MwanaHabari
JF-Expert Member
- Nov 9, 2006
- 442
- 13
Tena apewe Fast track process, moja kwa moja ndani...hakuna purpose ya kuhangaika na process...ni gaidi, should be arrested for treason kwa kuiba mali za wananchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[/QUOTE
Andika unachojua na mimi nitaandika ninachojua kuhusu Fisadi John Malecela
Kama unaona Malecela ni msafi,basi endelea kumsifia.
Domo ni jumba la maneno na usema kila jambo baya na zuri
Sasa mimi siwezi kulizua domo lako kusema uongo hapa kwa wana jf.
Ni tabia yako.
Anne Kilango trashes allegations against her, throws olive branch
DAILY NEWS Reporters, Dodoma and Dar es Salaam, 6th November 2009 @
SAME East MP Anne Kilango-Malecela has dismissed as "baseless" allegations of collusion with embezzlers directed at her by the Minister of State in the President's Office, Good Governance, Ms Sophia Simba.
The CCM MP claimed today that the minister has embarked on "a deliberate campaign to tarnish her image before the public for reasons better known to herself.
Ms Kilango said, however, that she would not like to enter into a war of words with the minister because it would neither be profitable nor productive to Tanzanians.
The MP wondered why the minister, who is responsible for good governance, had not taken the matter to such state organs as the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB).
My electorate and Tanzanians as a whole know me and they are able to identify between the husks and rice in this issue, reads part of her statement issued here yesterday.
She was responding to allegations raised by Mrs Simba on Wednesday during a meeting convened by a special CCM team formed to identify causes of the existing rift between the MPs and their party.
The minister claimed that the outspoken MP was not clean enough to point fingers to other people as mafisadi (corrupt people) because she had used ill-gotten money in her own campaigns and her wedding.
The minister also wondered why the MP was attacking former president Mr Benjamin Mkapa while the ex-president was the one who elevated her from nowhere to political stardom.
I'm not discouraged by such allegations which I'm pondering to establish its sources and reasons, especially at this time when the anti-graft war has gained momentum and is being supported by all patriotic Tanzanians.
If the Honourable Sophia Simba had watertight evidence on such serious allegations since 2005, why hasnt she reported the matter to the state organs? Mrs Malecela wondered.
Meanwhile, the IPP Chairman, Mr Reginald Mengi, told reporters in Dar es Salaam today that the allegations by Ms Simba, Dar es Salaam CCM Regional Chairman John Guninita and Regional CCM Secretary Shaaban Ngenda that he was not a member of the ruling party were all baseless, as he is one of the veteran members.
Quoting an old adage: "Dont argue with a fool because people may not know the difference between you and the fool, Mr Mengi, said there are occasions when one is forced to speak to set the record straight.
I am a CCM member since April 18, 1977 and my card number is B124595 issued at Kisutu Branch, Ilala Municipality in Dar es Salaam, he elaborated.
He presented before reporters a copy of a letter signed by the Secretary of Kisutu Branch, Mr Mussa Kambanga, certifying that he is registered and active CCM member.
He took a swipe at the minister, claiming that she was not a clean person. He said the allegations were aimed at demoralising those among us and CCM leaders who are fighting graft in the country.
Meanwhile, the three-day meeting of the committee, chaired by retired president Ali Hassan Mwinyi, ended here on yesterday night with MPs continuing to trade accusations. The CCMs Publicity and Ideology Secretary, Mr John Chiligati, described the sessions as "hot but fruitful".
He said the sessions were characterised by transparency and freedom of expression in which MPs were able to vent their feelings on a number of issues.
The report of the special team will be submitted to the party's Central Committee before being discussed by its National Executive Committee (NEC) later this month.
Andika unachojua na mimi nitaandika ninachojua kuhusu Fisadi John Malecela
Kama unaona Malecela ni msafi,basi endelea kumsifia.
Domo ni jumba la maneno na usema kila jambo baya na zuri
Sasa mimi siwezi kulizua domo lako kusema uongo hapa kwa wana jf.
Ni tabia yako
.
Labda wewe K4jolly ndiyo kwanza unayasikia leo hayo.Tulisema na kuandika sana tangu miaka ya 90
Mrema aliyahubiri sana kuhusu serikali ya mwinyi na waziri mkuu wake john malecela .watu walitoroshea nje urithi wa nchi yetu.Mrema alijaribu ata kwenda uwanja wa ndege kwenda kukamata na ni huyohuyo John Malecela na mwinyi walinyamazisha.
