Risasi 15 kwa sekunde 1, Bunduki hatari sana

Umetumia SMG au SRA wewe usitudanganyee
 
Tayari imeshakuwa ya kizamani sahv kuna MP5K hata hapa tz zipo

Mkuu ndiyo maana niliongezea neno "labda kama nilitumia/piga MP5 series nyingine" i.e ya zamani kidogo.

Kuna baadhi ya Watanzania sijui vichwa vyao viko wired vipi, mtu na akili zake timamu anadiriki kusema eti nadanganya!!
Yaani kwa kuwa yeye ajawahi kuona/tumia MP5 basi anafikiri Watanzania wengine hawajawahi, na hii ni tabia iliyo jengeka kwa baadhi ya Watanzania, wana tabia ya kubishi bishi tu wanabishana na watu ambao wala awawajui vizuri backgrounds zao, badala ya kujifunza kitu kutoka kwa Watu wenye exposure wao wanaishia kubeza beza watu.

Mwingine anakuja na hoja eti labda nazungumzia SAR as if alikuwepo!!! FYI nimetumia/piga SAR, G3, MP5, SMG, LMG silaha ambazo sijawahi kuzijaribu ni RPG na handgranade.
 
Wakuu inauzwa wapi hiyo mi naihitaji
 
We muongo kuruta upewe MP5 hahahahaha
 
kwa hiyo ukiwa na shabaha nzuri ndani ya dakika unaua watu 900....duh wazee wakisikia mtaani kwenu kuna mtu ana mtutu kama huo hawatimbi kijinga jinga
Wakitaka kukuarrest itabidi wakae mita 300 kwa usalama wao
 
Mkuu umewahi kuua watu wangapi hadi leo??
 
Twende taratibu kidogo maana kuna watu wazima humu pengine kukushinda wewe
Ulikuwa kikosi gani, intake gani, mkuu wako wa kikosi alikuwa na cheo gani na alikuwa anaitwa nani?
Op gani? Maana kwa vitu unavyovieleza hapa napata ukakasi labda uje uniambie ulikuwa MT baadae ukakimbia jeshi kidogo nitamuelewa.,,,,
Pia labda useme ulishaenda/kupelekwa kozi maalum nje ya nchi...
Kinyume na hapo unakaribia kutudanganya,,,uniwie radhi sana
 
Pre info huyu jamaa ni muhaya, according to his/her name, so usisumbuke nae, tunawajua
 
Achana nao hao, mi mwenyewe nimeishaitumia, hiyo na uzi zinataka kufanana kitabia, sema hiyo ina mtetemo sana, kwa maana ukiitumia hiyo na ukiitumia uzi zinapishana kidogo kwenye [emoji457]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…