Ngoja mshikishwe adabu, wewe unaona yuko peke yake, shauri yakoHuyu msukuma kavimbiwa viazi naona anabwabwaja.... Sasa ngoja ageuziwe kibao yeye kwa kuwachafua watu na heshima zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja mshikishwe adabu, wewe unaona yuko peke yake, shauri yakoHuyu msukuma kavimbiwa viazi naona anabwabwaja.... Sasa ngoja ageuziwe kibao yeye kwa kuwachafua watu na heshima zao.
Kwakuwa kazi yenu ni kuiba Mali ya hii wananchi subirini mpelekwe vizuriMkulima kakurupuka. Anatumika kama toilet paper.
Hizi ni figisu za sukuma gang
Mkulima Thomas Nkola ametaja watu 10 ambao wametajwa kwenye ripoti ya CAG anakusudia kuwafikisha mahakamani Mwigulu Nchemba, January Makamba, Prof. Makame Mbarawa, Prof. Palamagamba Kabudi, Maharage Chande, Masanja Kadogosa, Habinder Seth na wengineo waliotajwa na CAG...
CHANZO. Jambo Tv
Umeona Musiba yaliyo mkuta? Sasa anaomba asamehewe.Kwakuwa kazi yenu ni kuiba Mali ya hii wananchi subirini mpelekwe vizuri
Kwenda Mahakamani siyo kuwachafua watu. Ni tuhuma tu, watajitetea MahakamaniHuyu msukuma kavimbiwa viazi naona anabwabwaja.... Sasa ngoja ageuziwe kibao yeye kwa kuwachafua watu na heshima zao.
Sawa akishindwa kuthibitishe hizo tuhuma ndipo atajua kuwa kukurupuka hakufai.Kwenda Mahakamani siyo kuwwchafua watu. Ni tuhuma tu, watajitetea Mahakamani
Unataka kusema mama anatumia njia mbadala kuwashughulikia bila kuonekana sio?Ngoja mshikishwe adabu, wewe unaona yuko peke yake, shauri yako
Kaka mkulima tu yule wa jembe la mkono.Mkulima!? Mkulima anapata wap nguvu ya kuwashitaki mafisad wakubwa wenye pesa zao. Itakua katumwa uyu
Unaugonvi na Wasukuma ?? Au umasikin na ujinga na uozo uloujaza kichwan umekufanya uwe hoehae ?.Huyu msukuma kavimbiwa viazi naona anabwabwaja.... Sasa ngoja ageuziwe kibao yeye kwa kuwachafua watu na heshima zao.
Kwa sababu wee ni Chadomo na hamna mlichofanya kama wapinzani.Mkulima kakurupuka. Anatumika kama toilet paper.
Hakika.Naingana naye, hawa mafisadi wa ccm tukiwachekea watatuvua nguo mchana kweupe
Ujinga mtupuRipoti ya CAG mpaka sasa haijakamilika kulingana na mchakato wa ukaguzi na utakamilika pindi bunge likimaliza kuijadili na kuja na maazimio. Sasa huyo 'tapeli 'atatumiaje nyaraka isiyokamilika kufungua mashtaka? Tupunguze ujuaji watanzania sio kila kitu Cha kujitafutia umaarufu.
Kachafua au report ya CAG imeonyesha hivo??.Umeona Musiba yaliyo mkuta? Sasa anaomba asamehewe.
dawa ya watu kama hawa ni kuwafilisi hadi wakose chakula.
Tabia ya kuchafua watu sio sawa ni ujinga na ulimbukeni ..huyo anaye jiita mkulima atakuja kujutia matamshi yake ya kuwatuhumu na kuwachafua watu.
Kasome kwanza 'balance and check' katika muundo wa utawalaUjinga mtupu
Kwan Bunge ndio linakamikisha report ya CAG? Kwamba Bunge ndio litaamua hapa ni sahihi na hapa sio Sahihi??.
Unajielewa kweli???.
Itakua kuna mtu nyuma yakeKaka mkulima tu yule wa jembe la mkono.