RIPOTI YA SIEIJI;
Serikali ilipanga kukusanya Trillioni 33.105 lakini ilikusanya Trillioni 31.519 sawa na 95% - CAG
kama ufaulu huu ni A plus.
Haijawahi kutokea Serikali kukusanya 95% ya matarajio ya kibajeti.
Kumchafua kote Hayati Rais Magufuli kumbe sababu kapata A.
Dunia ina mambo sana.
Pumzika kwa amani Rais Magufuli.