Ripoti ya Upambanaji wa rushwa na Ufisadi kimataifa - Tanzania yang'ara

Ripoti ya Upambanaji wa rushwa na Ufisadi kimataifa - Tanzania yang'ara

Malawi iliwahi kuwa na Rais ambae alirithi kiti hicho baada ya kifo cha incumbent , baada ya kumaliza muhula wake Rais Banda alikumbwa na kashfa ya ufisadi wa mamilioni ya $$$ zilizoibiwa wakati wa utawala wake!!! Nadhani umeelewa na swali lako kujibiwa!!
Tanzania sio Malawi,
 
View attachment 2098543
=====
Taasisi inayojishughulisha na harakati za kusimamia uwazi na mapambano dhidi ya rushwa na Ufisadi duniani ya " Transparency International " tayari imetoa ripoti yake ya mwaka,

Taasisi hii iliyofanya kazi ya kuchunguza kiasi cha rushwa na Ufisadi kwenye nchi zipatazo 180 duniani kwa kutumia kipimo cha Corruption Perceptions Index ( CPI ) huku Tanzania nayo ikiwemo mwaka 2020|21.

Ripoti iliyotolewa na taasisi hiyo inayoheshimika zaidi duniani kwa kuwa na taarifa za kweli ya Transparency International inaonesha nchi ya Tanzania rushwa na Ufisadi vimepungua kwa kasi hasa kwenye Uongozi huu wa Rais Samia Suluhu Hassan,

Mtakumbuka Tanzania ilipata alama 36 kati ya alama 100 zilizotolewa na taasisi hiyo mwaka 2019|20 huku Tanzania tukishika nafasi ya 94 kati ya nchi 180 zilizochunguzwa mwaka huo,

Kwamujibu wa ripoti iliyotolewa hivi majuzi Tanzania imepanda kwa nafasi saba ( 7 ) toka ile ya 94/180 mwaka 2019|20 hadi kufikia nafasi ya 87/180 huku ikijizolea alama 39 kati ya alama 100 zilizotolewa,

Point to note,
Rushwa duniani kote inazuiwa kwa watu kuwa huru kupitia asasi mbalimbali za kiraia kuweza kupaza sauti kama ilivyo sasa,

Rushwa kamwe huwezi kuipinga kwa kutumia vitisho na tumbuatumbua kwenye hili hata Hayati Dkt John Joseph Pombe Magufuli alichemka sana,
Halafu wewe ni mwepesi mno kupumbazwa na hizi multinational institutions, acha tu tutaongea 2025.
 
Unapinga ripoti za dunia?
Tatizo ni presentation yako imekuwa ya kikuda sana. Ungeweka taarifa ya Amnesty international na mafanikio ya tanzania ya kupanda nafasi 7 toka mwaka 19/20, bila kuingiza hayo makandokando mengine ungeeleweka vizuri tu. Lakini jinsi ulivyowasilisha sasa, lol ......, tuna safari ndefu sana.
 
Hiyo amri ya Raisi Magufuli ya kukataza taasisi binafsi kutoa data mbalimbali zinazohusu Tanzania ilishafutwa au bado?
 
View attachment 2098543
=====
Taasisi inayojishughulisha na harakati za kusimamia uwazi na mapambano dhidi ya rushwa na Ufisadi duniani ya " Transparency International " tayari imetoa ripoti yake ya mwaka,

Taasisi hii iliyofanya kazi ya kuchunguza kiasi cha rushwa na Ufisadi kwenye nchi zipatazo 180 duniani kwa kutumia kipimo cha Corruption Perceptions Index ( CPI ) huku Tanzania nayo ikiwemo mwaka 2020|21.

Ripoti iliyotolewa na taasisi hiyo inayoheshimika zaidi duniani kwa kuwa na taarifa za kweli ya Transparency International inaonesha nchi ya Tanzania rushwa na Ufisadi vimepungua kwa kasi hasa kwenye Uongozi huu wa Rais Samia Suluhu Hassan,

Mtakumbuka Tanzania ilipata alama 36 kati ya alama 100 zilizotolewa na taasisi hiyo mwaka 2019|20 huku Tanzania tukishika nafasi ya 94 kati ya nchi 180 zilizochunguzwa mwaka huo,

Kwamujibu wa ripoti iliyotolewa hivi majuzi Tanzania imepanda kwa nafasi saba ( 7 ) toka ile ya 94/180 mwaka 2019|20 hadi kufikia nafasi ya 87/180 huku ikijizolea alama 39 kati ya alama 100 zilizotolewa,

Point to note,
Rushwa duniani kote inazuiwa kwa watu kuwa huru kupitia asasi mbalimbali za kiraia kuweza kupaza sauti kama ilivyo sasa,

Rushwa kamwe huwezi kuipinga kwa kutumia vitisho na tumbuatumbua kwenye hili hata Hayati Dkt John Joseph Pombe Magufuli alichemka sana,
Mkuu Mwananchi Huru,

Nimekuelewa vizuri sana hasa aya mbili za mwisho,

Nikweli kabisa rushwa inapingwa kwa kuwaacha Whistloblowers huru ili kila wanapoona dalili za rushwa kusema haraka,

Nimekuwa nawaambia Watanzania kama kuna wakati Tanzania imepata Rais Mweledi basi ni sasa,
 
Mbona yeye alishika nafasi ya 97 na Samia kashika nafasi ya 86 au hujasoma vizuri?
Yaani hiyo ni Magufuli effects kiongozi. Mama subiria ripoti yake ya urefu wa kamba. Mimi nampenda sana Mama ila si muadilifu kiasi hicho kwa sababu anakumbatia waovu, yaani badala ya kuanza na serikali yake anaazima, labda kama ni timing ya 2025 ili kundi la jk limpiganie apate urais then awageuke
 
Nikwasababu unaweza kusikia kwamba flani kaomba au kachukua rushwa mkuu wangu,

Soma vizuri andiko langu,
Nonsense
Wanaochukua rushwa huwa wanajitoa hadharani kuwa niko huku nachukuwa rushwa
Uchumi unapumulia mashine mpo humu kuabudu na kusifu for what?

? Umbumbumbu wa mwafrika ni fikra potofu kama hizi
 
Nonsense
Wanaochukua rushwa huwa wanajitoa hadharani kuwa niko huku nachukuwa rushwa
Uchumi unapumulia mashine mpo humu kuabudu na kusifu for what?

? Umbumbumbu wa mwafrika ni fikra potofu kama hizi
Tunamsifu nani? Tunamwabudu nani?
 
Yaani hiyo ni Magufuli effects kiongozi. Mama subiria ripoti yake ya urefu wa kamba. Mimi nampenda sana Mama ila si muadilifu kiasi hicho kwa sababu anakumbatia waovu, yaani badala ya kuanza na serikali yake anaazima, labda kama ni timing ya 2025 ili kundi la jk limpiganie apate urais then awageuke
Daaah,
 
Miezi kumi nafasi saba juu sio jambo dogo WATANZANIA wenzangu
 
Back
Top Bottom