Mwakilishi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 483
- 34
For the third time nakuomba usiniite mkuu, mkuu ni wewe mzee wa dataz ili kuona unaheshimiwa kwazo.
Nashukuru sana kwa kukubali kuwa hakusema yote. On top of that your hero does not say all - your hero ni muoga. So the type of your hero is not mine, unless i miss the meaning of the word hero.
Kimasai ukamdunga simba na mkiku halafu akakimbia na usimwone tena wewe sio shujaa, shujaa ni yule anayeleta ukucha wa simba kumaanisha amemuua na akahakikisha kuwa kafa. Kwangu huyu pia ndiye shujaa, sio shujaa nusu nusu.
Kwangu huyu ni mtu (mwakyembe) anatimiza wajibu wake kazini, analipwa kwa kuwa bungeni na amelipwa kwa kukaa kama kamati. So he has to be responsible kwa chochote kile hata uficha ukweli, amemess step kwani hakutimiza wajibu wake efficiently, he did it in pieces.
In the sense of kutukana labda Rais Kikwete ndio hajatukanwa kwenye hii forum, lakini mbunge wa kyela katukanwa sana.
Thank you God! My pints worked me wonder, now I can understand why "mkuu Mama" is absolutely negative to Mwakyembe regardless of the facts! (see bold)
Mama you're the hero of the day! Com' on, what have you done to your country so far, hero?
Nimesoma makala ya mwandishi mmoja nikakutana na hili kwa kweli Mwakyembe kama ni kukosea hapa ulikosea sana. Inakuwaje anasema kuwa 'walificha baadhi ya mambo kulinda 'heshima' ya serikali?'. Naomba nieleweshwe kidogo hapa. Ni heshima gani hii serikali inayo kama siyo ujinga. Angesema wanaficha baadhi ya mambo 'kulinda usalama wa taifa' hapo angeeleweka japo kidogo.
Ni bora mheshimiwa huyu ambaye siku za karibuni amejizolea sifa kemkem kama shujaa wetu yeye na kamati yake kufafanua hii kauli tete.
Hivyo basi hatutashangaa hata pale mmoja wa 'majeruhi' mmoja wa kisiasa kudai kulikuwa na uwezo wa 'kuchomekea' baadhi ya mambo ili kuhalalisha makosa ya baadhi ya waheshimiwa waliotuhumiwa na kamati hiyo?
Mheshimiwa kwa niaba ya wakereketwa wengi tunakuomba utoe ufafanuzi wa ziada kuhusu kauli yako.
nimezaa na kuongeza idadi ya watanzania, thats all! Kuhusu uhero wa kimasai usijesema ya lowassa as am dreaming of where you are going! ukabila na nchi hii! am not into it. However calls me mkuu is bogus and insane, or may be eating own shit.
nimezaa na kuongeza idadi ya watanzania, thats all! Kuhusu uhero wa kimasai usijesema ya lowassa as am dreaming of where you are going! ukabila na nchi hii! am not into it. However calls me mkuu is bogus and insane, or may be eating own shit.
Congratualtion for worsening the population burden we have!
I just hope haujatuongezea mafisadi nchini.
kwi kwi kwi, i brought ufisadi-free Tanzanians, to make matter worse, ni member wazuri tu humu JF na unawapa asante zako na hata ukiona hawakusupport huondi ile asante. Nataka kukwambia kuwa ni watu unaowasupport.
Cheers for that! (bold)
Lakini, sina muda wa kuondoa my thnx kwa sababu tu mtu huyo hanisupport! What I value the most is his/her contribution and not his pay-back thnx! Hili halinisumbui kabisa, waambie nitaendelea kuwapa thnx wanapofanya mamboz!
Just curious question: umetuongezea wangapi Mama?
Keep good spirit!
the bolded statement remain vague, unamaanisha nini?
Hapana alisema atamuomba Spika ili kusudi avunje kanuni ndio aweze kusoma ripoti yote, angeyaanika iwapo Spika angevunja kanuni na sio anything else!
Huu hapa sio ukweli mkuu kabisaa!
