Endelea kumpigania marehemu, labda atakupa kacheo fulani huko aliko. Kilangila.Ripoti ya CAG ni sawa na repoti ya matokeo ya final exams
Sio wote wanapata A, B, C wapo pia wa D, E....... na yote hayo ni matokeo
Tusubiri hati safi na chafu tujue wale walioPass na walioDisco
Ww jamaa mbona unapita mule muleLabda zipo kwa wachache kwenye masandarusi na mandoo huko majumbani... Au zipo benki za nje
Marehemu anaona jitihada zako za kumpigania. Utapata uteuzi kwenye himaya yake mpya. Kilangila.Hakuna fedha iliyoibwa labda kama hujui kusoma vizuri
Shujaa wa wizi, mauaji, utekaji, ukabila na uonezi. Kilangila.Jpm atabaki kuwa shujaa
Supika anajiumauma na kujichekesha eti Bwagamoyo bandari anaogopa jina litatoka kuuliza matibabu ya IndiaSiku ya leo sijui tuuiteje huko; Mbaya? Au nzuri sana?
Ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali inayoendelea kusomwa muda huu si kwamba tu inawaweka CCM na watetezi wa mwendazake kwenye wakati mgumu sana, lakini tayari imechefua wananchi wengi kwa kiwango kisichomithilika.
Madudu ya SHUJAA WA AFRIKA yanatisha na kutia kinyaa.
Madudu ya MTETEZI WA WANYONGE Yanatia hasira sana.
Chukulia hili moja BILIONI 3.9 kwenye matengenezo ya ndege moja ambayo HAIKUFAA![emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Upinzani uliwahi kusema upigaji wa awamu hii utavunja rekodi, watu wakabeza sana. Lakini wakati ni hakimu mzuri. Uongo hupanda lift lakini ukweli hukwea ngazi. Mahakama ya mafisadi inaweza kuanzia pale kwenye nyumba ya milele ya mwendaAzakwe marehemu hayati.
Huu uozo uliendelea kuwekwa wazi peupe hivi tusishangae kuona siku moja marehemu akalikimbia kaburi lake. N itokee kuna kitu kinaitwa maandamano kifanyike[emoji848][emoji848][emoji848] Bila udhibiti imara si ajabu kuwakuta waandamanaji wakilicharaza bakora kaburi la shujaa wa Afrika na kuipopoa mawe picha yake.
Baada ya kusomwa hii ripoti, masikio yote yako kwa Bimkubwa. Je, atasemaje? Watu wamefura kwa hasira. I hope hatawazingua
Mahabusu ziandaliwe za kutosha sasa. Ni zamu ya kubadilisha wapangaji. Karibia kila wizara ina vimeo vya kutisha.
FACT CHECKSiku ya leo sijui tuuiteje huko; Mbaya? Au nzuri sana?
Ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali inayoendelea kusomwa muda huu si kwamba tu inawaweka CCM na watetezi wa mwendazake kwenye wakati mgumu sana, lakini tayari imechefua wananchi wengi kwa kiwango kisichomithilika.
Madudu ya SHUJAA WA AFRIKA yanatisha na kutia kinyaa.
Madudu ya MTETEZI WA WANYONGE Yanatia hasira sana.
Chukulia hili moja BILIONI 3.9 kwenye matengenezo ya ndege moja ambayo HAIKUFAA![emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Upinzani uliwahi kusema upigaji wa awamu hii utavunja rekodi, watu wakabeza sana. Lakini wakati ni hakimu mzuri. Uongo hupanda lift lakini ukweli hukwea ngazi. Mahakama ya mafisadi inaweza kuanzia pale kwenye nyumba ya milele ya mwendaAzakwe marehemu hayati.
Huu uozo uliendelea kuwekwa wazi peupe hivi tusishangae kuona siku moja marehemu akalikimbia kaburi lake. N itokee kuna kitu kinaitwa maandamano kifanyike[emoji848][emoji848][emoji848] Bila udhibiti imara si ajabu kuwakuta waandamanaji wakilicharaza bakora kaburi la shujaa wa Afrika na kuipopoa mawe picha yake.
Baada ya kusomwa hii ripoti, masikio yote yako kwa Bimkubwa. Je, atasemaje? Watu wamefura kwa hasira. I hope hatawazingua
Mahabusu ziandaliwe za kutosha sasa. Ni zamu ya kubadilisha wapangaji. Karibia kila wizara ina vimeo vya kutisha.
