Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,572
Sijabishia elimu yako, nacho kikataa ni matumizi ya MP5 kwenye makambi ya JKTSijaamua kuweka bongo Niko wapi mkuu ila nna elimu ya kutosha kuhusu hilo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijabishia elimu yako, nacho kikataa ni matumizi ya MP5 kwenye makambi ya JKTSijaamua kuweka bongo Niko wapi mkuu ila nna elimu ya kutosha kuhusu hilo.
Ulikua kambi gani ya jkt iliyokua na hiyo bunduki?,JkT wana G3,SAR na Ak 47,hebu kumbuka vizuri utakua umechanganya somewhereNiliwahi kutumia/kupiga MP5 nikiwa National Service, risasi zinawekwa kwenye magazine sikuwahi kuona mkanda wa risasi unawekwa kwenye MP5 - sina uhakika kama sifa zinazo tolewa hapa zina ukweli wowote - nilipiga full burst lakini it didn't register to me kwamba ina uwezo wa kupiga risasi 15 per second!!
Unless kama kuna MP5 series nyingine hapo sawa, lakini ungesema labda bunduki aina ya UZZI ndiyo yenye uwezo kama huo hapo ninge kubaliana nawe.
Unaweza nambia silaha rasmi zinazotumika hapa nchini ktk vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, na kama kipo ni wakati gani inatumika,na kwanini,je kwa uzoefu wako hata hivi vyombo vyetu viendapo op. Yyt ni silaha gani rasmi huko waendako?Sijabishia elimu yako, nacho kikataa ni matumizi ya MP5 kwenye makambi ya JKT
Bange.....Katika bunduki hii ndo bunduki sasa..wapi naweza ipata?
Malaika yupo huyo asiyeweza? Hata yule wa kuzima mitandao yote hawezi? Itakuwa na utani na maharage pondamali juma wewe sio bure.Dah... Shabaha nzuri? Ulenge Shabaha mara 900 kwa dakika.... mara 15 kwa sekunde...hata malaika hawezi[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Mimi naomba nipatiwe hio nizame mtaani kusaka mavumba maana kwa usawa huuu wa kusitisha ajira Naona njia rahisi ni kuipata hio kitu.Wakitaka kukuarrest itabidi wakae mita 300 kwa usalama wao
Sijazidisha chochote. Soma vizuri, kuna series, MP5K ni risasi 15 per secondHeckler & Koch MP5 - Wikipedia
Soma kwenye rate of fire, mtoa mada kazidisha kidogo lakini ukweli ni kwamba kwa sekunde moja inaachia risasi 13 hadi 14.
The MP5 is a 9mm sub machine gun. It's compactness, accuracy and reliability has made it a favorite of Special Operations units the world over for more than 3 decades.Niliwahi kutumia/kupiga MP5 nikiwa National Service, risasi zinawekwa kwenye magazine sikuwahi kuona mkanda wa risasi unawekwa kwenye MP5 - sina uhakika kama sifa zinazo tolewa hapa zina ukweli wowote - nilipiga full burst lakini it didn't register to me kwamba ina uwezo wa kupiga risasi 15 per second!!
Unless kama kuna MP5 series nyingine hapo sawa, lakini ungesema labda bunduki aina ya UZZI ndiyo yenye uwezo kama huo hapo ninge kubaliana nawe.
Magazine ya risasi 15, 30, au 40. Pia inatumia round magazine ya risasi 100Kama risasa 15 kwa sekunde,nimebaki najiuliza tuu hyo magazine yake inauwezo wa kubeba risasi ngapi ??
How about AR15?Sijazidisha chochote. Soma vizuri, kuna series, MP5K ni risasi 15 per second