Robert Amsterdam analipwa na nani kuwatetea Tundu Lissu na CHADEMA?

Robert Amsterdam analipwa na nani kuwatetea Tundu Lissu na CHADEMA?

Tafuta maana ya neno “Pro-bono”
kusema kweli kudeclare interest....rais Magufuri ana huruma sana ..Mimi ningekua eneo lake ningemfanya Tundu lissu kama President Putin did to Alexander Litvinenko huyu mtu ni mhaini ....Amsterdam and partner ni kampuni ya canada,ndege yetu ilikamatwa canada,barick gold makao makuu canadsa...Tundu Lissu katoka Ubelgiji kaenda canada...Na hii kampuni haichukui chini ya billion tano kama malipo unakuja na ujinga wa Pro-Borno...ni bange au Unyumbu


The previous firm, Foley & Lardner, backed out of a $12.5 million, five-month contract after Scott in a letter urged his Senate colleagues to boycott the firm. In a filing with the U.S. Justice Department on Friday, Foley said it had transferred to Amsterdam & Partners all funds - a little more than $1 million - it has received from its client.
 
Hata kama halipwi au analipwa wewe inakuuma nini? Lissu alisema ni wakili wake binafsi, makubaliano yao ya malipo unataka kuyajua?? Mpigie Lissu akuambie anamlipa sh ngapi, sisi hayatuhusu.
Bwashee umefura kwa hasira........hahahaaaa!
 
Tundu lisu alishambulia na magenge ya chadema humo humo kwenu. Kama unabisha jaribu kutaja jina la dereva wake uone jinsi wanavyopanic.
Hayo magenge yaliyomshambulia Lissu ndiyo yaliyoondoa na camera za ulinzi?

Wacha kuiaibisha serikali bwashee
 
Nijuavyo Chadema chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.

Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?

Tanzania kama taifa tuwe makini.

Maendeleo hayana vyama!
Accacia ndoo walipaji wakubwa
 
Nijuavyo Chadema chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.

Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?

Tanzania kama taifa tuwe makini.

Maendeleo hayana vyama!
Kwani wale warundi waliokuwa Zanzibar walilipwa kiasi gani maana tz hatuna askari mwenye nywele ndefu mlisahau kuwashepu wafanane na hawa wa tz
 
Nijuavyo Chadema chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.

Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?

Tanzania kama taifa tuwe makini.

Maendeleo hayana vyama!
Umetumwa, nani kakwambia maendeleo hayana vyama, toka lini maendeleo hayakuwa na vyama tanzania, kuwasema wapinzani kuwa wanachelewesha maendeleo maana yake nini, mwenye kiti wenu anapotoa hotuba huwa unaziba masikio yako machafu
 
Umetumwa, nani kakwambia maendeleo hayana vyama, toka lini maendeleo hayakuwa na vyama tanzania, kuwasema wapinzani kuwa wanachelewesha maendeleo maana yake nini, mwenye kiti wenu anapotoa hotuba huwa unaziba masikio yako machafu
Chukue viti maalumu acheni ujinga, mtapotea kwenue ramani ya siasa tz hivi hivi.
 
Tundu Lissu ndio modern day Chifu Mangungo MTAKA KUWEKA madini yetu rehani kwa KWA WAZUNGU na Robert Amsterdam ndie Modern day Karl Peters anayewakilisha wakoloni wazungu kwenye mazungumzo na chief mangungo Lisu
 
Nijuavyo Chadema chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.

Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?

Tanzania kama taifa tuwe makini.

Maendeleo hayana vyama!
sisi wanachama tunamlipa.

Una swali lingine comrade?
 
Chukue viti maalumu acheni ujinga, mtapotea kwenue ramani ya siasa tz hivi hivi.
Mnatuelekeza kipi cha kufanya mnafikiri sisi vifaranga, mmezoea kuwaendesha watu wenu kwenye kamati mnawafanyia na kuwaamulia sasa mnatoka nje mtakoma yaishie huko huko mliiba bila mahesabu vichwa vibovu sasa mna haha kutoa viti maalum si muwape walio wapitisha kwenye kura hao ma askari na jeshi wapeni mmekwama wapi
 
Nijuavyo Chadema chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.

Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?

Tanzania kama taifa tuwe makini.

Maendeleo hayana vyama!
Anachokifanya huyu 'Mpuuzi' Wao ni kutupigia tu 'Kelele' Watu 'tunaojitambua' na akae akijua kuwa Rais wa Tanzania ni Dk. John Pombe Magufuli.
 
Yaani ndani ya nchi Lissu chali. Anataka umaarufu nje ya nchi ili atawazwe kuwa rais wa nchi hii? Labda Mungu wa Mbinguni aende likizo. Less than that Lissu ataishia majanga tuuu. Ila muacheni huyu Lissu ajifariji.
mbona umepanic?
 
Tundu lisu alishambulia na magenge ya chadema humo humo kwenu. Kama unabisha jaribu kutaja jina la dereva wake uone jinsi wanavyopanic.
Kwahiyo chadema akishambuliwa na chadema wenzie polisi hawawakamati??? Kama vile mangala alivyopewa sumu na MAGUFULI na mmeshindwa kumkemea
 
Anachokifanya huyu 'Mpuuzi' Wao ni kutupigia tu 'Kelele' Watu 'tunaojitambua' na akae akijua kuwa Rais wa Tanzania ni Dk. John Pombe Magufuli.
Aisee mnyarwanda ulipotea jf ukapewa kibano kurudi kwako tu basi umeanza mapambio aisee kweli kibano sio kizuri
 
Back
Top Bottom