Mrema amehamia upinzania na alisema yote maovu ndani ya serikali ya awamu ya pili,lakini ni huyohuyo john malecela akamwita mrema ni kichaa na apelekwe mirembe.Leo hii baada ya kukataliwa marambili kugombea urasi na kuenguliwa umakamu wa rais tanzania bara, naye anajiita kinara wa ufisadi.
Nani mpuuzi atakubali ujinga huu?.Nyerere aliwahi kumwambia Gama, ambaye alikuwa katibu mkuu wa ccm wakatiu huo,kuwa kama watashindwa kuliondoa jina la John Malecela,basi yeye asingeshiriki kwenye mchakato mzima wa mgombea urais ndani ya ccm.Kwann alisema Hivyoo?''we kalia bao''
Vyama vya upinzani vimenza kusema siku nyingi sana kuhusu ufisadi ndani ya ccm.Kama wewe unataka mpaka samwel sitta ndiye aseme ndipo uhamini kuwa kweli kuna ufisadi,pole sana.
So what?
wanatupotezea muda wetu na ngonjera za kila siku.Tumezisikia tangu ukiwa tumbon kwa mama yako.
umewahi kuwa kijana mzuri na sasa unakwenda wrong way.Unapoteza dira na mwelekeo wako.Angalia kijana utaishia ubungo!!!
.- Pure Nonsense!
FMEs!
.- Mkuu JF ni taasisi kubwa sana kuliko hizi nale nale zako, kama una matatizo na Malecela as a person basi ninaweza kukupatia namba yake ya simu, ambayo ninajua kua unayo maana nilikuwepo Malecela mwenyewe akikupa, sasa kwa nini unataka kutusumbua watu hapa bila hoja wala ukweli? Exactly matatizo yako ni nini ninashindwa kuelewa,
1. Unasema Malecela ni fisadi, lakini unakumbuka jinsi ulivyosafiri usiku na watoto wako kwenda kumuona, tena ukaomba sana kupiga picha naye na hata ukampa hela za mchango wako kwa jimbo lake, sasa unapokuja hapa na hizi nale nale against Malecela ambaye unadai ulikuwa unajua toka in the 90s kwamba ni fisadi na wewe hupendi mafisadi sasa mkuu huoni kwamba unakosa credibility?
2. Ya kukamtawa Airport Mwalimu alisema wazi Mwanza kwamba zilikuwa ni dhahabu za Mama Sitti, na Mwinyi wakati huo alikuwa alikuwa Mozambique aliporudi aliulizwa vipi kuhusu maneno ya Mwalimu, Mwinyi akajibu kwa unyenyekevu sana kwamba kama sio Mwalimu yeye asingekua Rais sasa kama kweli amesema hayo basi tunahitaji kujiangalia na kujirekebisha, lakini akasema hawezi kubishana na Mlima Mwalimu, wakati yeye Mwinyi ni kichuguu tu! sasa unaona uongo wako ulipo mkuu!
3. Unasema maneno ya Mrema kuwa kichaa yalianza na Malecela, ukweli ni kwamba yalianzia kwenye kamati ya Sekretariat ya Uenezi ya CCM, ambako Kingunge alikua Mwenyekiti, akishirikiana na Sozigwa aliyekuwa Mkurugenzi wa kampeni za uchaguzi za CCM, walipomaliza kikao hicho ndipo kwa mara ya kwanza Sozigwa akatamka wazi kwamba Mrema ni kichaa anahitaji kutibiwa haraka sana. sasa unaona uongo wako mkuu!
4. Unasema Mwalimu alimuambia Gama kuhusu Malecela, wakati ukweli ni kwamba Mwalimu aliwaambia kamati kuu nzima kwamba kama jina la Malecela linarudi atahamia Zambia na kuwa mkimbizi wa siasa kule, ndipo Siovelwa, Mungai, na Lusinde wakamuomba Malecela aondoe jina lake and he did, sasa unaona uongo wako mkuu ulivyo wazi!
- Punguza jazba mkuu jadili hoja hapa uelimishe taifa badala ya kutema sumu zisizo na faida kwa taifa, wizi ni tabia ya kuzaliwa nayo sio kujifunza ukiangalia viongozi wetu wote mafisadi walikotoka utagundua kwua kote walikowahi kupita wamewahi kuiba. Jaribu kuongea na facts na ukweli mkuu hakuna anyekuzuia kusema anything ila tu kumbuka kwamba ni lazima uwe responsible na unayoyasema, na utajibiwa tu regardless of anything! na sitachoka kukujibu!
