Riwaya ya kipelelezi: Wakala wa Siri

Nimeshasoma zaidi ya vitabu mia tatu. Hivyo havitoshi?
Mkuu Malyenge kwa heshima ya jina lako,Malyenge= macho kengeza,ni Bora ungejikata tu kuliko kubishana na hadhira yote hii!
 
Mkeo akikukosoa mbele ya watoto au hadharani anakuwa kakuvunjia heshima,.

Ninyi ni wasanii hamkupaswa kum disappoint msanii mwenzenu mbele ya watu wanaomwamini na kuheshimu kazi yake. Mngeenda na inbox.
NAWASHAURI TAFUTENI BUSARA JAPO KIDOGO IWASAIDIE

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Muache mtunzi amalizie ndugu
 
Hii hadithi bora iishe maana kuna wakati inaelekea pazuri, mara inaanza tena upya...
 
OFA HII INAISHA LEO
WAHI!
TSh 10,000/=

Ni kitabu cha "MLIO WA RISASI HARUSINI"

TUMA KWA

0693322200
Airtelmoney
Robert Heriel
 
OFA HII INAISHA LEO
WAHI!
TSh 10,000/=

Ni kitabu cha "MLIO WA RISASI HARUSINI"

TUMA KWA

0693322200
Airtelmoney
Robert HerielView attachment 1973845
Hiki nitahitaji kopi 40 na hiyo nyingine ya Wakala Wa Siri ninayoikosoa niyahitaji kopi 40 ikimapizika.
Ninapeleka kijijini watu wasome hasa walioko shule za kata.
Bado nitaendelea kukosoa tu. Mkikasirika shauri zenu!!!!
 
Hiki nitahitaji kopi 40 na hiyo nyingine ya Wakala Wa Siri ninayoikosoa niyahitaji kopi 40 ikimapizika.
Ninapeleka kijijini watu wasome hasa walioko shule za kata.
Bado nitaendelea kukosoa tu. Mkikasirika shauri zenu!!!!


πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

Mkuu Acha hasira bhana.

Hakuna anayekasirika Ila ni mjadala tuu.
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Mkuu Acha hasira bhana.

Hakuna anayekasirika Ila ni mjadala tuu.
Malizia hicho kitabu ili kikimalika nivinunue vyote maana vina uhusiano kati ya Risasi Harusini na Wakala wa Siri. Mtu akivisoma vyote kwa kuanza na Mlio wa Risasi ndio ataelewa.
 
sawa Kaka mkubwa
Mlio wa Risasi kuna ujumbe mmoja mkali sananiliupenda. Pale Robert alipovunja rekodi ya dunia aliposhuhudia kuwaona watu waliohudhuria mazishi yake mwenyewe!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…