RIPOTI YA CAG: CHADEMA ilitumia Tsh Milioni 377 bila idhini ya Baraza la Chama

RIPOTI YA CAG: CHADEMA ilitumia Tsh Milioni 377 bila idhini ya Baraza la Chama

Chadema kutumia mil 377 bila idhini ya baraza la chama ina uhusiano gani na kifo cha JPM?
Sasa Idugunde . Ripoti imeongelea vyama vyote. Angalau Cdm wanayo hayo mapungufu madogo ya kutoishirikisha Baraza kuu. Ccm wa wana matumizi mabaya. Cuf mali za chama zinasomeka majina ya watu .
Kwa hiyo mapungufu yapo kwa vyama vyote na ya Ccm ni mbaya zaidi .

Kikubwa vyama hivi vinapata mwanya wa kufanya vibaya kisiasa, kijamii, kimatumizi nk. kwa sababu katiba mama ya nchi ina matobo . Tatizo hapo la Cdm ni dogo ukilinganisha na wenzao Ccm .

Odhis *
 
Sasa Idugunde . Ripoti imeongelea vyama vyote. Angalau Cdm wanayo hayo mapungufu madogo ya kutoishirikisha Baraza kuu. Ccm wa wana matumizi mabaya. Cuf mali za chama zinasomeka majina ya watu .
Kwa hiyo mapungufu yapo kwa vyama vyote na ya Ccm ni mbaya zaidi .

Kikubwa vyama hivi vinapata mwanya wa kufanya vibaya kisiasa, kijamii, kimatumizi nk. kwa sababu katiba mama ya nchi ina matobo . Tatizo hapo la Cdm ni dogo ukilinganisha na wenzao Ccm .

Odhis *
Ingekuwa vyema madhaifu ya Ccm ungeyaweka hapa kama Cdm walivyotumia mil 377 kujaza matumbo ya Mbowe na vijana wake. Hivyo habari za Ccm mpaka sasa ni kusadikika tu.
 
Hizo 100 million kutumika bila idhini ni sahihi, walivyonyanyasika lazima wawe na mbinu mbadala
 
Linapofikia suala la ubadhirifu hatuangaliu chama! Hatua zichukuliwe!

Ila kwa wizi uliokubuhu CCM mmetumia advantage ya ujinga wa watanzania wengi kukwapua mali za umma
 
Magari matano na nyumba mmoja Serengeti. Chadema wanunue nyumba Serengeti badala ya kununua Dar ili muachane na upangaji?
Mlioko serengeti tupigieni picha ya hiyo nyumba

Wans Chadema Serengeti mnaijua hiyo nyumba?
 
Mbona ya ccm imetoka afu siioni humu mleta mada tuletee na hiyo
 
Sababu sipo hapa kwa ajiri ya kuulizwa tu maswali ndio maana nahitaji kujua sababu ya kuulizwa swali.
Na Mimi sipo hapa kwa akili ya kujibu maswali tu Bali kuuliza. Nataka sababu kwanini hutaki kujibu maswali?
 
Na Mimi sipo hapa kwa akili ya kujibu maswali tu Bali kuuliza. Nataka sababu kwanini hutaki kujibu maswali?
Wapi niliposema sitaki kujibu maswali? mimi nimekuuliza sababu ya kuniuliza lile swali uliloniuliza,unapoouliza huwa kuna sababu na mimi ndio nataka kuijua kwanza.
 
Back
Top Bottom