Wewe jamaa ni immature sana. Unajua Marekani na vyombo vyake vya usalama vinavyoheshimika sana vilienda UN vikasema Iraq wana weapon of mass destruction lakini ilikuwa uwongo. Inshort hizi institutions zipo pale kwa ajili ya manufaa yao usidanganyike kirahisi kama a house nigga. Report zao zinasema Tanzania rushwa imepungua lakini naishi ndani ya hii nchi naona na ninapitia uchungu na kadha ya rushwa ninapokuwa polisi,mahakamani, hospitali, halmashauri, tra, maofisini tena ipo nje nje. Let's wind this up, kama unataka kuamini report na research ya kipuuzi iliyotolewa na mzungu well and good. Mimi nasema F the report.