Ripoti ya CAG Ina mapungufu makubwa ya kimantiki; "non-compliance" imetumika kama ubadhirifu kufurahisha umma

Pumbavu! Wataendelea kufanya hivyo na hakuna atakayefukuzwa kazi wala kufunguliwa mashtaka!
 
Pumbavu! Wataendelea kufanya hivyo na hakuna atakayefukuzwa kazi wala kufunguliwa mashtaka!
Hizi shudu zako ukamwambie CAG/PAC/LAAC kwenye vikao kama wewe chuma kweli, sio unakuja kuruka ruka hapa unajiona chuma kumbe chuma mboga 🤣🤣🤣🤣
 
Hizi shudu zako ukamwambie CAG/PAC/LAAC kwenye vikao kama wewe chuma kweli, sio unakuja kuruka ruka hapa unajiona chuma kumbe chuma mboga 🤣🤣🤣🤣
Wee mtoto siyo riziki kabisa! Kwa taarifa yako PAC na LAAC ni waelewa sana wakielezwa na ndiyo sababu watu wanaendelea kudunda bila hofu! Wee baki kulamba matako ya mabwana zako!
 
Ningepata namna ya kukwepa kodi ningefurahi sana. Maana ripot za CAG ni SAwa na tenzi za rohoni uimbwa KILA mwaka action no
 
Ameguswa Baba yako au?
 
Akikosa tu risiti basi ni ubadhirifu. Si ajabu hata zile 1.5 T tunazomshutumu mwenda zake sio kuwa alitia mfukoni ni alinunua vitu nje ya utaratibu
Sasa unadhani kwanini kuna utaratibu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…