Kwi kwi kwi..! watanzania mama!
ili Kuweka Huu Mjadala Katika Context Inabidi Kwanza Tukumbushane Ni Kwa Nini Hasa Watanzania Tukiwemo Sisi Hapa Jf Tulishangilia Report Ya Mwakyembe Na Kumuingiza Mwakyembe Katika Orodha Ya Mashujaa Wa Taifa Letu. Kwa Maoni Yangu Ni Kwamba Tulimshangilia Sana Mwakyembe Na Kamati Yake Kwa Kufanya Kile Ambacho Kamati Nyingi Huko Nyuma Zilishindwa Kukifanya. Kamati Nyingi Zilizoundwa Huko Nyuma Zilitumika Kuwasafisha Wakubwa Na Kufunika Ukweli Badala Ya Kuufunua. Kwa Hiyo Utaona Kwamba Tulimshangilia Mwakyembe Kwa Sababu Alithubutu Kufunua Ukweli Bila Kuwaangalia Wakubwa Usoni Kama Ilivyozoeleka Katika Siasa Za Tanzania.
Kwa Kawaida Kazi Ya Kamati Ya Uchunguzi Kama Ilivyokuwa Ile Ya Mwakyembe Ni Kutafuta, Kujua Na Kuanika Ukweli Na Ukweli Wote. Sasa Swali Linakuja, Je Kamati Ya Mwakyembe Ilitafuta, Kujua Na Kuanika Ukweli Wote Kama Tulivyoambiwa Awali? Binafsi Nilishatoa Maoni Yangu Tangu Awali Kwamba Kitendo Cha Kamati Ya Mwakyembe Kutokumhoji Mhusika Mkuu Wa Saga La Richmond Ndugu Edward Lowasa Ilikuwa Ni Mapungufu Makubwa Yaliyotia Dosari Ya Kutisha Credibility Ya Report. Mpaka Hapo Kwangu Mie Report Ya Mwakyembe Ilikuwa Shwari Na Nzuri Sana Ukiacha Hii Methodological Fault.
Sasa Hii Ya Kauli Ya Mwakyembe Ya Kwamba Wapewe Nafasi Ingine Ili Waseme Yale Ambayo Hawakusema Kuhusu Uchunguzi Wao Ni Tatizo La Pili Kwenye Report Yao Ambalo Kusema Kweli Ni Kubwa. Tatizo Lenyewe Ni Kwamba Kumbe After All Kamati Ya Ndugu Yetu Mwakyembe Haikutuambia Ukweli Wote Kama Tulivyodhani!! Again, This A Serious Flaw That Further Waters Down The Credibility Of The Report And, Unfortunately, Strongly Strengths The Arguments Of Those Alleged In The Report That The Committee Was More Intrumental Politically Than A Significant Step Towards Addressing The Problem Of Corruption And Public Resources Vandalisation In Our Country. Kwa Hiyo Kwa Maoni Yangu Tukubaliane Kwamba Kuna Makosa Ya Msingi Katika Uandaji Na Yaliyomo Katika Report Ya Mwakyembe.
Je, Makosa Haya Yanamtoa Ndugu Mwakyembe Kwenye Orodha Yetu Ya "mashujaa" Wa Taifa? Mimi Nasema Hapana. Hata Hivyo Natoa Wito Kwamba Tunapoendelea Na Mijadala Hii Ya Ufisadi Na Tunapowaunga Mkono Na Kuwatia Moyo Wenzetu Waliopo Katika Mstari Wa Mbele Wa Mapambano Tusijefika Mahala Tukawaona Kwamba Wao Hawawezi Kukosea. Kufumbia Macho Makosa Ya "mashujaa" Wetu Hakuwasaidii Wao Katika Kuongoza Vita Tuliyoianzisha. Tuwakosoe Constructively Kwa Lengo La Kuwajenga Ili Waimarike Zaidi. Sisis Pia Tujitahidi Kujua Ukweli Wote Hata Ule Ambao Pengine Hatuupendi Au Ni Mchungu Kwetu Lakini Ni Mtamu Kwa Maadui Zetu, Yaani Mafisadi. Haya Makosa Mawili Niliyoyataja Hapo Juu Ni Wazi Kwamba Ni Machungu Sana Kwetu Tunaowaunga Mkono Ndugu Zetu Wapambanaji, Lakini Pia Ni Wazi Kwamba Makosa Haya Yanatoa Mwanya Wa Kutosha Kwa Mafisadi Wa Richomond Kujitetea Na Kuisambaratisha Report Ya Mwakyembe.
wawili, and still expecting!