Field Marshall Es! = The Real Deal
.- Mkuu JF ni taasisi kubwa sana kuliko hizi nale nale zako, kama una matatizo na Malecela as a person basi ninaweza kukupatia namba yake ya simu, ambayo ninajua kua unayo maana nilikuwepo Malecela mwenyewe akikupa, sasa kwa nini unataka kutusumbua watu hapa bila hoja wala ukweli? Exactly matatizo yako ni nini ninashindwa kuelewa,
1. Unasema Malecela ni fisadi, lakini unakumbuka jinsi ulivyosafiri usiku na watoto wako kwenda kumuona, tena ukaomba sana kupiga picha naye na hata ukampa hela za mchango wako kwa jimbo lake, sasa unapokuja hapa na hizi nale nale against Malecela ambaye unadai ulikuwa unajua toka in the 90s kwamba ni fisadi na wewe hupendi mafisadi sasa mkuu huoni kwamba unakosa credibility?
2. Ya kukamtawa Airport Mwalimu alisema wazi Mwanza kwamba zilikuwa ni dhahabu za Mama Sitti, na Mwinyi wakati huo alikuwa alikuwa Mozambique aliporudi aliulizwa vipi kuhusu maneno ya Mwalimu, Mwinyi akajibu kwa unyenyekevu sana kwamba kama sio Mwalimu yeye asingekua Rais sasa kama kweli amesema hayo basi tunahitaji kujiangalia na kujirekebisha, lakini akasema hawezi kubishana na Mlima Mwalimu, wakati yeye Mwinyi ni kichuguu tu! sasa unaona uongo wako ulipo mkuu!
3. Unasema maneno ya Mrema kuwa kichaa yalianza na Malecela, ukweli ni kwamba yalianzia kwenye kamati ya Sekretariat ya Uenezi ya CCM, ambako Kingunge alikua Mwenyekiti, akishirikiana na Sozigwa aliyekuwa Mkurugenzi wa kampeni za uchaguzi za CCM, walipomaliza kikao hicho ndipo kwa mara ya kwanza Sozigwa akatamka wazi kwamba Mrema ni kichaa anahitaji kutibiwa haraka sana. sasa unaona uongo wako mkuu!
4. Unasema Mwalimu alimuambia Gama kuhusu Malecela, wakati ukweli ni kwamba Mwalimu aliwaambia kamati kuu nzima kwamba kama jina la Malecela linarudi atahamia Zambia na kuwa mkimbizi wa siasa kule, ndipo Siovelwa, Mungai, na Lusinde wakamuomba Malecela aondoe jina lake and he did, sasa unaona uongo wako mkuu ulivyo wazi!
- Punguza jazba mkuu jadili hoja hapa uelimishe taifa badala ya kutema sumu zisizo na faida kwa taifa, wizi ni tabia ya kuzaliwa nayo sio kujifunza ukiangalia viongozi wetu wote mafisadi walikotoka utagundua kwua kote walikowahi kupita wamewahi kuiba. Jaribu kuongea na facts na ukweli mkuu hakuna anyekuzuia kusema anything ila tu kumbuka kwamba ni lazima uwe responsible na unayoyasema, na utajibiwa tu regardless of anything! na sitachoka kukujibu!
Field Marshall Es! = The Real Deal
.- Mkuu JF ni taasisi kubwa sana kuliko hizi nale nale zako, kama una matatizo na Malecela as a person basi ninaweza kukupatia namba yake ya simu, ambayo ninajua kua unayo maana nilikuwepo Malecela mwenyewe akikupa, sasa kwa nini unataka kutusumbua watu hapa bila hoja wala ukweli? Exactly matatizo yako ni nini ninashindwa kuelewa,
1. Unasema Malecela ni fisadi, lakini unakumbuka jinsi ulivyosafiri usiku na watoto wako kwenda kumuona, tena ukaomba sana kupiga picha naye na hata ukampa hela za mchango wako kwa jimbo lake, sasa unapokuja hapa na hizi nale nale against Malecela ambaye unadai ulikuwa unajua toka in the 90s kwamba ni fisadi na wewe hupendi mafisadi sasa mkuu huoni kwamba unakosa credibility?
