge limehitimisha mjadala wa Ripoti husika. Nini kitafuata? Wahusika wa ufisadi na ubadhirifu huo mkubwa watafanywa nini na ni nani hasa mchukua hatua hizo?
Kiukweli, sisi walipa kodi wa nchi hii tungependa kuona hatua kali zinachukuliwa dhidi ya mafisadi na wabadhirifu waliotajwa au kuhusishwa na mambo hayo ndani ya Ripoti ya CAG.
Tunalipa kodi kwa maendeleo yetu. Kutumiwa isivyo kwa kodi na wale tuliowapa dhamana ya matumizi ya kimaendeleo ya kodi zetu kunaumiza sana. Tunatamani na kutaka hatua zichukuliwe. Wabunge wameona na kusema; wachukua hatua wafanye hivyo.
Duh 🙄 !Ccm yyete ni mwizi hata wale watoto chipukizi nao ni wezi tu