Ripoti ya CAG Ina mapungufu makubwa ya kimantiki; "non-compliance" imetumika kama ubadhirifu kufurahisha umma

Ripoti ya CAG Ina mapungufu makubwa ya kimantiki; "non-compliance" imetumika kama ubadhirifu kufurahisha umma

Umenyosha mikopo kiutu uzima,sio?! siku nikiongoza timu ndani ya serikali watu kama wewe lazima niwazingue tu. Najiuliza serikali imewezaje kuwa na watu hovyo kama wewe, badala ya kupeleka gari temesa au fundi aliyesajiliwa unapeleka kwa dereva. Dereva amesomea kutengeneza magari au kuendesha? Gari lako mpe dereva atengeneze,la serikali peleka kwa wahusika. Umenisikia broo
Pumbavu! Wataendelea kufanya hivyo na hakuna atakayefukuzwa kazi wala kufunguliwa mashtaka!
 
Pumbavu! Wataendelea kufanya hivyo na hakuna atakayefukuzwa kazi wala kufunguliwa mashtaka!
Hizi shudu zako ukamwambie CAG/PAC/LAAC kwenye vikao kama wewe chuma kweli, sio unakuja kuruka ruka hapa unajiona chuma kumbe chuma mboga 🤣🤣🤣🤣
 
Hizi shudu zako ukamwambie CAG/PAC/LAAC kwenye vikao kama wewe chuma kweli, sio unakuja kuruka ruka hapa unajiona chuma kumbe chuma mboga 🤣🤣🤣🤣
Wee mtoto siyo riziki kabisa! Kwa taarifa yako PAC na LAAC ni waelewa sana wakielezwa na ndiyo sababu watu wanaendelea kudunda bila hofu! Wee baki kulamba matako ya mabwana zako!
 
Ningepata namna ya kukwepa kodi ningefurahi sana. Maana ripot za CAG ni SAwa na tenzi za rohoni uimbwa KILA mwaka action no
 
Watanzania wengi wanaweza kujiuliza kwanini riport ya CAG Ina madudu mengi lakini Mhe. Rais na serikali Kwa ujumla awachukui hatua? Wanajiuliza awamu ya sita inafumbia macho wizi na ubadhirifu tofauti na awamu ya Tano? Lakini wapo wanaohoji kama madudu hayayamefanyika wakati wa JPM je mbona alikuwa anatuadaa kwamba hakuna wizi?

Ripoti ya CAG wetu imejikita zaidi kuona kama sheria zilifuatwa? Hata kama hakuna Fedha iliyokwapuliwa lakini akabaini sheria imekiukwa basi yeye anachokuja nacho nikuonyesha serikali imepata hasara Jambo amabalo naamini limekuwa likipotosha umma wa Watanzania.

Mfano Kuna hoja unaona anasema mfumo ulipata itilafu na mifumo Mingine ikatumika kutoa Huduma,Kwake yeye anataka kusema tayari ni ubadhirifu wakati miundombinu Yetu inafahamika wazi kwamba Taifa halina reliable network,electricity nk. Sasa yeye badala ya kuibua ubovu wa miundombinu anakwenda kuangalia waliohudumiwa nje ya mfumo anasema serikali imepata hasara. Hoja za Haina hii haziwezi kumwajibisga mtu maana hazina evidence ni mtumishi Gani au Watumishi Gani walikwapua hizo Fedha?

Mfano mwingine kwenye ujenzi naona anacholeza nikukiukwa Kwa sheria ya manunuzi ambayo sheria Hiyo imepigiwa kelele Sana; ripoti yake inaonekana inawahukumu wale ambao waliona sheria unaleta urasimu wakaamua kufanya kazi speed nje ya sheria kurahisisha ujenzi au manunuzi.

Kwa aina hii ya riport ambayo imeandikwa ikiwa na dhima ya non compliance lakini ikahitimishwa na kiasi Cha ubadhirifu ni dhahiri kila mwaka tutaona anasema Kuna wizi wa mabilioni lakini hakuna wakuchukuliwa hatua Kwa sababu inashindwa kutofautisha wizi ( fedha kuingia mifukoni) na non compliance ( kutumia fedha Kwa KAZI iliyopangwa au kubadili matumizi bila kuweka fedha mfukoni).

Hii ripoti Kila mmoja serikalini ataipuuza Kwa sababu imechafua taasisi Kwa kuonyesha Kuna wizi kumbe ukweli ni watendaji kutozingatia sheria.

Maeneo mengi hakuna wizi Kuna ukiukwaji wa sheria.
Ameguswa Baba yako au?
 
Akikosa tu risiti basi ni ubadhirifu. Si ajabu hata zile 1.5 T tunazomshutumu mwenda zake sio kuwa alitia mfukoni ni alinunua vitu nje ya utaratibu
Sasa unadhani kwanini kuna utaratibu?
 
Back
Top Bottom