Robert Amsterdam analipwa na nani kuwatetea Tundu Lissu na CHADEMA?

Robert Amsterdam analipwa na nani kuwatetea Tundu Lissu na CHADEMA?

Nijuavyo CHADEMA chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.

Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?

Tanzania kama taifa tuwe makini.

Maendeleo hayana vyama!
Sio kila mtu hutaka Malipo kwa kila jambo analomfanyia mtu mwingine,watu wengine hawapendi tu kuona watu wengine wakionewa
 
Kuinua watanzania ni kuwabambikia kesi kesi kuwapiga risasi wapinzani? Kuwainua watanzania ni kuulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani?
Nasikitika Tz inatengeza viazi wachache Kama nyie
Hayo unayoyasema hakuna ukweli wowote
Hii nchi haiwezi kutulia kwa kuchekeana Ni lazima wajinga wajinga washughulikiwe

Kibaya Zaid mnachuma dhambi ndogo ndogo
Majority >Minority hvyo msitusumbue
 
Bujibuji ww Ni kiaz kweli
Ukombozi gani ww unataka
Hili taifa wapuuz tulipa nchi ndio maana Hadi leo waTz masikini
Leo amekuja mtu kuinua waTz watu wajinga Kama bujibuji wanapinga ...
Fala kabisa ww bujibuji na wananchi
Umesha maliza kumtukana kaka Bujibuji?
Huyo unayemsifia kwa nyimbo na mapambio amelitia taifa letu hasara nyingi, miongoni mwao ni:-
1. Kesi ya meli ya samaki
2. Upotevu wa trilioni 1.5
3. Boti ya MV Dar es Salaam
4. Uvunjaji batili wa kituo cha mafuta Mwanza
Etc
 
Bujibuji and Co
Kwani mliwalipa shilingi ngapi waliomshambulia Tundu Lissu kwa risasi?
Ukombozi umekaribia
JIBU la hilo swali lipo CHADEMA kwa viongozi wenu ambao wanajua pesa walizomlipa aliye mfanya kitu mbaya "MURA", I think you know what I mean!? Na alyempiga Lissu hizo risasi 16 zandege. Wanajua sana, tusihangaishane humu JF.
 
Ana huruma ipi?...kwa nini analizimisha kuongoza watu ambao hawakumpa kura yeye na wabunge wake?
We mwehu kweli na uwezo wako mdogo wa kufikiri...kwakua hukumpa wewe unadhan kila MTU....kwanini usiandamane..au kamsemee kwa Amsterdam
 
Hata kama halipwi au analipwa wewe inakuuma nini? Lissu alisema ni wakili wake binafsi, makubaliano yao ya malipo unataka kuyajua?? Mpigie Lissu akuambie anamlipa sh ngapi, sisi hayatuhusu.
Muuliza swali, anauliza kwa nia jema tu ya kutaka kupata kaelimu kadogo juu ya suala hili, lakini wewe unamjibu kwa ghadhabu na jazba, SIYO SAWA! Mjibuni tu kama mnamjua amlipaye BOB!
 
Hypothesis iko hivi:
Lissu angechaguliwa kuwa rais > serikali yake ingeweka rehani natural resources zetu ili kupata mikopo ya shughuli za maendeleo > negotiator wa kuingia hiyo mikataba ya mikopo angekuwa mwanasheria wa rais lissu > hapo ndipo Amsterdam angepata commission zake.
Sasa kwa kuwa la urais limeenda arijojo, sina uhakika analipwa na nani. Labda anafanya kwa matumaini ya 'uchaguzi kurudiwa' na 'mtu wake' (deeper meaning) ashinde ili mambo yajipe!
 
Hata kama halipwi au analipwa wewe inakuuma nini? Lissu alisema ni wakili wake binafsi, makubaliano yao ya malipo unataka kuyajua?? Mpigie Lissu akuambie anamlipa sh ngapi, sisi hayatuhusu.
Atalipwa kwa kufyonza dharabu miaka 50 tax free
 
Hata kama halipwi au analipwa wewe inakuuma nini? Lissu alisema ni wakili wake binafsi, makubaliano yao ya malipo unataka kuyajua?? Mpigie Lissu akuambie anamlipa sh ngapi, sisi hayatuhusu.
Wana chama chao mashoga wanalipana humo.
 
Nijuavyo CHADEMA chenye ofisi za makao makuu pale Kinondoni uswahilini mtaa wa Ufipa hawana ukwasi wa kuweza kumlipa huyo Wakili Robert Amsterdam wa ubeberuni.

Je, ni nani hasa anayemlipa Robert kwa niaba ya Tundu Lissu na atafaidikaje na ufadhili huo siku za baadae?

Tanzania kama taifa tuwe makini.

Maendeleo hayana vyama!
Wanachangisha pesa kupitia taasisi yao ya ushoga na kile chama kina pesa nyingi ndio maana hujiulizi Lissu anapata wapi mahitaji Yake wakati Hana kazi kule ughaibuni na anakula, analala, anasafiri kwenda mataifa mbalimbali na bado yeye na beberu lake Amsterdam wanahangaika na ICC kupeleka mashtaka.
 
Back
Top Bottom