Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,588
- 956
TrueUnajua kusoma?Hiyo ripoti ya kimataifa iliyofanywa na wataalamu wa kupambana na rushwa.
Wewe unakurupuka World Transparency ni shirika linalotambulika na kuheshimika na linapotoa CPI serikali huwa zinaifanyia kazi ripoti yao.
Kuhusu Singapore sikulinganisha bali nilielezea kuhusu ugumu wa kupiga vita rushwa ndio nikatoa mfano wa Singapore.
Jifunze kusoma na uelewe unachosoma.
TZS 1.5T ndio ziliivuruga awamu ya tanoView attachment 2098543
=====
Taasisi inayojishughulisha na harakati za kusimamia uwazi na mapambano dhidi ya rushwa na Ufisadi duniani ya " Transparency International " tayari imetoa ripoti yake ya mwaka,
Taasisi hii iliyofanya kazi ya kuchunguza kiasi cha rushwa na Ufisadi kwenye nchi zipatazo 180 duniani kwa kutumia kipimo cha Corruption Perceptions Index ( CPI ) huku Tanzania nayo ikiwemo mwaka 2020|21.
Ripoti iliyotolewa na taasisi hiyo inayoheshimika zaidi duniani kwa kuwa na taarifa za kweli ya Transparency International inaonesha nchi ya Tanzania rushwa na Ufisadi vimepungua kwa kasi hasa kwenye Uongozi huu wa Rais Samia Suluhu Hassan,
Mtakumbuka Tanzania ilipata alama 36 kati ya alama 100 zilizotolewa na taasisi hiyo mwaka 2019|20 huku Tanzania tukishika nafasi ya 94 kati ya nchi 180 zilizochunguzwa mwaka huo,
Kwamujibu wa ripoti iliyotolewa hivi majuzi Tanzania imepanda kwa nafasi saba ( 7 ) toka ile ya 94/180 mwaka 2019|20 hadi kufikia nafasi ya 87/180 huku ikijizolea alama 39 kati ya alama 100 zilizotolewa,
Point to note,
Rushwa duniani kote inazuiwa kwa watu kuwa huru kupitia asasi mbalimbali za kiraia kuweza kupaza sauti kama ilivyo sasa,
Rushwa kamwe huwezi kuipinga kwa kutumia vitisho na tumbuatumbua kwenye hili hata Hayati Dkt John Joseph Pombe Magufuli alichemka sana,
Wewe jamaa ni immature sana. Unajua Marekani na vyombo vyake vya usalama vinavyoheshimika sana vilienda UN vikasema Iraq wana weapon of mass destruction lakini ilikuwa uwongo. Inshort hizi institutions zipo pale kwa ajili ya manufaa yao usidanganyike kirahisi kama a house nigga. Report zao zinasema Tanzania rushwa imepungua lakini naishi ndani ya hii nchi naona na ninapitia uchungu na kadha ya rushwa ninapokuwa polisi,mahakamani, hospitali, halmashauri, tra, maofisini tena ipo nje nje. Let's wind this up, kama unataka kuamini report na research ya kipuuzi iliyotolewa na mzungu well and good. Mimi nasema F the report.Unajua kusoma?Hiyo ripoti ya kimataifa iliyofanywa na wataalamu wa kupambana na rushwa.
Wewe unakurupuka World Transparency ni shirika linalotambulika na kuheshimika na linapotoa CPI serikali huwa zinaifanyia kazi ripoti yao.
Kuhusu Singapore sikulinganisha bali nilielezea kuhusu ugumu wa kupiga vita rushwa ndio nikatoa mfano wa Singapore.
Jifunze kusoma na uelewe unachosoma.
Vipi ile ya mwaka jana ilikuwa sahihi?Wewe jamaa ni immature sana. Unajua Marekani na vyombo vyake vya usalama vinavyoheshimika sana vilienda UN vikasema Iraq wana weapon of mass destruction lakini ilikuwa uwongo. Inshort hizi institutions zipo pale kwa ajili ya manufaa yao usidanganyike kirahisi kama a house nigga. Report zao zinasema Tanzania rushwa imepungua lakini naishi ndani ya hii nchi naona na ninapitia uchungu na kadha ya rushwa ninapokuwa polisi,mahakamani, hospitali, halmashauri, tra, maofisini tena ipo nje nje. Let's wind this up, kama unataka kuamini report na research ya kipuuzi iliyotolewa na mzungu well and good. Mimi nasema F the report.
