Risasi 15 kwa sekunde 1, Bunduki hatari sana

Risasi 15 kwa sekunde 1, Bunduki hatari sana

Niliwahi kutumia/kupiga MP5 nikiwa National Service, risasi zinawekwa kwenye magazine sikuwahi kuona mkanda wa risasi unawekwa kwenye MP5 - sina uhakika kama sifa zinazo tolewa hapa zina ukweli wowote - nilipiga full burst lakini it didn't register to me kwamba ina uwezo wa kupiga risasi 15 per second!!

Unless kama kuna MP5 series nyingine hapo sawa, lakini ungesema labda bunduki aina ya UZZI ndiyo yenye uwezo kama huo hapo ninge kubaliana nawe.
Umetumia SMG au SRA wewe usitudanganyee
 
Nani atanipa ajira ya ujambazi wa kutumia silaha za moto jamani
1520827cec7fb2255f7875dd9a37fb3f.jpg

Zinakuhusu, maana naona mate yanakutoka kila ukipita Segerea
 
Tayari imeshakuwa ya kizamani sahv kuna MP5K hata hapa tz zipo

Mkuu ndiyo maana niliongezea neno "labda kama nilitumia/piga MP5 series nyingine" i.e ya zamani kidogo.

Kuna baadhi ya Watanzania sijui vichwa vyao viko wired vipi, mtu na akili zake timamu anadiriki kusema eti nadanganya!!
Yaani kwa kuwa yeye ajawahi kuona/tumia MP5 basi anafikiri Watanzania wengine hawajawahi, na hii ni tabia iliyo jengeka kwa baadhi ya Watanzania, wana tabia ya kubishi bishi tu wanabishana na watu ambao wala awawajui vizuri backgrounds zao, badala ya kujifunza kitu kutoka kwa Watu wenye exposure wao wanaishia kubeza beza watu.

Mwingine anakuja na hoja eti labda nazungumzia SAR as if alikuwepo!!! FYI nimetumia/piga SAR, G3, MP5, SMG, LMG silaha ambazo sijawahi kuzijaribu ni RPG na handgranade.
 
Mkuu ndiyo maana niliongezea neno "labda kama nilitumia/piga MP5 series nyingine" i.e ya zamani kidogo.

Kuna baadhi ya Watanzania sijui vichwa vyao viko wired vipi, mtu na akili zake timamu anadiriki kusema eti nadanganya!!
Yaani kwa kuwa yeye ajawahi kuona/tumia MP5 basi anafikiri Watanzania wengine hawajawahi, na hii ni tabia iliyo jengeka kwa baadhi ya Watanzania, wana tabia ya kubishi bishi tu wanabishana na watu ambao wala awawajui vizuri backgrounds zao, badala ya kujifunza kitu kutoka kwa Watu wenye exposure wao wanaishia kubeza beza watu.

Mwingine anakuja na hoja eti labda nazungumzia SAR as if alikuwepo!!! FYI nimetumia/piga SAR, G3, MP5, SMG, LMG silaha ambazo sijawahi kuzijaribu ni RPG na handgranade.
We muongo kuruta upewe MP5 hahahahaha
 
Mkuu ndiyo maana niliongezea neno "labda kama nilitumia/piga MP5 series nyingine" i.e ya zamani kidogo.

Kuna baadhi ya Watanzania sijui vichwa vyao viko wired vipi, mtu na akili zake timamu anadiriki kusema eti nadanganya!!
Yaani kwa kuwa yeye ajawahi kuona/tumia MP5 basi anafikiri Watanzania wengine hawajawahi, na hii ni tabia iliyo jengeka kwa baadhi ya Watanzania, wana tabia ya kubishi bishi tu wanabishana na watu ambao wala awawajui vizuri backgrounds zao, badala ya kujifunza kitu kutoka kwa Watu wenye exposure wao wanaishia kubeza beza watu.

