Ripoti ya Upambanaji wa rushwa na Ufisadi kimataifa - Tanzania yang'ara

Machawa kazini mama kuwa makini kwenye msafara wa mamba kenge pia wamo.
 
Eti mwananchi huru. Acha upumbavu wewe. Una uhuru gani mlamba viatu mkubwa wewe. Ameng'ara nini. Amezuia rushwa lini hadi atambulike? Mama yenu anahamasisha watu wale rushwa kwa urefu wa kamba zao halafu unaleta uharo wako hapa?
daaah
 
Safi sana Mama Samia,
 
Mtu unaandika Kama vile hujawahi kufika Tanzania?
Tuulize sisi tukiozaliwa, kukulia na kuishi Tanzania.
Wewe unamuamini beberu anayekuja kukaa hapa tz siku tano Tena akiwa kwenye hoteli ya Bei mbaya akupe taarifa feki?
Tuulize tukujuze. Nchi inadidimia. Siku ukipata muda tembelea tanroads uone wachina wanavyonunua mainjinia.
 
Utafiti hupingwa kwa Utafiti,

Wewe unasemaje?
 
Ripoti iliyotolewa na taasisi hiyo inayoheshimika zaidi duniani kwa kuwa na taarifa za kweli ya Transparency International inaonesha nchi ya Tanzania rushwa na Ufisadi vimepungua kwa kasi hasa kwenye Uongozi huu wa Rais Samia Suluhu Hassan,
Wewe ni mwongo na chawa wa Samia tu. Data zilizotumika kutathmini hali ya rushwa nchini (2021) ni za miaka miwili nyuma (soma methodology). Hii ripoti inaakisi matokeo ya utawala wa mwendazake, siyo Hangaya.
Aidha, Tanzania imepanda nafasi moja tu kutoka ripoti ya 2020. Data hizi hapa:
TanzaniaTZASSA39 (2021)38 (2019)136 (2018)3
Hayo mambo ya uchawa acha!
 

Umeisoma hiyo ripoti vizuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…