Riziki ya mtu iliishapangwa na Mungu, nyinyi akina taasisi mnajisumbua tu

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Tena nawaambieni tu ikiwa mtu alipangiwa kuwa tajiri atakuwa tu, sio mpaka aajiriwe, na sidhani kama kuna tajiri alieajiriwa, matajiri wengi ni wajasiriamali, poleni utumishi na poleni tamisemi, mimi nipo hai tena mwenye afya njema ninakula ninachokitaka, ninavaa ninachokipenda.

Kama mlitegemea haya maisha yatanifirimba, basi kwa taarifa yenu mimi ndie ninae yafirimba, siku mkinikamata mnipe kesi ya uhujumu uchumi
 
Alipigwa chini ualimu ksbb ya vyeti feki. Hapo hapo tayari alikuwa ameshakopa bank kupitia dhamana ya utamimisemi.

Upande mwingine ameilaani tamisemi kwa kumpiga chini. Hajui dua la kuku.....

Leo kapiga hesabu kwenye biashara ya ule mkopo,amepata faida fulani,ameona ajipongeze kwa mzinga,ndio akakumbuka kuwananga Tamisemi
 
Umeanza gongagonga nyagi unajiona umekua, umeanza nyonyanyonya bangi kunyonga hujajua.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…