Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,128
- 1,896
- Thread starter
- #81
Tuko pamoja kiongozi, Tunampenda Rais Samia sana,Mkuu Mwananchi Huru,
Nimekuelewa vizuri sana hasa aya mbili za mwisho,
Nikweli kabisa rushwa inapingwa kwa kuwaacha Whistloblowers huru ili kila wanapoona dalili za rushwa kusema haraka,
Nimekuwa nawaambia Watanzania kama kuna wakati Tanzania imepata Rais Mweledi basi ni sasa,