Robert Amsterdam analipwa na nani kuwatetea Tundu Lissu na CHADEMA?

Robert Amsterdam analipwa na nani kuwatetea Tundu Lissu na CHADEMA?

Aisee mnyarwanda ulipotea jf ukapewa kibano kurudi kwako tu basi umeanza mapambio aisee kweli kibano sio kizuri
JF Members hapa watanisaidia Kukujibu kama Mimi nilikuwa sipo au sipo 24/7 hapa Jamvini. Yawezekana ulikuwa 'Maternity' na haukuwa Hewani.
 
Nijuavyo Chadema chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.

Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?

Tanzania kama taifa tuwe makini.

Maendeleo hayana vyama!
Ungekuwa na capacity kubwa ya uchambuzi ungejitahidi kutuambia:-
(i). Gharama kiasi gani cha fedha huyo Robert Amstadam amelipwa au aina ya mkataba wa malipo kwa CDM na TL - hapo tungelinganisha figure na kuzichambua ili kuona km zinalipika au la? Sasa kama ni kubwa hapo msingi wa swali lako ungekuwa na uzito wa dhahabu!

(ii). Ungechambua uwezo wa kifedha wa CDM na TL ili tufahamu kwamba taasisi hiyo ihawezi kumudu gharama za uwakili;

(iii). Ungetuambia kwa kutuaminisha kuwa CDM na TL hawana marafiki, jamii za kitaifa na kimataifa za kuwawezesha kugharamia shughuli za uwakili wa RA - lkn mwisho jiulize kipindi Halima Mdee, Msigwa, Mbowe nk wamehukumiwa kifungo au kulipa faini za mamilioni ya fedha - walipata wapi fedha hizo?

Epuka njaa ya akili plz - aiache ibaki tumboni ili ukinywa uji iondoke yenyewe
 
Nijuavyo CHADEMA chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.

Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?

Tanzania kama taifa tuwe makini.

Maendeleo hayana vyama!
Mambo yasiyokuhusu usiyasukie mabutu
 
mbona umepanic?
Wanaomtumaini Mungu hawapaniki. Mungu alituepusha na mafisadi 2015. Mwaka wa 2020 akatuepusha na COVID 19. Pia mwaka huo huo akatuepusha na vibaraka waliotaka nchi iuzwe kwa mabeberu.

Nakuhakikishia hayo anayotaka kutufanyia msanii Lissu hayatatokea katika nchi hii anayoipigania Mungu wa Mbinguni. Mungu katuletea kiongozi, tusubiri daraja la mto Wami liishe, daraja la Salender nalo, halafu reli ya kisasa bila kusahau mradi wa umeme.
 
Ungekuwa na capacity kubwa ya uchambuzi ungejitahidi kutuambia:-
(i). Gharama kiasi gani cha fedha huyo Robert Amstadam amelipwa au aina ya mkataba wa malipo kwa CDM na TL - hapo tungelinganisha figure na kuzichambua ili kuona km zinalipika au la? Sasa kama ni kubwa hapo msingi wa swali lako ungekuwa na uzito wa dhahabu!

(ii). Ungechambua uwezo wa kifedha wa CDM na TL ili tufahamu kwamba taasisi hiyo ihawezi kumudu gharama za uwakili;

(iii). Ungetuambia kwa kutuaminisha kuwa CDM na TL hawana marafiki, jamii za kitaifa na kimataifa za kuwawezesha kugharamia shughuli za uwakili wa RA - lkn mwisho jiulize kipindi Halima Mdee, Msigwa, Mbowe nk wamehukumiwa kifungo au kulipa faini za mamilioni ya fedha - walipata wapi fedha hizo?

Epuka njaa ya akili plz - aiache ibaki tumboni ili ukinywa uji iondoke yenyewe
Pale Segerea Chadema walikwama so Dr Mashinji alitolewa na Polepole wa CCM na Freeman Mbowe alitolewa na fedha za familia ya mchungaji Msigwa akiwemo Rais Magufuli!
 
Tundu lisu alishambulia na magenge ya chadema humo humo kwenu. Kama unabisha jaribu kutaja jina la dereva wake uone jinsi wanavyopanic.

Well said - bravo, ni kweli genge la Chadema ni majambazi yaliyo kubuhu na akili nyingi sana ndio maana waliondoa CCTV nyumbani kwake na majirani zake, waliondolewa mpaka walizi siku moja kabla ya tukio, leo hii hatuwezi kuwachukulia wajambani wa Chadema kama ni binadamu wa kawaida hata kidogo.
 
Madini yetu ndio yanamfanya Amsterdam kumuwakilisha huyo lisu. Ila lisu hajakuwa raisi sasa sijui itakuwaje maana makubaliano lisu asaidiwe na wabelgiji aingie madarakani nae lisu awape migodi yetu, ndio maana kuanzia saccos yenyewe, lisu mpaka wakala Amsterdam wanaweweseka sasa [emoji16][emoji23]
 
Utakufa bado unasubiri ukombozi wa marofa,
Waliomshambulia Lissu ni wafuasi wa chadema. Mlipaji mtajuana huko.

Sasa jibu kwanza nani anamlipa Amsterdam ?
Kwa hiyo CHADEMA ina nguvu hadi kuvifanya vyombo vya ulinzi na usalama kushindwa kufanya kazi zao kwa weledi?
 
Madini yetu ndio yanamfanya Amsterdam kumuwakilisha huyo lisu. Ila lisu hajakuwa raisi sasa sijui itakuwaje maana makubaliano lisu asaidiwe na wabelgiji aingie madarakani nae lisu awape migodi yetu, ndio maana kuanzia saccos yenyewe, lisu mpaka wakala Amsterdam wanaweweseka sasa [emoji16][emoji23]
Huyo Bob na Mr Mzungu wana lao dili tangu ilee kitambo kupiga hela za Watanzania; ndiyo biashara yao. Chairman Mr Hai anapaswa kuwashtukia mapema.
 
Nijuavyo CHADEMA chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.

Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?

Tanzania kama taifa tuwe makini.

Maendeleo hayana vyama!
Ni uzalendo tu kaka
 
Wanaomtumaini Mungu hawapaniki. Mungu alituepusha na mafisadi 2015. Mwaka wa 2020 akatuepusha na COVID 19. Pia mwaka huo huo akatuepusha na vibaraka waliotaka nchi iuzwe kwa mabeberu.

Nakuhakikishia hayo anayotaka kutufanyia msanii Lissu hayatatokea katika nchi hii anayoipigania Mungu wa Mbinguni. Mungu katuletea kiongozi, tusubiri daraja la mto Wami liishe, daraja la Salender nalo, halafu reli ya kisasa bila kusahau mradi wa umeme.
mataga punguza jazba.
 
Back
Top Bottom