Toka nianze kuingiza kipato, ninaombwa rushwa kwenye hii nchi.Vipi ile ya mwaka jana ilikuwa sahihi?
Kwanini unatoa? Kwanini huripoti?Toka nianze kuingiza kipato, ninaombwa rushwa kwenye hii nchi.
Huwezi kupambana na Rushwa wakati Serikali imekumbatia rushwa.Kwanini unatoa? Kwanini huripoti?
Serikali ni watu mkuu be specificHuwezi kupambana na Rushwa wakati Serikali imekumbatia rushwa.
Wewe na tathmini yako ya Ufipa lazima useme hivi,Wewe upo nchini huitaji kuambiwa kwamba rushwa imeshuka wakati unaona vinginevyo thus either walioweka ripoti wamepwaya au rushwa imezidi kiasi cha kuweza kupika ripoti za kimataifa
Cheki my previous posts nimekuwa specific, hata hivyo toka mwaka uanze nimeombwa rushwa na Traffic police, TRA, Osha na watu wa halmashauri. Imeingia kichwani hiyo. Stop playing dumb bro au nyie ni waajiriwa mnaosubiri mishahara,hampiti maisha kama sisi? Please usilete habari za kwenda kuripoti wakati kuna ukiritimba mrefu suala linapofika polisi na mahakamani wengine hatuna muda wa kupoteza masaa ambayo ningeingiza pesa ya maana kisa laki 5. Hii nchi toka Rais hadi mwenyekiti wa mtaa hawana nia wala ubunifu wa kuzuia rushwa sababu rushwa imekuwa kama posho za wafanyakazi wa umma. Ina ni piss off hata kueleza haya mambo kwa mswahili anaekaa Tanzania ni kama vile mnaishi kwenye bubble.Serikali ni watu mkuu be specific
Nadhani leo umemsikia RC Hapi anavyovyolamika kwa Rais jinsi wakuu wa idara wa halmashauri za Mara wanavyokula rushwa (wana syndicate) lakini hana la kuwafanya huyo ni RC.. Je sisi turipoti wapi kama system nzima ni mbovu hivyo.Kwanini unatoa? Kwanini huripoti?
daahTatizo ni presentation yako imekuwa ya kikuda sana. Ungeweka taarifa ya Amnesty international na mafanikio ya tanzania ya kupanda nafasi 7 toka mwaka 19/20, bila kuingiza hayo makandokando mengine ungeeleweka vizuri tu. Lakini jinsi ulivyowasilisha sasa, lol ......, tuna safari ndefu sana.
Daaahmagufuri ndie alikuwa FISADI NAMBA MOJA
Kazi kwelikweli,Mr. Slow ..Nenda polisi,halmashauri au hospitali ya karibu utapata jibu au kama vipi mtembele mwenyekiti wako wa mtaa kwa huduma nyepesi kama mhuri tu utapata jibu.
Tanzania iko vizuri sana wakati huu,View attachment 2098543
=====
Taasisi inayojishughulisha na harakati za kusimamia uwazi na mapambano dhidi ya rushwa na Ufisadi duniani ya " Transparency International " tayari imetoa ripoti yake ya mwaka,
Taasisi hii iliyofanya kazi ya kuchunguza kiasi cha rushwa na Ufisadi kwenye nchi zipatazo 180 duniani kwa kutumia kipimo cha Corruption Perceptions Index ( CPI ) huku Tanzania nayo ikiwemo mwaka 2020|21.