Mwingine anakuja na hoja eti labda nazungumzia SAR as if alikuwepo!!! FYI nimetumia/piga SAR, G3, MP5, SMG, LMG silaha ambazo sijawahi kuzijaribu ni RPG na handgranade.
Mkuu umewahi kuua watu wangapi hadi leo??
 
Mkuu ndiyo maana niliongezea neno "labda kama nilitumia/piga MP5 series nyingine" i.e ya zamani kidogo.

Kuna baadhi ya Watanzania sijui vichwa vyao viko wired vipi, mtu na akili zake timamu anadiriki kusema eti nadanganya!!
Yaani kwa kuwa yeye ajawahi kuona/tumia MP5 basi anafikiri Watanzania wengine hawajawahi, na hii ni tabia iliyo jengeka kwa baadhi ya Watanzania, wana tabia ya kubishi bishi tu wanabishana na watu ambao wala awawajui vizuri backgrounds zao, badala ya kujifunza kitu kutoka kwa Watu wenye exposure wao wanaishia kubeza beza watu.

Mwingine anakuja na hoja eti labda nazungumzia SAR as if alikuwepo!!! FYI nimetumia/piga SAR, G3, MP5, SMG, LMG silaha ambazo sijawahi kuzijaribu ni RPG na handgranade.
Twende taratibu kidogo maana kuna watu wazima humu pengine kukushinda wewe
Ulikuwa kikosi gani, intake gani, mkuu wako wa kikosi alikuwa na cheo gani na alikuwa anaitwa nani?
Op gani? Maana kwa vitu unavyovieleza hapa napata ukakasi labda uje uniambie ulikuwa MT baadae ukakimbia jeshi kidogo nitamuelewa.,,,,
Pia labda useme ulishaenda/kupelekwa kozi maalum nje ya nchi...
Kinyume na hapo unakaribia kutudanganya,,,uniwie radhi sana
 
Twende taratibu kidogo maana kuna watu wazima humu pengine kukushinda wewe
Ulikuwa kikosi gani, intake gani, mkuu wako wa kikosi alikuwa na cheo gani na alikuwa anaitwa nani?
Op gani? Maana kwa vitu unavyovieleza hapa napata ukakasi labda uje uniambie ulikuwa MT baadae ukakimbia jeshi kidogo nitamuelewa.,,,,
Pia labda useme ulishaenda/kupelekwa kozi maalum nje ya nchi...
Kinyume na hapo unakaribia kutudanganya,,,uniwie radhi sana
Pre info huyu jamaa ni muhaya, according to his/her name, so usisumbuke nae, tunawajua
 
Mkuu ndiyo maana niliongezea neno "labda kama nilitumia/piga MP5 series nyingine" i.e ya zamani kidogo.

Kuna baadhi ya Watanzania sijui vichwa vyao viko wired vipi, mtu na akili zake timamu anadiriki kusema eti nadanganya!!
Yaani kwa kuwa yeye ajawahi kuona/tumia MP5 basi anafikiri Watanzania wengine hawajawahi, na hii ni tabia iliyo jengeka kwa baadhi ya Watanzania, wana tabia ya kubishi bishi tu wanabishana na watu ambao wala awawajui vizuri backgrounds zao, badala ya kujifunza kitu kutoka kwa Watu wenye exposure wao wanaishia kubeza beza watu.

Mwingine anakuja na hoja eti labda nazungumzia SAR as if alikuwepo!!! FYI nimetumia/piga SAR, G3, MP5, SMG, LMG silaha ambazo sijawahi kuzijaribu ni RPG na handgranade.
Achana nao hao, mi mwenyewe nimeishaitumia, hiyo na uzi zinataka kufanana kitabia, sema hiyo ina mtetemo sana, kwa maana ukiitumia hiyo na ukiitumia uzi zinapishana kidogo kwenye [emoji457]
 
Back
Top Bottom