FACT CHECK
Billion 3.9 ni USD ngapi? Kwa leo hii hizo ni USD 1.7 million; je kutengeneza ndege kwa bei hiyo ni gharama kubwa? Mleta hoja hajui maaana ya ndege, anafikiri ndege ni gari lake lile la mtumba wa japani.
Hata kama alitumia hizo pesa kutengenezea ndege, sawa kabisa, kuna receipts, je aliweka mfukoni kwake? Hapana, alitengeneza ndege, sasa hizo allgations zinatoka wapi??
Wapinzani mkibadirishiwa "narrative" mnarukia; Kikwete aliiba EPA na ESCROW akaweka mfukoni. Huyu katengeneza ndege. Wapi na wapi? Kikwete na Samia wanawatengenezea "Narrative" mnarukia. And they know you are stupid.
Let us talk about JPM human rights, not this Shit;
Billion 3 zililipwa kwa Madai ya kutengeneza ndege ambayo tangu 2015 ipo grounded hadi Leo... hela ililipwa 2018 lakini hadi Leo haijatengemaa kwamaana ipo chini umeelewa?
Zililipwa? Au "Zililipwa kwa madai ya?" na ndege haikutengenezwa. Kwa hiyo JPM ali 'divert" hizo pesa kwingine - mfukoni? Ilikuwa 2018 na ndege ilikuwa grounded tangu 2015; wakati JPM hajawa Rais. Kwa nini report itoke leo? Wakati ule alikuwa Assad ndiyo CAGBillion 3 zililipwa kwa Madai ya kutengeneza ndege ambayo tangu 2015 ipo grounded hadi Leo... hela ililipwa 2018 lakini hadi Leo haijatengemaa kwamaana ipo chini umeelewa?
Ni kwamba zimeliwa!!Zililipwa? Au "Zililipwa kwa madai ya?" na ndege haikutengenezwa. Kwa hiyo JPM ali 'divert" hizo pesa kwingine - mfukoni? Ilikuwa 2018 na ndege ilikuwa grounded tangu 2015; wakati JPM hajawa Rais. Kwa nini report itoke leo? Wakati ule alikuwa Assad ndiyo CAG
Alijaribu Assad akafukuzwa mkaendeleza mapambioNipambanie nini?
Kuna mwaka ambao CAG hajawahi kuleta haya mambo?
Shujaa wa chato sasa mambo yanamwendea kombo najua hajaenda mbali ya ghamboshi anayaona yote haya ila sasa hawezi kufanya lolote.Siku ya leo sijui tuuiteje huko; Mbaya? Au nzuri sana?
Ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali inayoendelea kusomwa muda huu si kwamba tu inawaweka CCM na watetezi wa mwendazake kwenye wakati mgumu sana, lakini tayari imechefua wananchi wengi kwa kiwango kisichomithilika.
Madudu ya SHUJAA WA AFRIKA yanatisha na kutia kinyaa.
Madudu ya MTETEZI WA WANYONGE Yanatia hasira sana.
Chukulia hili moja BILIONI 3.9 kwenye matengenezo ya ndege moja ambayo HAIKUFAA![emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Upinzani uliwahi kusema upigaji wa awamu hii utavunja rekodi, watu wakabeza sana. Lakini wakati ni hakimu mzuri. Uongo hupanda lift lakini ukweli hukwea ngazi. Mahakama ya mafisadi inaweza kuanzia pale kwenye nyumba ya milele ya mwendaAzakwe marehemu hayati.
Huu uozo uliendelea kuwekwa wazi peupe hivi tusishangae kuona siku moja marehemu akalikimbia kaburi lake. N itokee kuna kitu kinaitwa maandamano kifanyike[emoji848][emoji848][emoji848] Bila udhibiti imara si ajabu kuwakuta waandamanaji wakilicharaza bakora kaburi la shujaa wa Afrika na kuipopoa mawe picha yake.
Baada ya kusomwa hii ripoti, masikio yote yako kwa Bimkubwa. Je, atasemaje? Watu wamefura kwa hasira. I hope hatawazingua
Mahabusu ziandaliwe za kutosha sasa. Ni zamu ya kubadilisha wapangaji. Karibia kila wizara ina vimeo vya kutisha.
Hata mimi nimeshangaa kweli yaaniUnashangaza sana, matokeo ya mitihani na wizi wa mali ya umma ni vitu viwili tofauti, ccm mnajitoa ufahamu hata kwenye mambo ya msingi yanayohusu maslahi ya Taifa