Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Kwa tanzania hii 9mm ni UZI peke yakeMkuu kuna SMG 9mm nazo zipo tayari Tanzania zina uwezo kama huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa tanzania hii 9mm ni UZI peke yakeMkuu kuna SMG 9mm nazo zipo tayari Tanzania zina uwezo kama huo
[emoji2] [emoji125]Achana nao hao, mi mwenyewe nimeishaitumia, hiyo na uzi zinataka kufanana kitabia, sema hiyo ina mtetemo sana, kwa maana ukiitumia hiyo na ukiitumia uzi zinapishana kidogo kwenye [emoji457]
labda uelekez sehem moja tu zote 15 zipige hapohapoDah... Shabaha nzuri? Ulenge Shabaha mara 900 kwa dakika.... mara 15 kwa sekunde...hata malaika hawezi[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Dah.. ..chief Shabaha ni watu 15[emoji12] [emoji12]labda uelekez sehem moja tu zote 15 zipige hapohapo
Malaika tena mkuu jarbu kufikiri vzuriDah... Shabaha nzuri? Ulenge Shabaha mara 900 kwa dakika.... mara 15 kwa sekunde...hata malaika hawezi[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Ziko zingine tunazo kikosiniKwa tanzania hii 9mm ni UZI peke yake
Nilipita jkt miaka hiyooooo! Nahisi kilichoandikwa ni tofauti na bunduki iliyopo na hi bunduki magazine yake haiwezi beba risasi 100 na kwa hesabu ya sekunde 1 marisasi yote hayo haingii akilini hata teknolojia I advance kiasi gani labda kwa dkk naamini hata return spring mecanizm iwe nzito kiasi gani kusukuma kokin handle kwa kasi hiyo ya sek. Sipati picha labda kila risasi iwe na balo yake na zipigwe kwa wakati mmojaBunduki iliyotaka kumuua Mpelelezi wa Tume ya Dunia John Murphy Ambilikile huko Mexico City, MP5, iliyomuua Kiongozi wa CS-Copenhagen Regner Steiner Valkendorff huko San Antonio, Murphy alipokamatwa na Kolonia Santita baada ya kuiba kitabu cha siri katika makao makuu ya Kolonia Santita ya San Ángel.
MP5 (‘Maschinenpistole 5’, au ‘Machine Pistol Model 5’) ni mojawapo ya bunduki hatari zilizotengenezwa na Kiwanda cha Silaha cha Heckler & Koch GmbH cha Ujerumani; zilizotumiwa na makomandoo wa Tume ya Dunia na magaidi wa Kolonia Santita dhidi ya Kolonia Santita na dhidi ya Tume ya Dunia ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya kwa mpangilio huo. MP5 ina uwezo wa kubeba kwa wakati mmoja risasi 100 katika chemba yake ya ‘century’, kupiga risasi 900 kwa dakika (kwa kutumia mkanda wa risasi), na kufyatua risasi kwa kiasi cha kuleta maafa makubwa katika umbali wa meta 200 au futi 656.
Mnamo mwaka 1980 katika Operation Nimrod ya Jeshi la Uingereza, MP5 ilijipatia umaarufu mkubwa duniani katika Ubalozi wa Irani huko Kensington jijini London; ilipotumiwa kwa mafanikio makubwa na makomandoo wa SAS, kuokoa mateka 26 dhidi ya magaidi 6 wenye msimamo mkali wa Irani, katika tukio lililoonyeshwa moja kwa moja na vituo vya televisheni.View attachment 469987
Umetumia SMG au SRA wewe usitudanganyee
Labda pistol, hao America wenyewe wanasema hata kama ndio unamuua adui lakini afe kistaarabu wao pamoja na NATO yote wanatumia risasi za 5mmZiko zingine tunazo kikosini
Kwa mtu binafsi inaruhusiwa kuimiriki?
[emoji2] [emoji2] [emoji2]alitumia National service, bangi ni kitu kibaya sana.
Unaweza kuwa baharini ukadhani upo ulaya-- Makonda.