mpima mstaafu
Senior Member
- Jul 7, 2018
- 131
- 238
Kuna Watu wameanzisha Mahakama za Mafisadi ndio wenye jibu bahati nzuri Wateja wao ni Wanachama waoWaulize CHADEMA Kama bado wanapambana na ufisadi
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Watu wameanzisha Mahakama za Mafisadi ndio wenye jibu bahati nzuri Wateja wao ni Wanachama waoWaulize CHADEMA Kama bado wanapambana na ufisadi
Kipindi Wanafanya Ukarabati wangekuwa wamekaa wapi? Wao wawape fedha za Ukarabati, wakarabati basi.
Kupanga bado hakuepukiki Kama Makazi yanahitaji kukarabatiwa. Ukikarabati lazima upishe Ukarabati.
Kama nimepanga kutokana na ubovu wa miundombinu, na hujaniwezesha fedha za kukarabati hiyo miundombinu yenyewe nitapanga tu. We karabati, nikiendelea kupanga nilime hoja. Lakini bila kukarabati afu unanilima hoja, ni upishi wa hoja.
Hicho ni kiashiria Cha hoja, ambacho serikali inatakiwa kukiondoa kwa kutoa fedha za Ukarabati. Basi.
Labda ingekuw hivi, "Pamoja na Nchi yetu kutumia fedha kadhaa kukarabati nyumba za ubalozi wa Tanzania nchini A, B, C lakn bado Mabalozi katika nchi hizo wameendelea kuishi katika nyumba za kupanga. Jambo hilo limeiingizia serikali hasara ya kiasi Cha shilingi ......!". Hiyo ndo hoja.
Lakn Kama hoja iko Kama alivyoiwasilisha, inaibana Serikali na siyo Dr. Slaa!
Lugumya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ujinga na upimbav hapo ulipo unasomeshwa na maCCM, kama sio wewe wadogo zako, na kama sio watoto wako. Unadhani akiingia huyo baba yako mwenye makengeza ndo nchi itatema maziwa na asali. Fanya kazi ujikwamue kiuchumi.
ujinga mnao nyie ambao mlitaja watu kwa majina ni mafisadi baadae mkawakaribisha tena mkawapa nafasi ya kugombea uongozi wa nchi kupitia chama chenuHoja ya kijinga isiyohusiana na uzi huu
leo wako wapi na Dr Slaa yuko wapi ?ujinga mnao nyie ambao mlitaja watu kwa majina ni mafisadi baadae mkawakaribisha tena mkawapa nafasi ya kugombea uongozi wa nchi kupitia chama chenu
Watanzania wengi wapumbavu hasa weweAcheni ujinga, ufisadi inaweza kuwa ulifanyika miaka 3 hadi 5 nyuma na huyo Slaa inawezekana ndiye mpuliza kipenga (whistle blower) wa hiyo issue. Mnadandia treni kwa mbele bila kusoma undani wa reporti. Watanzania wengi wapumbav sana.
Wewe ndio mjinga namba moja, soma hiyo habari hapo chini kwanza ndipo uropokeAcheni ujinga, ufisadi inaweza kuwa ulifanyika miaka 3 hadi 5 nyuma na huyo Slaa inawezekana ndiye mpuliza kipenga (whistle blower) wa hiyo issue. Mnadandia treni kwa mbele bila kusoma undani wa reporti. Watanzania wengi wapumbav sana.
Kama watanzania ni wapumbavu na wewe Ni BONGE LA MKUNDUNYAU KUBSBAKO [emoji855][emoji855][emoji855]Acheni ujinga, ufisadi inaweza kuwa ulifanyika miaka 3 hadi 5 nyuma na huyo Slaa inawezekana ndiye mpuliza kipenga (whistle blower) wa hiyo issue. Mnadandia treni kwa mbele bila kusoma undani wa reporti. Watanzania wengi wapumbav sana.
Acha ujinga na upimbav hapo ulipo unasomeshwa na maCCM, kama sio wewe wadogo zako, na kama sio watoto wako. Unadhani akiingia huyo baba yako mwenye makengeza ndo nchi itatema maziwa na asali. Fanya kazi ujikwamue kiuchumi.
Kwa akili yako, kwanini mzee Sabodo alikataa kuwapa jengo la owrld cinema kama makao makuu yenu muondoke uchochoroni kwenye kabila la Rukwa, ni kwanini alikata ule msaada wa mamilion ya pesa kuchimba visima. Kwa sababu ya ufisadi. Unashindwa kutambua ufisadi hauna chama wala itikadi na unaliangamiza taifa
Nasikia na yeye kama katibu mkuu hazina, ni mtoto wa dada wa boss wa MagogoniCAG huyu mpya amewekwa hapo kwa maelekezo kutoka huko anakotoa ripoti yake leo. Hiyo ripoti inaonekana imeandaliwa hapo Lumumba
Mpaka CAG kulalamika, maana ya Pesa walizotumia kukodi ni Kubwa zaidi kilikoni hiza za kukodi nyumba nyengine ndio maana akasema zingeliepukika. Sasa unasemaje hawakupewa pesa za Ukarabati? Sasa hizo za kodi alizipata wapi?
hapa tayari umeshapanic.Kitendo cha Dr. Slaa kuondoka ccm bado kinawauma Chadema kibaya zaidi huyo mtu waliyemchua amesharudi ccm lakini kama kawaida badala ya Chadema kukaa na kutafakari wapi walikosea wameamua bado kupambana na Dr. Slaa kwa kifupi chadema wao wanajiona wanajua kila kitu.
Kuna mtu alipotoa post ya kutamani Corona ije iwamalize ccm ni wazi alikuwa anaonyesha upeo wa wafuasi wengi wa Chadema ulivyo bahati mbaya Corona imeingia na kuleta madhara bla kujali ni watu wa chama gani
Acha ujinga na upimbav hapo ulipo unasomeshwa na maCCM, kama sio wewe wadogo zako, na kama sio watoto wako. Unadhani akiingia huyo baba yako mwenye makengeza ndo nchi itatema maziwa na asali. Fanya kazi ujikwamue kiuchumi.
Kwa akili yako, kwanini mzee Sabodo alikataa kuwapa jengo la owrld cinema kama makao makuu yenu muondoke uchochoroni kwenye kabila la Rukwa, ni kwanini alikata ule msaada wa mamilion ya pesa kuchimba visima. Kwa sababu ya ufisadi. Unashindwa kutambua ufisadi hauna chama wala itikadi na unaliangamiza taifa
Kitendo cha Dr. Slaa kuondoka ccm bado kinawauma Chadema kibaya zaidi huyo mtu waliyemchua amesharudi ccm lakini kama kawaida badala ya Chadema kukaa na kutafakari wapi walikosea wameamua bado kupambana na Dr. Slaa kwa kifupi chadema wao wanajiona wanajua kila kitu.
Kuna mtu alipotoa post ya kutamani Corona ije iwamalize ccm ni wazi alikuwa anaonyesha upeo wa wafuasi wengi wa Chadema ulivyo bahati mbaya Corona imeingia na kuleta madhara bla kujali ni watu wa chama gani