Ripoti iliyotolewa na taasisi hiyo inayoheshimika zaidi duniani kwa kuwa na taarifa za kweli ya Transparency International inaonesha nchi ya Tanzania rushwa na Ufisadi vimepungua kwa kasi hasa kwenye Uongozi huu wa Rais Samia Suluhu Hassan,
Mtakumbuka Tanzania ilipata alama 36 kati ya alama 100 zilizotolewa na taasisi hiyo mwaka 2019|20 huku Tanzania tukishika nafasi ya 94 kati ya nchi 180 zilizochunguzwa mwaka huo,
Kwamujibu wa ripoti iliyotolewa hivi majuzi Tanzania imepanda kwa nafasi saba ( 7 ) toka ile ya 94/180 mwaka 2019|20 hadi kufikia nafasi ya 87/180 huku ikijizolea alama 39 kati ya alama 100 zilizotolewa,
Point to note,
Rushwa duniani kote inazuiwa kwa watu kuwa huru kupitia asasi mbalimbali za kiraia kuweza kupaza sauti kama ilivyo sasa,
Rushwa kamwe huwezi kuipinga kwa kutumia vitisho na tumbuatumbua kwenye hili hata Hayati Dkt John Joseph Pombe Magufuli alichemka sana,
Eti mwananchi huru. Acha upumbavu wewe. Una uhuru gani mlamba viatu mkubwa wewe. Ameng'ara nini. Amezuia rushwa lini hadi atambulike? Mama yenu anahamasisha watu wale rushwa kwa urefu wa kamba zao halafu unaleta uharo wako hapa?View attachment 2098543
=====
Taasisi inayojishughulisha na harakati za kusimamia uwazi na mapambano dhidi ya rushwa na Ufisadi duniani ya " Transparency International " tayari imetoa ripoti yake ya mwaka,
Taasisi hii iliyofanya kazi ya kuchunguza kiasi cha rushwa na Ufisadi kwenye nchi zipatazo 180 duniani kwa kutumia kipimo cha Corruption Perceptions Index ( CPI ) huku Tanzania nayo ikiwemo mwaka 2020|21.
Ripoti iliyotolewa na taasisi hiyo inayoheshimika zaidi duniani kwa kuwa na taarifa za kweli ya Transparency International inaonesha nchi ya Tanzania rushwa na Ufisadi vimepungua kwa kasi hasa kwenye Uongozi huu wa Rais Samia Suluhu Hassan,
Mtakumbuka Tanzania ilipata alama 36 kati ya alama 100 zilizotolewa na taasisi hiyo mwaka 2019|20 huku Tanzania tukishika nafasi ya 94 kati ya nchi 180 zilizochunguzwa mwaka huo,
Kwamujibu wa ripoti iliyotolewa hivi majuzi Tanzania imepanda kwa nafasi saba ( 7 ) toka ile ya 94/180 mwaka 2019|20 hadi kufikia nafasi ya 87/180 huku ikijizolea alama 39 kati ya alama 100 zilizotolewa,
Point to note,
Rushwa duniani kote inazuiwa kwa watu kuwa huru kupitia asasi mbalimbali za kiraia kuweza kupaza sauti kama ilivyo sasa,
Rushwa kamwe huwezi kuipinga kwa kutumia vitisho na tumbuatumbua kwenye hili hata Hayati Dkt John Joseph Pombe Magufuli alichemka sana,
Anasifiwa aliwe. Vya mjinga huliwa na mwerevuUnapinga ripoti za dunia?
FactRushwa ni mfumo tu ndio unaweza kuidhibiti sio vitisho,
Utumwa huu kijana. Shida yenu nini? Au hamkwrnda shule sawa sawa?View attachment 2098543
=====
Taasisi inayojishughulisha na harakati za kusimamia uwazi na mapambano dhidi ya rushwa na Ufisadi duniani ya " Transparency International " tayari imetoa ripoti yake ya mwaka,
Taasisi hii iliyofanya kazi ya kuchunguza kiasi cha rushwa na Ufisadi kwenye nchi zipatazo 180 duniani kwa kutumia kipimo cha Corruption Perceptions Index ( CPI ) huku Tanzania nayo ikiwemo mwaka 2020|21.
Ripoti iliyotolewa na taasisi hiyo inayoheshimika zaidi duniani kwa kuwa na taarifa za kweli ya Transparency International inaonesha nchi ya Tanzania rushwa na Ufisadi vimepungua kwa kasi hasa kwenye Uongozi huu wa Rais Samia Suluhu Hassan,
Mtakumbuka Tanzania ilipata alama 36 kati ya alama 100 zilizotolewa na taasisi hiyo mwaka 2019|20 huku Tanzania tukishika nafasi ya 94 kati ya nchi 180 zilizochunguzwa mwaka huo,
Kwamujibu wa ripoti iliyotolewa hivi majuzi Tanzania imepanda kwa nafasi saba ( 7 ) toka ile ya 94/180 mwaka 2019|20 hadi kufikia nafasi ya 87/180 huku ikijizolea alama 39 kati ya alama 100 zilizotolewa,
Point to note,
Rushwa duniani kote inazuiwa kwa watu kuwa huru kupitia asasi mbalimbali za kiraia kuweza kupaza sauti kama ilivyo sasa,
Rushwa kamwe huwezi kuipinga kwa kutumia vitisho na tumbuatumbua kwenye hili hata Hayati Dkt John Joseph Pombe Magufuli alichemka sana,