Robert Amsterdam analipwa na nani kuwatetea Tundu Lissu na CHADEMA?

Robert Amsterdam analipwa na nani kuwatetea Tundu Lissu na CHADEMA?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nijuavyo CHADEMA chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.

Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?

Tanzania kama taifa tuwe makini.

Maendeleo hayana vyama!
 
Nijuavyo Chadema chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni. Je ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lisu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae? Tanzania kama taifa tuwe makini. Maendeleo hayana vyama!

Wale waliokuwa wamebeba kura kwenye mabeg walikuwa wanalipwa na nani?
 
Kwani na sisi MATAGA tunalipwa na nani ? Newton's 3rd Law of motion inasema "For every action there is an equal an opposite reaction"
Third-Law-of-Motion-Example-1024x437.png
 
Hata kama halipwi au analipwa wewe inakuuma nini??? Lissu alisema ni wakili wake binafsi, makubaliano yao ya malipo unataka kuyajua?? Mpigie Lissu akuambie anamlipa sh ngapi, sisi hayatuhusu.
Yaani ndani ya nchi Lissu chali. Anataka umaarufu nje ya nchi ili atawazwe kuwa rais wa nchi hii? Labda Mungu wa Mbinguni aende likizo. Less than that Lissu ataishia majanga tuuu. Ila muacheni huyu Lissu ajifariji.
 
Back
Top Bottom