Riwaya: Kiapo cha jasusi

Riwaya: Kiapo cha jasusi

Kudo900 .....umeyaona maoni ya mkuu haya"""!?..Any way ngoja nitapitia vyema na riwaya za kelvin...ila kwa sasa "" Patrick ndiye anaye nikonga moyo na akili zaidi ""
Yah niemeona!! But Kelvin huwa anafikirisha zaidi tatizo pale anapotumia hata page mbili kuelezea sebule moja

Ila kiukweli huyu jamaa anajua kuliko neno kujua,japo anaboa kwa story ndefu sana so inahitaji uwe na muda wa ziada kufuatilia

Kingine sijui kwanini,wandishi wenzie hawampi sapoti kama wanavyosapotiana wao
Watu Kama
Maundu mwingizi Hussein tuwa,ibrahim gama,Fadhy mtanga,Inocent ndayance,beka mfaume,amri bawji,musa banzi nk
Yani yeye yupo kivyake tu sijui kwanini na hadi sasa hajatoa kitabu hata kimoja anauza online tu
 
Yah niemeona!! But Kelvin huwa anafikirisha zaidi tatizo pale anapotumia hata page mbili kuelezea sebule moja

Ila kiukweli huyu jamaa anajua kuliko neno kujua,japo anaboa kwa story ndefu sana so inahitaji uwe na muda wa ziada kufuatilia

Kingine sijui kwanini,wandishi wenzie hawampi sapoti kama wanavyosapotiana wao
Watu Kama
Maundu mwingizi Hussein tuwa,ibrahim gama,Fadhy mtanga,Inocent ndayance,beka mfaume,amri bawji,musa banzi nk
Yani yeye yupo kivyake tu sijui kwanini na hadi sasa hajatoa kitabu hata kimoja anauza online tu
Aiseee....kwani " hayupo WARIDI "...kama yupo why akose hiyo support"...... ila huyo maundu nae " mhhh""......nihatari nyingine pia
 
Yah niemeona!! But Kelvin huwa anafikirisha zaidi tatizo pale anapotumia hata page mbili kuelezea sebule moja

Ila kiukweli huyu jamaa anajua kuliko neno kujua,japo anaboa kwa story ndefu sana so inahitaji uwe na muda wa ziada kufuatilia

Kingine sijui kwanini,wandishi wenzie hawampi sapoti kama wanavyosapotiana wao
Watu Kama
Maundu mwingizi Hussein tuwa,ibrahim gama,Fadhy mtanga,Inocent ndayance,beka mfaume,amri bawji,musa banzi nk
Yani yeye yupo kivyake tu sijui kwanini na hadi sasa hajatoa kitabu hata kimoja anauza online tu
Inabidi Bahati Mwamba ashikamane nae aiseee
 
hahahaa " tulia hivyo hivyo " uta enjoy zaidi ...hajuagi kuharibu huyu ....."" story zake ni kama upo century cinemax unacheki "" JUMANJI


Yani huyu ni next level kwakweli... Story nzuri afu acts zake ni siriaz balaa......!!

akiendeleza usisahau kunitag jamani


cc Smart911
 
Yah niemeona!! But Kelvin huwa anafikirisha zaidi tatizo pale anapotumia hata page mbili kuelezea sebule moja

Ila kiukweli huyu jamaa anajua kuliko neno kujua,japo anaboa kwa story ndefu sana so inahitaji uwe na muda wa ziada kufuatilia

Kingine sijui kwanini,wandishi wenzie hawampi sapoti kama wanavyosapotiana wao
Watu Kama
Maundu mwingizi Hussein tuwa,ibrahim gama,Fadhy mtanga,Inocent ndayance,beka mfaume,amri bawji,musa banzi nk
Yani yeye yupo kivyake tu sijui kwanini na hadi sasa hajatoa kitabu hata kimoja anauza online tu
Kwamba Kevin mponda au Patrick ndio anajitenga?
 
Inabidi Bahati Mwamba ashikamane nae aiseee
Hahaaa uchokozi huo
But tupo pamoja na ndo mwalimu wangu kiasi chake
Hata hii tayari ninayo kitambo tu.
Lakini anastahili kuwa karibu na magwiji wenzie sisi vichanga bado sana ndo tunaanza
 
hahahaa " tulia hivyo hivyo " uta enjoy zaidi ...hajuagi kuharibu huyu ....."" story zake ni kama upo century cinemax unacheki "" JUMANJI

sipati picha huo mpambano kati ya chitas na dastan na jopo lake. sipati picha siku raisi yakimfika shingoni. sipati picha pande thadeo akijulikana anahusiana na Alfredo.. sipati picha kabisa Yani...
sijui watamgeuka raisi jamani make yule jaji alishaingiwa na imani na yule mzee Alfredo... ngoja tuone



cc Smart911
 
sipati picha huo mpambano kati ya chitas na dastan na jopo lake. sipati picha siku raisi yakimfika shingoni. sipati picha pande thadeo akijulikana anahusiana na Alfredo.. sipati picha kabisa Yani...
sijui watamgeuka raisi jamani make yule jaji alishaingiwa na imani na yule mzee Alfredo... ngoja tuone



cc Smart911
hatari sana.."" yaani sipati pictr yule jaji akiingia kwenye mkumbo wa kina Alfredo ..sipati pictr ile PC na Simu vikija Ku function....
 
Back
Top Bottom