Ripoti ya CAG: Mkulima kuwafungulia kesi vigogo Mwigulu, January, Kabudi na Mbarawa

Ripoti ya CAG: Mkulima kuwafungulia kesi vigogo Mwigulu, January, Kabudi na Mbarawa

Tofautisha kati ya wizi wa mtu (jiwe) na wizi wa watumishi wa serikali(enzi hizi za rais Samia).

Jiwe alikuwa mwizi yeye binafsi.
Wewe ni mpumbavu usipoweka udhibitisho wa unachosema.ukiweka wewe siyo.
 
Amewashitaki Mwigulu, Makamba, Seth, n.k ukimsikiliza utadhani ni mzalendo kweli lakini binafsi nahisi anataka ripoti au waliotajwa kwenye ripoti wasijadiliwe bungeni kwa kisingizio cha kesi kuwa mahakamani kama enzi zile za JK na ufisadi
 
Amewashitaki Mwigulu, Makamba, Seth, n.k ukimsikiliza utadhani ni mzalendo kweli lakini binafsi nahisi anataka ripoti au waliotajwa kwenye ripoti wasijadiliwe bungeni kwa kisingizio cha kesi kuwa mahakamani kama enzi zile za JK na ufisadi
View attachment 2605312
Bongo bhana🤣🤣 ndio maana rais akichunguliaga huku anaishia kucheka tu
 
Ni mjinga tena?

Sasa mnachokuwa mnalalimikia ufisadi huwa mnamaanisha nini?

Hii nchi inayoitwa Tanzania, inawatuuu...! Au mazombie
 
THOMAS Nkola, mkazi wa Mtaa wa Majengo wilayani Maswa mkoani Simiyu, ameamua kufungua kesi mahakamani kushinikiza kuwajibishwa kwa watendaji wa serikali waliotajwa kuhusika na ubadhirifu wa mabilioni ya shilingi katika ripoti ya mwaka 2021/22 ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

Katika mazungumzo na Nipashe jijini Dar es Salaam jana, Nkola (57), alisema ameamua kufungua kesi hiyo kwa kuzingatia Ibara ya 27(1) na (2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977.

Kifungu cha (1) cha ibara hiyo kinatamka: "Kila mtu ana wajibu wa kulinda mali asilia ya Jamhuri ya Muungano, mali ya Mamlaka ya Nchi na mali yote inayomilikiwa kwa pamoja na wananchi, na pia kuiheshimu mali ya mtu mwingine."

Pia inatamkwa katika kifungu cha (2) cha ibara hiyo kuwa: "Watu wote watatakiwa na sheria kutunza vizuri mali ya mamlaka ya nchi na ya pamoja, kupiga vita aina zote za uharibifu na ubadhilifu, na kuendesha uchumi wa taifa kwa makini kama watu ambao ndio waamuzi wa hali ya baadaye ya taifa lao."

souce: Nipashe

 
Wananch wote mngekuwa na akil hizi tusingeona malamiko viongoz kushindwa kutimiza wajibu hapa jukwaan
 
Ifike wakati hizi mahakama ziache mzaha kuna watu wengi sana wapo jela kama mahabusu wanasubiri haki, kesi zao aziitwi kusikilizwa.

Ila hizi mahakama bado zina nafasi ya kuchezea muda na hela za walipa kodi, kwa kupokea kesi ambazo mtu mwenye uwezo wa kushitaki ni DPP au TAKUKURU.

Juzi tu tumeona kesi ya Kubenea na Makonda ilipoishia; raia uwezi fungua kesi ya jinai. Ndio maana ata huyo Makonda alidharau mahakama akutokea.

Huku ni kuchezea hela za walipa kodi mahakama inapotumia muda wake kwa comedy.

Kinachotakiwa ni DPP na TAKUKURU kuchukua hatua wizi mwingine ni wazi auhitaji bunge kujadili Report.
 

MKULiMA, THomas Nkola anakusudia kuwafikisha mahakamani Januari Makamba, Mwigulu Nchemba, Makame Mbarawa na Prof Kabudi baada ya ripoti ya CAG kubaini ubadhirifu mkubwa.​



ameonyesha njia baada ya wasomi wetu uchwara kukaa kimywa juu ya jambo hilo.
 

MKULiMA, THomas Nkola anakusudia kuwafikisha mahakamani Januari Makamba, Mwigulu Nchemba, Makame Mbarawa na Prof Kabudi baada ya ripoti ya CAG kubaini ubadhirifu mkubwa.​



Sawa bwana mkulima
 
Back
Top Bottom