Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Marehemu hapumui huko aliko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama sikosei Magufuli alipata PHD yake 2009! Sijui kipindi hiki alikuwa na ushawishi hupi katika siasa!
Na watapata tabu SANANimekubali Magufuli alikuwa sio tishio tu nje ya nchi,hasa ndani ya nchi,hakika mtateseka sana na mzimu wake
Ni kitu gani transformative alichofanya magufuli? Kukopa hela na kujenga au kununua vitu ni kazi inayoweza kufanywa na yeyote.Kwa mambo aliyoyafanya makubwa ya kimaendeleo mh magufuli.kwa mwenendo was awamu hii ya sita labda itawale miaka 30 ndo ifikie pale alipofikia magufuli.miradi mikubwa kama sgr,bwawa LA nyeree zilikuwa no za kumalizia tu lakini kwa kuwa hii awamu ya wazembe itatuchukua miaka 30 kuimaliza
Propaganda zipi, hizo flyover nyingi zilifunguliwa kwa kuharakishwa wakandarasi, mfano ni ile ya Tazara.Hapa tukubali kutokubaliana.
Hizi ni propaganda tupu. Miradi kipindi cha magufuli ilikuwa na spidi ya kawaida kabisa isipokuwa yeye ndio alikuwa na makelele kila mahali ili aonekane anafanya kazi peke yake.
Hao wengine uliowataja walipotezwa kama Ben Saanane?
Miradi mnayoitaja hakuna hata mmoja ambao yeye ni muasisi wake na wala hakuna hata mmoja uliokamilika kwa asilimia mia moja wakati anakufa (ukiacha madaraja ya tazara na ubungo ambayo yalikuwa na mkono wa japan na world bank).Propaganda zipi, hizo flyover nyingi zilifunguliwa kwa kuharakishwa wakandarasi, mfano ni ile ya Tazara
Lissu kapona kwa neema ya Mungu tu lakini na yeye alikuwa anamalizwa.Nakushangaa unapotumia kigezo cha kupotezwa pekee ili kuhalalisha hoja yako isiyo na mantiki ili kumzungumzia Ben, mbona yupo Lissu aliyepigwa risasi nyingi tu kisa kupingana na mawazo ya Magufuli? humkumbuki?!
Asante akili kubwa, so umejiona unajua na ni wa maana kisa typing error? Wee mpuuzi kama wapuuzi wengine.Soku????????? Mkuu ficha ujinga wako
Prospectus ya UDSM ya mwaka 2006 kifungu 2.7.7 kilisema mwanafunzi wa full time wa PhD minimum muda wa kumaliza ni miaka 3 na mwanafunzi wa kutoka kazini ni miaka 5.Kwa kile kichwa cha Magufuli huwa siamini kama PhD yake ilikuwa feki, alionekana kuwa "active" kiakili zaidi ya viongozi wengi serikalini wakati wake, alikuwa ni mtu aliyependa kujisomea mpaka akatuambia alikuwa akilala na ma - file kitandani.
Alipenda kuishughulisha akili yake na hili lilionekana maeneo mengi, kwa namna alivyokuwa anakagua miradi, maswali aliyokuwa anawauliza makandarasi nk..
Huwa naona kinachowafanya wengi waamini PhD ya Magufuli ilikuwa feki, ni kwasababu hakumpa Saanane nafasi ya kuihakiki, na hii kwangu sio kwasababu alikuwa hajiamini/hauamini ubora wa PhD yake, hapana.
Ukweli ni kwamba, Magufuli wakati wake hakuwa anapenda upinzani kwenye jambo lolote, mifano ipo mingi; hata Lissu, Nape, na wengine wanalijua hili, kwani nao yaliwakuta walipojaribu kwenda kinyume na Magufuli, hakuwa Ben pekee aliyeathirika alipohoji.
Soma na wewe mkuu upate ya kwako isiyo na mashaka. Au kama tayari unayo, lisaidie taifa lako kupambana na vita ya uchumi na kuleta maendeleo.Kama PhD haina umuhimu ni kwanini yeye aliipata kwa njia zenye mashaka makubwa?
Ndugu yangu ss watu weusi ni tatizo sana ulimwenguni hebu fikiria watu wako viwandani wanatengeneza midege mikubwa mikubwa ss tunajadili na kuhangaika na marehemu.Sijui kuna nn nchi hii.We utakuwa na Mimba ya magufuli unamfuatilia MTU aliyefariki siku nyingi Acha huo ushamba.
Kadri navyozidi kukusoma, nakuona umetawaliwa na chuki na hasira kwa Magufuli isiyo na maana mpaka unashindwa kufikiria mambo madogo.Miradi mnayoitaja hakuna hata mmoja ambao yeye ni muasisi wake na wala hakuna hata mmoja uliokamilika kwa asilimia mia moja wakati anakufa (ukiacha madaraja ya tazara na ubungo ambayo yalikuwa na mkono wa japan na world bank).
Halafu kama mnavyoona miradi hiyo inaendelea kama kawaida. Mbwembwe zote za magufuli bado kwa miaka mitano hakuweza kumaliza sgr kutoka dar hadi hapo moro tu.
Lissu kapona kwa neema ya Mungu tu lakini na yeye alikuwa anamalizwa.
Shahidi mzee Ali Hassan Mwinyi,rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania awamu ya pili,alikiri hadharani na ikumbukwe huyu mzee ni mcha mungu sanaKwa mambo aliyoyafanya makubwa ya kimaendeleo mh magufuli.kwa mwenendo was awamu hii ya sita labda itawale miaka 30 ndo ifikie pale alipofikia magufuli.miradi mikubwa kama sgr,bwawa LA nyeree zilikuwa no za kumalizia tu lakini kwa kuwa hii awamu ya wazembe itatuchukua miaka 30 kuimaliza
Kwani wewe hautakufa ?Pamoja na kuwa tishio lakini yeye ndio amekufa na aliowatisha wanaendelea kwa neema ya Mungu.
Huyo ni hawala yake ,hawezi mgusaBadala ya kufuatilia madudu yanayoendelea saa hizi kama ufisadi,kupanda Kwa gharama ya maisha,tozo zinazoanzishwa ovyoovyo ,kupanda kwa bei ya mafuta hivyo kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu unafuatilia mambo yasiyokuwa na msingi.haya fuatilia pia doctorate ya Rais mmoja mstaafu ya kupewa bure.
PhD ya Magufuli ni FAMBA au FEKERO kwa lugha ya mjini. Immediately ilipohojiwa na Ben Saanane mwaka 2016, management ya UDSM iliitoa kwenye shelves za makataba kwenye Idara husika.Kichwa cha habari na maelezo mbona tofauti?
Sisi tunajua nyie mliyokula hela za mabeberu kumchafua jpm mnadaiwa chenji maana mumefeli kabisa.
Nani utamwambia kuhusu Phd ya magufuli wakati kaiona kwa vitendo?
Kauli kama hizi huwa zinanisikitisha sana ninapozisoma kutoka kwa watu ambao wanasema wamesoma.mashaka, angekuwepo hadi leo. Alikuwa na akili sana. Nahisi kuna watu siku zijazo wanaweza kuomba kufanya utafiti wa akili za huyu mwamba. Wenye akili tu ndio waliweza kumuelewa, wajinga si rahisi kumuelewa
Sawa ila na wewe punguza chuki Kwa mtu ambaye habari yake imeshaisha.lakini samahani Kwa lugha yangu.Kijana ulikosa malezi ya baba? Kwanini unatukana watu usiowafahamu? Jenga hoja, acha vihoja.