Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) 2020/21

Hivi serikali huwa inachukua hatua kupitia Takukuru au huwa tunasomeana inakuwa imetoka hiyo?

Hakuna mwaka nimewahi ona ripoti ya CAG ni nzuri..mfano ya mwaka Jana ilikuwa mbaya sana kiasi kwamba watu wakawa wanasema mara ooh Mwendazake anachafuliwa and such nonsense.
 
Umelogwa wewe sio bure

USSR
 
Ndugu pambana tu na maisha yako. Utapasuka bure. Hii dunia si ya malaika.
 
🐒🐒🐒
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Umelogwa wewe sio bure

USSR
Njoo na hoja za ku counter argument yangu ila isiwe hiyo sweeping statement. Angalia tu hii thread wachangiaji wako wapi na Ina massa zaidi ya 14 toka iwekwe.

Tunatumia uzoefu sisi siyo kama wewe USSR
 
Unamaanisha Prof wako Assad asingeonesha madudu hayo?. Achana na chuki zisizo na msingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…