Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,912
amendment's
Haaaa haaaaaa, nimecheka sana.
Mimi sijui, nimekopi na kupest
Haaaa haaaaaa, nimecheka sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sijui, nimekopi na kupest
Taja kikosi au force namba ya kikosi acha uongoZiko zingine tunazo kikosini
Ukijulishwa utakapoipata usisahau kunijuZa namimi mkUuKatika bunduki hii ndo bunduki sasa..wapi naweza ipata?
Zinapatikana wapi mkUuNiliwahi kutumia/kupiga MP5 nikiwa National Service, risasi zinawekwa kwenye magazine sikuwahi kuona mkanda wa risasi unawekwa kwenye MP5 - sina uhakika kama sifa zinazo tolewa hapa zina ukweli wowote - nilipiga full burst lakini it didn't register to me kwamba ina uwezo wa kupiga risasi 15 per second!!
Unless kama kuna MP5 series nyingine hapo sawa, lakini ungesema labda bunduki aina ya UZZI ndiyo yenye uwezo kama huo hapo ninge kubaliana nawe.
Im young and im rich + im boujeeNiliwahi kutumia/kupiga MP5 nikiwa National Service, risasi zinawekwa kwenye magazine sikuwahi kuona mkanda wa risasi unawekwa kwenye MP5 - sina uhakika kama sifa zinazo tolewa hapa zina ukweli wowote - nilipiga full burst lakini it didn't register to me kwamba ina uwezo wa kupiga risasi 15 per second!!
Unless kama kuna MP5 series nyingine hapo sawa, lakini ungesema labda bunduki aina ya UZZI ndiyo yenye uwezo kama huo hapo ninge kubaliana nawe.
Bro ujue usipanic sisi tunachouliza ni wapi? Ulipopiga hiyo mp5 na mazaga mengine isipokuwa rpg? FULL STOPMkuu ndiyo maana niliongezea neno "labda kama nilitumia/piga MP5 series nyingine" i.e ya zamani kidogo.
Kuna baadhi ya Watanzania sijui vichwa vyao viko wired vipi, mtu na akili zake timamu anadiriki kusema eti nadanganya!!
Yaani kwa kuwa yeye ajawahi kuona/tumia MP5 basi anafikiri Watanzania wengine hawajawahi, na hii ni tabia iliyo jengeka kwa baadhi ya Watanzania, wana tabia ya kubishi bishi tu wanabishana na watu ambao wala awawajui vizuri backgrounds zao, badala ya kujifunza kitu kutoka kwa Watu wenye exposure wao wanaishia kubeza beza watu.
Mwingine anakuja na hoja eti labda nazungumzia SAR as if alikuwepo!!! FYI nimetumia/piga SAR, G3, MP5, SMG, LMG silaha ambazo sijawahi kuzijaribu ni RPG na handgranade.
Ukiwa mtetea (baada ya kutoka kwenye ukifaranga) utaachaBangi mbaya sana
Fatilia mambo acha kubisha kitoto. Kuna link nimetupia kaisome vizuri weweHUU NI UONGO WA KIWANGO CHA ELIMU YA CHEKECHEA. SEKUNDE MOJA UNAIFAHAM WEWE?
Duh jamaa ni noma wale ila nazan kuwa sniper mzuri ni lazima ujue sana hesabuNataka kitu ya sniper kama ile ya kwenye 'enemy at the gates'...au hata ile ya 'saving private ryan'..kama gobole ila mziki wake aibu
Kambi gani mlipewa mtumie MP5 kwenye mafunzo ya JKT?Niliwahi kutumia/kupiga MP5 nikiwa National Service, risasi zinawekwa kwenye magazine sikuwahi kuona mkanda wa risasi unawekwa kwenye MP5 - sina uhakika kama sifa zinazo tolewa hapa zina ukweli wowote - nilipiga full burst lakini it didn't register to me kwamba ina uwezo wa kupiga risasi 15 per second!!
Unless kama kuna MP5 series nyingine hapo sawa, lakini ungesema labda bunduki aina ya UZZI ndiyo yenye uwezo kama huo hapo ninge kubaliana nawe.
Umeenda mbali sana mkuu, aseme tu ni Kambi ipi walipewa MP5 kwa ajlili ya mazoezi ya Service Man, ili hali kuna Ma_Private hadi coplo wa Jeshi wameishia isikia tu hiyo silahaMkuu National Service ulipigia Israel au wapi wanakotumia MP5?
Bado hakuna kambi ya JKT inayoruhusiwa kutumia silaha nzito za kivita kwenye mazoezi ya vijana JKTNational service ya nchi gani inayotumia hiyo? mimi nadhani ulitumia AK 47.
Kama hajawahi shika/tumia RPG na Hand Grenade unawezaje sema alikuwa MT?Twende taratibu kidogo maana kuna watu wazima humu pengine kukushinda wewe
Ulikuwa kikosi gani, intake gani, mkuu wako wa kikosi alikuwa na cheo gani na alikuwa anaitwa nani?
Op gani? Maana kwa vitu unavyovieleza hapa napata ukakasi labda uje uniambie ulikuwa MT baadae ukakimbia jeshi kidogo nitamuelewa.,,,,
Pia labda useme ulishaenda/kupelekwa kozi maalum nje ya nchi...
Kinyume na hapo unakaribia kutudanganya,,,uniwie radhi sana
Wenzio wana andika facts wewe bado unahisi?Nilipita jkt miaka hiyooooo! Nahisi kilichoandikwa ni tofauti na bunduki iliyopo na hi bunduki magazine yake haiwezi beba risasi 100 na kwa hesabu ya sekunde 1 marisasi yote hayo haingii akilini hata teknolojia I advance kiasi gani labda kwa dkk naamini hata return spring mecanizm iwe nzito kiasi gani kusukuma kokin handle kwa kasi hiyo ya sek. Sipati picha labda kila risasi iwe na balo yake na zipigwe kwa wakati mmoja
Heckler & Koch MP5 - WikipediaHUU NI UONGO WA KIWANGO CHA ELIMU YA CHEKECHEA. SEKUNDE MOJA UNAIFAHAM WEWE?
Nakubaliana na wewe,,, bunduki za MP5 hazipo kwenye series za bunduki za kutumia mkanda wa risasi,,,,tenyewe inatumia magazine inayobeba risasi 30,,,, na haina uwezo wa kupiga half a magazine per secondNiliwahi kutumia/kupiga MP5 nikiwa National Service, risasi zinawekwa kwenye magazine sikuwahi kuona mkanda wa risasi unawekwa kwenye MP5 - sina uhakika kama sifa zinazo tolewa hapa zina ukweli wowote - nilipiga full burst lakini it didn't register to me kwamba ina uwezo wa kupiga risasi 15 per second!!
Unless kama kuna MP5 series nyingine hapo sawa, lakini ungesema labda bunduki aina ya UZZI ndiyo yenye uwezo kama huo hapo ninge kubaliana nawe.
Sijaamua kuweka bango Niko wapi mkuu ila nna elimu ya kutosha kuhusu hilo.Wenzio wana andika facts wewe bado unahisi?
JKT mlifundishwa silaha kidogo sana, hamjafundishwa juu ya uwezo wa hizi silaha kwa mapana yake
Huko JKT silaha zinatumika kwenye mafunzo hazi zidi 10 katika aina za silaha tunazo miliki kama taifa, na hata zile tunazo pata zituma kwenye mission za peace keeping