2. Ya kukamtawa Airport Mwalimu alisema wazi Mwanza kwamba zilikuwa ni dhahabu za Mama Sitti, na Mwinyi wakati huo alikuwa alikuwa Mozambique aliporudi aliulizwa vipi kuhusu maneno ya Mwalimu, Mwinyi akajibu kwa unyenyekevu sana kwamba kama sio Mwalimu yeye asingekua Rais sasa kama kweli amesema hayo basi tunahitaji kujiangalia na kujirekebisha, lakini akasema hawezi kubishana na Mlima Mwalimu, wakati yeye Mwinyi ni kichuguu tu! sasa unaona uongo wako ulipo mkuu!
3. Unasema maneno ya Mrema kuwa kichaa yalianza na Malecela, ukweli ni kwamba yalianzia kwenye kamati ya Sekretariat ya Uenezi ya CCM, ambako Kingunge alikua Mwenyekiti, akishirikiana na Sozigwa aliyekuwa Mkurugenzi wa kampeni za uchaguzi za CCM, walipomaliza kikao hicho ndipo kwa mara ya kwanza Sozigwa akatamka wazi kwamba Mrema ni kichaa anahitaji kutibiwa haraka sana. sasa unaona uongo wako mkuu!
4. Unasema Mwalimu alimuambia Gama kuhusu Malecela, wakati ukweli ni kwamba Mwalimu aliwaambia kamati kuu nzima kwamba kama jina la Malecela linarudi atahamia Zambia na kuwa mkimbizi wa siasa kule, ndipo Siovelwa, Mungai, na Lusinde wakamuomba Malecela aondoe jina lake and he did, sasa unaona uongo wako mkuu ulivyo wazi!
- Punguza jazba mkuu jadili hoja hapa uelimishe taifa badala ya kutema sumu zisizo na faida kwa taifa, wizi ni tabia ya kuzaliwa nayo sio kujifunza ukiangalia viongozi wetu wote mafisadi walikotoka utagundua kwua kote walikowahi kupita wamewahi kuiba. Jaribu kuongea na facts na ukweli mkuu hakuna anyekuzuia kusema anything ila tu kumbuka kwamba ni lazima uwe responsible na unayoyasema, na utajibiwa tu regardless of anything! na sitachoka kukujibu!
Field Marshall Es! = The Real Deal
.
Simpendi John Malecela kutokana na ufisadi wake.
Tangu kuwa mkuu wa wilaya-balozi mpaka uwaziri mkuu.amefisadi sana.
Siwezi nikalazimishwa na wewe mjinga kumpenda malecela.Nina mengi juu ya huyu bwana kama nilivyo na mengi juu ya baba yako fisadi nyangumi.
Unaweza kuwa uliaminiwa sana hapa jf na sasa unapoteza mwelekeo Idiot wewe.
Unipe mimi namba ya fisadi malecela?.wewe mjinga nn?Nitaongea nn na fisadi?wewe ongea naye kwa sababu maongezi yenu mafisadi yako sawa.
Una Quate mwenzio za nn?yeye amekwenda kulala.Quote za kwako tu si unajiona na wewe fisadi mpiganaji?twende tu na domo lako.
Hivi Rostam azizi amekuwa Raisi mpake achunguzwe na Jopo la Majaji, ? na ndio matusi yanguoni hayo kwa judicial system yetu au ni kwamba ame waweka mkononi ndio maana anakuja na idea kama hiyo?
Ahsante mkuu kwa kumbukumbu.Niongeze tu kwa kuweka link ya kile alichonukuliwa na gazeti la Tanzania Daima wakati huo.http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=7423Mkuu
ama kweli mzigo mzito mpe Mnyamwezi. Hapa ni ama kachukua wazo la Zitto Kabwe au walikaa pamoja wakapanga kuwa ndio njia ya kujinasua kwani kitu kama hicho muasisi wake ni Zito.
Hivi mheshimwa kabisa mkubwa wa mhimili mmoja wa dola, hivi kila kitu lazima wewe ujibu au useme?
Hivi mheshimwa kabisa mkubwa wa mhimili mmoja wa dola, hivi kila kitu lazima wewe ujibu au useme?
Hivi mheshimwa kabisa mkubwa wa mhimili mmoja wa dola, hivi kila kitu lazima wewe ujibu au useme?