Ripoti ya CAG: Mkulima kuwafungulia kesi vigogo Mwigulu, January, Kabudi na Mbarawa

Ripoti ya CAG: Mkulima kuwafungulia kesi vigogo Mwigulu, January, Kabudi na Mbarawa

Kinachoshangaza kuna watanzania vyeti feki watampiga vita huyu mkulima…kwa sababu ya mahaba na mafisadi…
 
Inamaana kuna baadhi ya watu wameridhika kuibiwa?
Binafsi nachukia sana wizi na ubadhirifu wa fedha za umma.
Kama ningekuwa Rais kwanza ningebana mianya ya yote inayo vujisha pesa za umma.
Mfano ofisi ya AG inayo andaa/kushiriki na kusaini mikataba mibovu kwa niaba ya Serikali ambayo inatutia hasara kubwa kama Taifa nigesafisha wabaki watu waadilifu na wazalendo wa kweli tu.
 
Hao Wahafidhina Hawatafanywa Lolote Na Court
 
Daah Watanzania akili zenu mnazijua wenyewe yaani mnamlaumu Mkulima anaetaka kufungua kesi kwa ajili ya hela za Umma ambazo wahuni wachache wanafanya mradi wao huku wakiongeza Lundo la Tozo na wizi wa mihamala kwenye vifurushi vya simu...huyo jamaa nipo pamoja nae Uzalendo gani wa kushabikia wizi mkubwa..
 
Daah Watanzania akili zenu mnazijua wenyewe yaani mnamlaumu Mkulima anaetaka kufungua kesi kwa ajili ya hela za Umma ambazo wahuni wachache wanafanya mradi wao huku wakiongeza Lundo la Tozo na wizi wa mihamala kwenye vifurushi vya simu...huyo jamaa nipo pamoja nae Uzalendo gani wa kushabikia wizi mkubwa..
Tatizo la mkulima wa kisukuma katumiwa vibaya...alitakiwa ajiongeze kidogo tu.....ila sasa yeye kaenda mzimamzima kama robotii!!![emoji28]

Wenye akili zao wamekaa kimya wanavutia timing kusubiria Kamati ya Bunge PAC ikae kujadili ripoti na watu ambao ofisi zao zimehusika.
 
Tatizo la mkulima wa kisukuma katumiwa vibaya...alitakiwa ajiongeze kidogo tu.....ila sasa yeye kaenda mzimamzima kama robotii!!![emoji28]

Wenye akili zao wamekaa kimya wanavutia timing kusubiria Kamati ya Bunge PAC ikae kujadili ripoti na watu ambao ofisi zao zimehusika.
Report ya CAG kila mwaka inatoka sio mara ya kwanza na hakuna kinachotokea Mkuu ninyi ni sahihi kumlaumu mtu anaetetea kodi zenu?
 
Report ya CAG kila mwaka inatoka sio mara ya kwanza na hakuna kinachotokea Mkuu ninyi ni sahihi kumlaumu mtu anaetetea kodi zenu?
Hata Rais mwenyewe alionyesha hadharani kukereka na ubadhirifu ulio ibuliwa na ripoti ya CAG na kuahidi kuchukua hatua, ila kwa kuwa Rais wetu ni mtu wa kutenda haki hawezi kukurupuka ndio maana kwanza ana fuatilia kwa umakini Kisha achukue hatua, na baadhi ya maeneo Kesha anza.


Kila mwananchi kakerwa na ubadhirifu hata chama tawala nao wamekerwa na wameitaka Serikali kuchukua hatua.

Sasa huyo mkulima wa viazi katokea nchi gani?!!!!!!
 
Tatizo la mkulima wa kisukuma katumiwa vibaya...alitakiwa ajiongeze kidogo tu.....ila sasa yeye kaenda mzimamzima kama robotii!!![emoji28]

Wenye akili zao wamekaa kimya wanavutia timing kusubiria Kamati ya Bunge PAC ikae kujadili ripoti na watu ambao ofisi zao zimehusika.
Ujinga huo siyo wa mkulima pekee. Sukuma gang wote wanatumia nguvu badala ya akili. Si unakumbuka hata mamauzi na vitendo mkurupuko vya "Mungu wao" wa Chato?
 
Hata Rais mwenyewe alionyesha hadharani kukereka na ubadhirifu ulio ibuliwa na ripoti ya CAG na kuahidi kuchukua hatua, ila kwa kuwa Rais wetu ni mtu wa kutenda haki hawezi kukurupuka ndio maana kwanza ana fuatilia kwa umakini Kisha achukue hatua, na baadhi ya maeneo Kesha anza.


Kila mwananchi kakerwa na ubadhirifu hata chama tawala nao wamekerwa na wameitaka Serikali kuchukua hatua.

Sasa huyo mkulima wa viazi katokea nchi gani?!!!!!!
Mkuu unachojua ni kuandika na kusoma tuu bora nimsikilize huyo Mkulima wa Viazi daah Nchi yangu Tanzania imefikia kuwa na Watanzania wasomi wa aina yako aisee kazi tunayo...
 
Jiwe anadaiwa trilioni 1.5 na washirika wake tunawadai trilioni 0.9, jumla ni trilioni 2.4 .

Jiwe alikuwa najisi na laana ya taifa
Ukiachana na 1.7 Kuna 1.2 na dola milioni 46 hapo total ni trilioni 3 kwa mwaka Jana tu wa Samia madarakani achana na wizi wa manisapaa itafikia 4.

Sasa niambie laana ipo kwa nani maana mwaka mmoja tu wa Samia tumepoteza trilioni 4.

Akikaa miaka mingine itakua hasara ya namna gani??
 
Ukiachana na 1.7 Kuna 1.2 na dola milioni 46 hapo total ni trilioni 3 kwa mwaka Jana tu wa Samia madarakani achana na wizi wa manisapaa itafikia 4.

Sasa niambie laana ipo kwa nani maana mwaka mmoja tu wa Samia tumepoteza trilioni 4.

Akikaa miaka mingine itakua hasara ya namna gani??
Tofautisha kati ya wizi wa mtu (jiwe) na wizi wa watumishi wa serikali(enzi hizi za rais Samia).

Jiwe alikuwa mwizi yeye binafsi.
 
Tofautisha kati ya wizi wa mtu (jiwe) na wizi wa watumishi wa serikali(enzi hizi za rais Samia).

Jiwe alikuwa mwizi yeye binafsi.
Sasa hivi Kuna wizi wa trilioni 4 kwa mwaka mmoja tu.

Ila unaulizia trilioni 1.5 ambazo ni propaganda tu.

Wewe ni mpumbavu wa kiwango cha juu.

Nakupuuza kwakua Huna akili hata chembe.
 
Back
Top Bottom