Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) 2020/21

Nchi ina madudu mengi sana cha ajabu viongozi nao wapo tu hawachukui hatua yoyoye wasubiri siku mi niwe rais ndio watajua sukuma gang ni nini
 
Nimekuelewa kuwa inatakiwa kampuni ya kimataifa ije kufanya ukaguzi badala ya Cag
Na Hii itasaidia nchi kuwa na daraja zuri la kimataifa iwe rahisi kupata wawekezaji na mikopo
 
CAG anakuwa kama mganga wa kienyeji; “kuna mtu anakuroga” hakutajii ni nani anayrkuroga, kuna haja ya CAG kubainisha wahusika wa ubadhirifu wa fedha za umma kuliko kusema tu, “watumishi sita waliiba kiasi fulani cha pesa”. Funguka ili wachukuliwe hatua
 
Hizi ni kawaida sana. Tz tumezizoea. Tunapeana machungu tu, hakuna lolote litakolofanyika. Mwakani tutasikia mengine zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…